TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Milembe akupeleke mama yako ambaye alipanua mapaja kukuzaa hatimaye unasifia wazururaji unaacha kumsifia yeye! Maku weweWahi milembe View attachment 2758769
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milembe akupeleke mama yako ambaye alipanua mapaja kukuzaa hatimaye unasifia wazururaji unaacha kumsifia yeye! Maku weweWahi milembe View attachment 2758769
Ndio maana huna akiliMilembe akupeleke mama yako ambaye alipanua mapaja kukuzaa hatimaye unasifia wazururaji unaacha kumsifia yeye! Maku wewe
Huna kitu njaa Kali 😁😁Vitu ninavyomiliki wewe na ukoo wako na mashoga wenzio mtatumia miaka 1000 kuvipata kenge mwitu wewe!
Huko Arusha ndio kwa Lema? Yaani mambo ya kawaida mnalazimisha tuyaone ni so perculiar!Harufu ya wivu 🤣🤣🤣🤣
Na Bado mtapelekewa moto sana.Taja Mkoa wako nikutajie maelfu ya miradi iliyopoo hata Kwa Lema Samia anamimina Upendo View attachment 2758756
Tatizo moja wapo la upungufu wa akili ni kuokota huko mitandaoni meme na kuzitumia!,wewe bila shaka utakuwa kidole juuNdio maana huna akili View attachment 2758778
Nipe namba ya mama yako nimtumie hela ya kula!Huna kitu njaa Kali 😁😁
Mambo peculiar yapo kama yote,hakuna anaekulazimisha vinginevyo fumba macho kama unaumia kuona mafanikio ya SSH👇Huko Arusha ndio kwa Lema? Yaani mambo ya kawaida mnalazimisha tuyaone ni so perculiar!
Yaani pamoja na kumpamba huyo Mzururaji lakini wapiiiiii!
Kumbe unaongea Kwa maana ya miradi kwamba ndio kuwekeza nikajua wapi kuna Nguvu ya ccm.
Kwa taarifa Yako Rais hafanyi kazi kufurahisha Mikoa Bali Kwa faida ya Nchi.Mwanza Kuna miradi ambayo aliikuta ndio kwanza inaanza lazima imalizike kwanza ndio mengine yaanze ,stand zote 2 tayari,Daraja kinaisha desemba,Sgr labda 2026 ,mradi wa Maji Butimba olmost done ,uwanja wa ndege keshatoa pesa ujenzi unaanza maana ulisimama.Mwisho ameanza ujenzi wa Barabara ya lami kuanzia hapo Sengerema Hadi Nyehunge bila kusahau meli Mpya kibao huko,anajenga hospital kubwa ya Rufaa ya Mkoa Ukerewe na mengine mengi kama magorofa ya Watumishi hapo Ghana street nk.
Dodoma ni case Moja na Mwanza lazima miradi aliyoirithi ikamilike ambapo Sgr na station Tayari,Barabara za Mji Mkuu tayari, airport na ring road ndio zinaendelea, hospital ya Jeshi,Makao Makuu ya jeshi nk
Japo Kwa Dom Kuna miradi mipya imeanza ambayo ni ya Kitaifa na sio ya Dodoma mfano ujenzi wa Hospital kubwa ya kina Mama ,Ujenzi wa Bwawa la Farkwa,ujenzi wa Barabara za lami kuunganishwa na mvumi,kongwa nk bila kusahau ujenzi wa Makao Makuu ya Nchi unaendelea.
Kuhusu Mbeya naona unaongea pumba na kuleta chuki zako za kina Mwambukusi.Nchi haijawahi ishiwa mipango ,Kuna mipango Toka awamu ya Nyerere hata bwawa la umeme ni Mpango wa Mwalimu.Hivyo basi amekamilisha ujenzi wa uwanja wa Songwe Airport,kuanzia runway,taa Hadi passenger terminal na Sasa wanajenga cold room,amekamilisha hospital ya Rufaa-Meta.
Ujenzi Mpya ni Barabara ya Njia 4,Barabara ya igawa-Tunduma,Ujenzi wa mradi wa Maji wa mto kiwira na ujenzi wa jengo la magonjwa ya Moyo Rufaa Mbeya,ujenzi wa Barabara za lami Rungwe,Kyela na Busokelo nk.
Kuhusu Arusha ni kwamba mama amekamilosha ujenzi wa mradi wa Maji,amekamilisha ujenzi wa Barabara ya EAC ,ameanza ujenzi wa Barabara ya kijenge,Kilombero na ujenzi wa Barabara ya kutoka Arusha-Dodoma via Kiteto ila miradi ya size ya kati haihesabiki.
