Hii nguvu si mchezo: Kitenge, Zembwela na Hando wapewa escort ya ving'ora Dubai

Mkiambiwa mtokee barabarani kwa maandamano mnajificha chini ya uvungu wa kitanda. Lakini kwenye mtandao mnapIga kelele nyingi.😂
 
Mkuu nitakuwaje poa na tunauzwa?

Maana huko waliotuchukua mateka Walitaka tuwaimbie; Na waliotuonea walitaka furaha; Tuimbieni baadhi ya nyimbo za Sayuni.

Zaburi 137:3
Akuuze nani mkuu?. Panua uelewa wako ili uondokane na hayo mawazo hasi yaliyopandikizwa kichwani mwako.
 
Hata kipindi kile Cha biashara ya utumwa na ukwapuaji wa rasilimali za Africa...
Wakoloni waliwatumia Ndugu zetu kuwa kamata ndugu zetu!
Hali ni ile ile!
Wasiuzwe Rwanda waliojenga dry port kwa ajili ya biashara hii ya DPW.

Wasiuzwe Uingereza wenye bandari mbili zinazomilikiwa na DPW.

Wasiuzwe USA wenye bandarini nane zenye kusimamiwa na hawa jamaa, tuje tuuzwe sisi watanzania!.

Panua uelewa wako unaweza kuwa unaachwa mbali na dunia halisi inayokwenda kasi.
 
Njaa mbaya sana, angalia walivyokenua meno 😡 😡 😡
Hapo ukute wamekunja mamia ya mamilioni kutoka Dubai na Wizarani
Halafu kuna mtoto wa maskini analia njaa hapa bongo
 
Kwanza sikuhizi kufuatilia traditional media ni uzembe na kupitwa na wakati.
 
Wanauza nchi yao kwa waarabu kwa tamaa ya vipande vya fedha
 
Kwa mtazamo wa DPW kualika vyombo vya habari ni kukuza public awareness wa shughuli zao.

Uone wanachofanya kwa maelezo yao kupitia media na sio kusikiliza unachoambiwa na wengine, wanaita above the line promotion.

Same lobbying ya kualika wabunge, watu kutoka serikani lengo ni waone shughuli zao ni ‘below the line promotion’ ili wapate uelewa wa kutosha kwenye kuwahakikishia uwezo wao.

Kwa wabunge it’s morally wrong ingekuwa wanafanya kwa siri hiyo unaweza tafsiri kama hongo, lakini iwapo mwaliko umepitia njia halali za bunge hakuna tatizo.

Uwezi kwenda kufanya biashara sehemu ambayo watu awakuelewi; wenyeji watakuwa na mtazamo hasi na wewe. Ni jukumu lako kutoa elimu ya shughuli zako na uwezo wako ili ueleweke, na ndio wanachokifanya hao DPW
 
Nchi kuwasikiliza hawa jamaa kama Jounalist /Political analyst ni janga lingine kubwa, sioni jipya hapo zaidi ya kubwabwaja kishabiki.
 
ILA WATU WA BANDARI NI WEZI

ova
 
Kuna kundi kubwa pale bandarini

Miaka nenda rudi wamekuwa wakinufaika na upigaji,uwizi pale
Hao sahv wana pressure si ndogo

Ova
 
Nchi kuwasikiliza hawa jamaa kama Jounalist /Political analyst ni janga lingine kubwa, sioni jipya hapo zaidi ya kubwabwaja kishabiki.
Hao jamaa hawana cha maana walichokifanya kukaa kwao Dubai, walitakiwa waongelee MKATABA wa pande zote mbili na sio ufanisi wa DP HII NDIO SHIDA YA KUPELEKA MAMBUMBU wasiojua sheria na MKATABA ya kimataifa sehemu noetic wamenisikitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…