Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Hivi yale majini yakike yaliyokuwa yanapenda wanaume yameishia wapi?

Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..

Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..

Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
Mkuu kishuleshule mara nyingi ilikuwa ni Vibwengo, hii ilivuma sana, kuna kipindi tulikuwa kwenye Hall moja tunasoma usiku ka saa 9 hivi, mwamba mmoja akapayuka "kibwengo" tulipoteana vibaya mno, mixer wengine kuumia kwa kujigonga kwenye madawati. Yaani nilivofika dom ndo nikajua nimejigonga na mlango kwenye paji la uso.
 
Umeshakula leo?
1000244723.jpg
 
Mimi nilikuwa na jini langu limenipenda nalizagamua mara 3 Kila siku na sitoi hata mia mbovu,sijui nilikosea wapi likaniacha
Yale hayataki kuchitiwa na huwezi kumuongopea,ukiwa naye ni yeye tu ukichepuka anakudhibu vibaya hata kama alikuwa amekupa viwalo anakuvua anakuacha uchi masharti yao magumu lakini mimi nikimpata nitayeweza kwani nimechoka na haya mambo nataka nitulie sasa
 
Yapo haya,
Ila niliowaskia wengi kukutana na hawa viumbe ni muslims (me) dar na mdada mi mmoja wa moshi
Makutano makubwa huwa ni beach,
Inasemekana hayapendi/yanaogopa kitimoto, so kama unakula umelikosa hilo jini ke,
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Ndiyo hayahaya! Sikuhizi yapo live.
 
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
You may be right, with these daughters of Eve you may loose your soul. But as for Majini, are you really prepared to sell your soul to the Devil himself? I do not think it's a better alternative to your predicament.
 
Mkuu kishuleshule mara nyingi ilikuwa ni Vibwengo, hii ilivuma sana, kuna kipindi tulikuwa kwenye Hall moja tunasoma usiku ka saa 9 hivi, mwamba mmoja akapayuka "kibwengo" tulipoteana vibaya mno, mixer wengine kuumia kwa kujigonga kwenye madawati. Yaani nilivofika dom ndo nikajua nimejigonga na mlango kwenye paji la uso.
Hahaa hiyo ni kweli kwa boarding schools. Story ni nyingi na wengine waliosoma usukumani ndani ndani. Walitutisha na story za misukule ya gambushi
 
Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..

Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..

Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
Kisha nikaona mwanga mweupe na kiumbe mrefu ambaye ukitazama juu humuoni kichwa wala mwisho wake
 
Daah umenikumbusha kile kitabu nimesahau jina kava lake kuna sijui ndio jini linanyonyesha mtoto🤣ila kuna wahusika humo sijui Ally kinasa, sakina halafu wakajidai kusema ni story ya kweli ya ujinini..
 
Ahhh wewe kweli legend 😁. Nakumbuka tulikuwa tunaogopa kwenda shule mapema sababu ya majini..

Kwamba kuna wanafunzi waliskia harufu ya pilau, walipoifuatilia hadi chooni wakakutana na sinia limejaa pilau kuku. Kimasikhara wakaanza kula lakini chakula hakiishi. Mara paap jini akatokea na akawashurutisha wale hadi wamalize. Mwisho wa siku wakapasuka tumbo 😁😁..

Hapo ukiangalia shuleni kuna vyoo havitumiki na vimezungushiwa miti ya miba.. Unaamini 😁
Nishawahi kujinyea kisa huo upuuzi yaani nilikuwa naogopa kwenda chooni nimeacha kuogopa kwenda mwenyewe chooni nikiwa chuo
 
Back
Top Bottom