Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

Mkuu katembelee huko Kizimkazi (Unguja kusini) ambayo ilikuwa haijulikani kimvuto wa kutembelewa na mtu yeyote kwa sasa ikoje utajua kwamba hujui
Je kabla ya Kikwete kuwa raisi uliwahi kuona barabara ya lami yoyote ikielekea msoga, au kabla ya hayati Magufuli kuwa raisi uliwahi kufikiri kuwa kuna siku chato itakuwa na uwanja wa ndege wa kisasa, barabara mpya na trafiki light mji mzima, hapo sijamuongelea Mkapa na daraja la Mkapa.

Labda mzee Mwinyi ndo alipasahau kwao mkuranga na hayati mwl Nyerere pia hakupaendeleza butiama.
 
.

4. Mwanza.
Mkoa wa Mwanza pia ni kama Dodoma. Ulikuwa na zali chini ya serikali ya awamu ya 5 ya hayati Magufuli, na bado umeendelea kuwa na bahati pia chini ya serikali hii ya awamu ya 6 ya raisi Samia.
Kwa mwanza hapo imekaa vizuri, kanda ya ziwa oyeeeeeeee
 
Nipo mbeya hapa. Yaani ni hovyo hakuna jipya la samia
Mama Yako ndio alimalizia ujenzi wa hii hospital,akanunua vifaa kama CT Scan na MRI na kuja kuzindua?
images - 2023-08-27T215410.650.jpeg
20230918_081639.jpg
 
Nipo mbeya hapa. Yaani ni hovyo hakuna jipya la samia
Hata Yesu alipofanya miujiza ili wale wanaompinga waweze kuamini kupitia miujiza hiyo, bado wasioamini waliendelea kumpinga tu hadi leo.

Hivyo sishangai wewe kuona makubwa anayoyafanya raisi Samia na kujifanya hauyaoni.

Nnachofahamu moyoni unakubali ila machoni unajifanya kupinga ili na wewe uonekani ni miongoni mwa wale jamaa wa pinga pinga.
 
Mbeya hawapendeki hao na ninwajuaji sio sehemu sahihi kimkakati sana sana anamsaidia Spika Tulia tuu maana bila huyo huo Mkoa wangeshautelekeza una watu jeuri wajuaji na wabishi wanaotaka Ligi mda wote ndio maana ujenzi wao ni hovyo hovyo Bora liende.

Kuna Mikoa ni ya CCM hakuna Cha Upinzani kama Ruvuma,Manyara,Tabora,Katavi,Rukwa,Njombe,Iringa, Morogoro,Pwani,Tanga ,Lake zone yote kasoro Mara.

Kiufupi Tanzania hakuna upinzani labda ccm wakosee kuchaguana
Huu ni uongo, unaangalia historia wa wabunge bila shaka. mkoa kama Geita chaguzi mbili kuu za zilizopita hakuna mbunge wa CCM ameshinda kwa haki. niamini! hata Mwanza na Kagera ni ubabe ulitumika
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Wakuu.... wengi wetu hapa JF na nchini kwa ujumla, tunajua kwamba raisi wa JMT mh Samia S. Hassan anapambana usiku na mchana, ili kuhakikisha serikali yake inaleta maendeleo katika wilaya, mikoa na nchi yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini kama ilivyo desturi ya sisi binadamu unapokuwa na mambo, vitu au watu zaidi ya watatu ubavuni kwako, ni wazi kuwa hautoweza kubalance upendo wako kwao yani iwe mia kwa mia kwa kila mtu au kitu. Ni lazima mtu au kitu kimoja utakipenda zaidi ya kiingine.

Hili hutokea hata kwa mzazi mwenye watoto mfano wa5 hujikuta anampenda mtoto mmoja au wawili zaidi ya awapendavyo waliobaki, japo kama mzazi huwa haoneshi moja kwa moja upendeleo wake huo kutokana na kutaka wale wengine wasijisikie kubaguliwa nk.

Hivyo basi hata raisi wetu, ni raisi wa nchi nzima, lkn ukweli ni kwamba kuna baadhi ya mikoa ambayo amekuwa akionesha kuipenda na kuijali zaidi ya mikoa mingine, na hili limekuwa likionekana kupitia miradi mbali mbali kabambe aliyoielekeza katika mikoa hiyo hata kama anajaribu kutokuonesha kuwa ana baze zaidi huko, lkn wafuatiliaji tunaona wenyewe kwa macho yetu na kusikia pia kwa masikio yetu.