Kuhusu Dar hapo usiseme miradi haihesabiki, mengine chuki zinakusumbua [emoji16][emoji16]
Ni vizuri waendelee kusambaza chuki Ili wampe Nguvu zaidi na Mungu awaaibishe siku alisema Sasa Samia inatoshaVitu hiv wapinzani hawavioni hata kidogo mbaya zaid wamewapa wananchi sumu nao wanajifanya hawaoni
Rais huyu tukimpa support nchi hii itabdlika chap
Umekijibu vizuri kweli hiko kiazi.Kumbe unaongea Kwa maana ya miradi kwamba ndio kuwekeza nikajua wapi kuna Nguvu ya ccm.
Kwa taarifa Yako Rais hafanyi kazi kufurahisha Mikoa Bali Kwa faida ya Nchi.Mwanza Kuna miradi ambayo aliikuta ndio kwanza inaanza lazima imalizike kwanza ndio mengine yaanze ,stand zote 2 tayari,Daraja kinaisha desemba,Sgr labda 2026 ,mradi wa Maji Butimba olmost done ,uwanja wa ndege keshatoa pesa ujenzi unaanza maana ulisimama.Mwisho ameanza ujenzi wa Barabara ya lami kuanzia hapo Sengerema Hadi Nyehunge bila kusahau meli Mpya kibao huko,anajenga hospital kubwa ya Rufaa ya Mkoa Ukerewe na mengine mengi kama magorofa ya Watumishi hapo Ghana street nk.
Dodoma ni case Moja na Mwanza lazima miradi aliyoirithi ikamilike ambapo Sgr na station Tayari,Barabara za Mji Mkuu tayari, airport na ring road ndio zinaendelea, hospital ya Jeshi,Makao Makuu ya jeshi nk
Japo Kwa Dom Kuna miradi mipya imeanza ambayo ni ya Kitaifa na sio ya Dodoma mfano ujenzi wa Hospital kubwa ya kina Mama ,Ujenzi wa Bwawa la Farkwa,ujenzi wa Barabara za lami kuunganishwa na mvumi,kongwa nk bila kusahau ujenzi wa Makao Makuu ya Nchi unaendelea.
Kuhusu Mbeya naona unaongea pumba na kuleta chuki zako za kina Mwambukusi.Nchi haijawahi ishiwa mipango ,Kuna mipango Toka awamu ya Nyerere hata bwawa la umeme ni Mpango wa Mwalimu.Hivyo basi amekamilisha ujenzi wa uwanja wa Songwe Airport,kuanzia runway,taa Hadi passenger terminal na Sasa wanajenga cold room,amekamilisha hospital ya Rufaa-Meta.
Ujenzi Mpya ni Barabara ya Njia 4,Barabara ya igawa-Tunduma,Ujenzi wa mradi wa Maji wa mto kiwira na ujenzi wa jengo la magonjwa ya Moyo Rufaa Mbeya,ujenzi wa Barabara za lami Rungwe,Kyela na Busokelo nk.
Kuhusu Arusha ni kwamba mama amekamilosha ujenzi wa mradi wa Maji,amekamilisha ujenzi wa Barabara ya EAC ,ameanza ujenzi wa Barabara ya kijenge,Kilombero na ujenzi wa Barabara ya kutoka Arusha-Dodoma via Kiteto ila miradi ya size ya kati haihesabiki.
Kuhusu Dar hapo usiseme miradi haihesabiki, mengine chuki zinakusumbua 😁😁
Maskini Tanzania yangu, eti ndo great thinker huyu anaongea. Ptuuu!Umeshajijibu tayari kwamba anakamilisha maana yake hakuna mradi wa kutoka kwenye akilizake anaoufanya
Swadaktaaaa!!!Kuna wimbo fulani wa mkongwe Bitchuka unasema "hasidi" hana sababu.
Ukiusikiliza vizuri ule wimbo na kusoma ulichoandika naamini utahisi kama vile alikuwa amekutungia wewe mkuu.
Endelea kujifanya hauoni vile ambavyo wengi tunaviona.
Kwani wewe kwenye Mkoa wako hujui mambo yanayofanyika kuleta maendeleo? Ila rangi ya Boxer ya Mbowe unaijua si ndio? 😁😁Bila kuainisha ni mambo gani yanafanyika katika hizo sehemu kuleta maendeleo utakuwa umepiga porojo za bar tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁 Wivu ,mama Yako hamfikii Samia Kwa Sura,cheo Wala pesa ndio maana umejaa chuki za kindezi View attachment 2758732
Wewe mpaka ifike 2030 utakua umepata pressure kubwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Oman.
Niwasemee kwani mnanilipa? Nawasemea Watanzania Ili kuweka sawa upotoshaji kenge nyie.
View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1703028776269971573?t=uf48v9tGEuEhR_7jBC4O_A&s=19
Wananielewa vizuri wakitaka data hapa ndio mahala pake ,wakileta matusi nawajibu Kwa Kabali ya matusi 🤣🤣Kitakachofuata ni kukukimbia tu, hakika watakimbia
🤣🤣🤣🤣
Oman.