Mimi naendelea kuwapa hongera Kitenge na Zembwela kwa kufanikiwa KIUJANJAUJANJA bila Shule(formal education).Sijui ni nini kifanyike. Lakini Picha hii hapa. Hawa watu wameenda Dubai kula maisha na Wakarudi hapa kuja kupigia chapuo DP world. Hii ni hujuma zidi ya Watanzania.
View attachment 2666193
Lakini sio kwa mkataba huu.Kila Mtanzania mwenye akili timamu anayejua ufisadi unaoendelea pale bandarini ataunga mkono jitihada za Serikali kuwapa DP World uendeshaji wa ile bandari.
You are liar. Its not true. Nothing like that happed in South Africa. You beating us rope (uatupiga kamba).This Scandal is like the STATE CAPTURE SCANDAL that happened in South Africa during the leadership of Jacob Zuma.
Hoja yake haina mashiko ila mtazamo wake ni kwamba maswahiba wananyanyaswaHata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Mkataba kati ya TPA na DP World haujasainiwa. Mkataba ulipo ni kati ya serikali mbili yaani Tz na Dubai. Sasa hili povu mnalolitoa halina sababu zaidi ya kujichosha tu.Lakini sio kwa mkataba huu.
Wivu gani? Sasa hapo. kuwa naona wivu kuhusu mtu kumiminiwa maziwa ama wivu kuongea ukweli? hawa wote ni wajinga ama kuona wivu upi.wivu unakusumbua. na hili taifa halitoendelea watanzania tuna wivu sana na kulogana.
Tulipofika sio pazuri sana. Kitenge akae vyema na udalali wake yatakuja kumpata makubwa sana.Wanatugombanisha sisi kwa sisi.
Kuingiza hela unaweza kuingiza hata kwa kuua watu. Binadamu aliyekamilika haangalii kuingiza hela tu, bali unaingiza hela kwa njia gani.Wenzenu wanaingiza pesa nyie mnaropoka mitandaoni
"Changamoto kubwa ya ulimwengu wa sasa ni kwamba, wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa, na hivyo wajinga wamepewa mamlaka ya kutawala wenye akili na wasio na akili".Waliopata division F4 Ndio wanao uza nchi.
**** nisha nini!?Hakuna pesa hapo, ni kununuliwa tuuWenzenu wanaingiza pesa nyie mnaropoka mitandaoni
Nadhani 'Faiza Fox' amekusikia.Huyu mama atuachie nchi yetu jamani.
Hao watu kule hawajijipeka wenyewe.Hao kina Kitenge, Zembwela, na Hando ni wasaliti wa Tanganyika yetu.
Usishangae hao jamaa wakijiachia, bahasha zimeshatembea kwao, kama zilivyotembea kwa wabunge.
Unauliza nani anayefadhili!! Jibu mbona kila mmoja analijua. Hiyo ni package ya rushwa iliyokamilika.Nani amefatilia Wasafi media leo asubuhi? Hawa watangazaji watatu tangu juzi wapo Dubai na wanajinasibu Kama ni wageni rasmi wa DP world kutoka Tanzania. Na wanapata escort ya ving'ora Kama wageni wa heshima.
Leo walikuwa wanawahoji watanzania ambao wanafanya kazi hapo bandari ya Dubai. Kiuhalisia wote waliohojiwa ni kutoka kwa ndugu zetu unguja na pemba (Zanzibar).
Mambo mengi mazuri Sana ya DP world yameongelewa,ikiwa pamoja na bandari kupokea meli 30 kwa wakati mmoja na kuhudumia meli sita zenye magari 3k kwa siku mbili tu. Mambo ni mengi.
Lakini Hawa jamaa ni wanajizima data au hawajui kilio Cha wanaowapinga hao DP world kuwa siyo ufanisi wao Bali ni MKATABA mbovu na wa kinyonyaji na wakivhief Mangungo baina yao na Tanzania?
Hata dada yetu wa Jf bi Faiza Fox nae aliandikw uzi wenye mtazamo huu huu wa kina Zembwela kuwa "DP world wapo hadi Uingereza iweje nyie walala hoi watanganyika mnawakataa". Akapigwa maswali haya haya,umeuona mkataba wa Uingereza? Au mkataba wa Uingereza na huu wa kwetu unafanana?
Alafu kingine; hivi ni nani amawafadhili Hawa jamaa watatu? Huko Dubai? Maana wanajimwayamwaya kama wafalme. Na Wana ego balaa,full kujisifu.
Hii nguvu ya DP world kwenye media za bongo siyo mchezo.
Lakini Hawajui kuwa ukimsisitiza Sana Mtu kuwa kitu chako ni ni kizuri ndivyo unavyomfanya astuke kwamba kwa nini jamaa ananilazimisha Sana nione hiki kitu chake kipo sawa? Jamaa wanafosi mpaka kila mtu Sasa anajua kwamba wanalazimisha!!
Hii tabia tunayo Sana sisi mawinga/ wazee wa kulenga hapa kariakoo. Nikiona hiki kiatu ni 'mdosho',nguvu ninayotumia kukuaminisha kwamba ni kiatu genuine ili uingie mkenge siyo ya nchi hii. Ukifungua wallet tu tukamalizana napita hivi,utajijua mbele ya safari. Ukikivaa ukapiga hatua zako 20,mguu unanyanyuka,soli inabaki chini.
Nikimwangalia Gerald Hando ni Kama Mtu mwenye kujistukia tofauti na wenzie. Hawa jamaa wawili wanaupepeta mdomo si mchezo. Hawana breki.
Kwa upeo mdogo wa Kitenge, sidhani kama hata anaelewa, tatizo liko wapi.Tatizo hawajibu hoja, na raia wenye asili ya Tanganyika hawamkatai DP World, wanachokikataa ni vifungu ovu, tatanishi, visivyoeleweka na ikitokea vikarekebishwa haina shida, mwekezaji apewe kazi.
Yaani wamekomaa kuelezea ufanisi wa DP World na siyo mapungufu ya mkataba sijuwi maana yake nin.
Kitenge ana exposure!! Ana exposure ya kitu gani limbukeni yule?Ni std 7 lakini Wana exposure kuliko phd