Mikoa hiyo ambayo inabahati mno na serikali hii ni 👇

1. Dodoma.
Mkoa huu pamoja na kwamba raisi aliekuwepo madarakani hayati John P. Magufuli aliupenda na kuelekeza zaidi macho yake huko, pia umeendelea kuneemeka na uongozi huu wa awamu ya 6 chini ya raisi Samia na kupelekea miradi mingi ya maendeleo kupelekwa huko.

Nafikiri haya yamesababishwa na hadhi yake kama mji wa serikali na makao makuu ya nchi.

2. Kigoma.
Mkoa wa Kigoma pia unazali na uongozi huu wa raisi Samia. Japo mkoa huu una kiongozi mmoja mkubwa wa chama cha upinzani, na historia yake ya kupenda kuunga mkono wapinzani mbali mbali, lkn raisi Samia hakujali hayo.

Ameelekeza nguvu na miradi katika mkoa huo kuliko kiongozi mungine yoyote aliewahi kutawala kabla yake. I hope hiyo miradi ikikamilika basi Kigoma itakuwa small "Chicago", achilia mbali zile stori za mh Kikwete kwamba angeigeuza Kigoma kuwa Dubai kwa maneno tu matupu bila vitendo wala kutoa hela za miradi husika.

3. Mbeya.
Huu mkoa nao ni miongoni mwa mikoa inayofaidika kwa kasi kupitia uongozi huu wa awamu ya tano. Kabla ya hapo mkoa huo ni kama vile ulikuwa umesahaulika kimtindo, maana hata miundo mbinu ya mkoa huo kwa upande wa barabara, shule, hospital nk vilikuwa hovyo, ila toka raisi Samia aingie amekuwa akionesha kushirikiana na mbunge Mbeya mjini ambae pia ni spika wa bunge kuleta maendeleo ya kweli katika mkoa huo.

Kwa kuonesha kuwa anaupenda mkoa huo kwa vitendo, serikali ya raisi Samia tayari imeshatoa mamilioni ya miradi kwa ajili ya shule, barabara nk. Japo kuna baadhi ya watumishi wa serikali kutoka mkoa huo wanaonekana kutohitaji maendeleo katika mkoa huo kwa kutafuna mamilioni ya baadhi ya miradi kama alivyosema raisi Samia alipokuwa ziarani mkoani huko, lkn ni kama vile bado hajachoka kuendeleza miradi katika mkoa huo, bila kujali baadhi ya wapinzani ambao wao wanachotaka ni kuingia bungeni tu bila kujali maendeleo anayowaletea raisi Samia katika mkoa wao.

4. Mwanza.
Mkoa wa Mwanza pia ni kama Dodoma. Ulikuwa na zali chini ya serikali ya awamu ya 5 ya hayati Magufuli, na bado umeendelea kuwa na bahati pia chini ya serikali hii ya awamu ya 6 ya raisi Samia.

5. Mtwara....

6. Lindi....

Kama kuna mikoa mingine ambayo imeneemeka na uongozi wa raisi Samia alaf sikuiandika basi ndugu msomaji unaweza kuiandika hapo chini....

Karibuni.
Ile mikoa ya Dubai na Oman umesahau mkuu.
 
Mradi muhimu kwa Mwanza yenye kumbukumbu na Rais Samia ataacha legacy kubwa kwa jiji la Mwanza ni jengo jipya kubwa la abiria la uwanja wa ndege na kupanua mapana ya Runner away ya ndege kwa hadhi ya kimataifa, needs almost 200 bn barabara njia 4 za kuingia na kutoka kwenye jiji Kenyatta Road na Nyerere Road atakuwa amewaenzi viongozi hao vinginevyo!
 
Manispaa ya singida toka aingie Samia imepata barabara nyungi za lami kuliko rais mwingine,,Pia Ikungi Dc imeimprove ubora wa rough road zake...

Shule mpya ndio usiseme ..
Kwangu mm Samia n bora kuliko magufuli kwa mkoa wa Singida
Huu ni ushahidi mwingine wa kazi kubwa ya Samia na kwamba amewafunika watangulizi wake wote.

Huu ukweli ndio unawauma wengine 😁😁
 
Manispaa ya singida toka aingie Samia imepata barabara nyungi za lami kuliko rais mwingine,,Pia Ikungi Dc imeimprove ubora wa rough road zake...

Shule mpya ndio usiseme ..
Kwangu mm Samia n bora kuliko magufuli kwa mkoa wa Singida
Shukran mkuu kwa ufafanuzi mzuri. Nina imani huyo wa Singida atakuwa amekuelewa vizuri.
 
Back
Top Bottom