Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Kwani ni lazima kukubaliana nao?Na haya ndio utakayoambiwa Kanisani na kwenye Baraza la Kata, ukienda Mahakamani utakachoambiwa zaidi mwambie aje siku fulani kusikiliza Shauri lake, mchezo umeishia hapo
Ipi mkuu?Mbona umetoa Ile picha yako, nilikuwa nataka niisevu mahali nikasahau. Rusha basi mrembo
Mimi nimesema aende mahakamani moja kwa moja hawezi atafute Mwanasheria amsaidie hio ndoa inavunjwa bila kupitia Kata wala Kanisani, usisahau kuna 'exception' na 'exemption'Ni lazima uanzie huko, hiyo ni sheria. Unajuaje kama Devis Mosha hakuanzia huko. Huko kanisani au baraza la kata hakuna mtu atakushawishi ubadili maamuzi yako. Huwezi kupokelewa shauri kama hujapitia huko
haya mambo ya kupangiwa ratiba ndio huvuruga ndoa, ngumi huweza kutokea kitandani mtu akadundwa kama ataleta ratiba hiyoMrs Besyige akishaanza kugawa utamu nje tu ndoa inapoteza radha utasikia unaanza kunyimwa unyumba mara unapangiwa ratiba km upo Shule ya Msingi
Mimi niliambiwa lazima upitie huko, then mahakama ya mwanzo. Kumbuka mahakama ya mwanzo huruhusiwe kuweka mwanasheria. Hizo exceptions ni zipi?Mimi nimesema aende mahakamani moja kwa moja hawezi atafute Mwanasheria amsaidie hio ndoa inavunjwa bila kupitia Kata wala Kanisani, usisahau kuna 'exception' na 'exemption'
'Yeye ampatae mke amepata kitu chema....'
Soma hukumu ya Davis Mosha walianzia baraza la usuluhishi la kata na ikashindikana.Kanisani na Baraza la Kata? Kufanya nini kutafuta usuluhishi?
Wahi Mahakamani Davis Mosha hakuanzia Kanisani wala Baraza la Kata moja kwa moja Mahakamani
Uende Kanisani ukaambiwe uendelee kuishi nae? Maana hicho ndio watakachokwambia kwamba bwana we acha usumbufu mlikuja wenyewe tukawafungisha Ndoa sasa mboni mnakuja kusumbua tena?
Sawa Baraza la Kata aende haina shida Ila asiache kwenda mahakamani,Soma hukumu ya Davis Mosha walianzia baraza la usuluhishi la kata na ikashindikana.
Baraza la kata ni takwa la kisheria. Bila kuanzia huko shauri halipokelewi mahakamani.Sawa Baraza la Kata aende haina shida Ila asiache kwenda mahakamani,
Ushakaliwa kichwani.Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako[emoji24][emoji24] unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze[emoji1787]
Basi cha moto utakiona.Mkristo
Hahaha duhFyeka vidole ili tuone kama huyo x wake atampenda bila vidole[emoji23]
Kwa hio wewe hauna ratiba?Ukaona unitag kabisa looooh. Hao wanaoweka ratiba hawajui mambo mazuri na matamu yanapopatikana.
Nina ratiba ya msosi tu nyumbani kwanguKwa hio wewe hauna ratiba?
KATAA NDOA MNAITWA HUKU, KUNA MHANGA MJE MMPE USHAURI!!!Hizi ndoa hapana wakuu!
Niwaase tu wale ambao hawajaoa wawachunguze sana wachumba wao kila tukio baya kipindi Cha uchumba usilichukulie poa.
Mfano:-
NB: Naomba utaratibu wa kumpa mtu talaka.
- Umegundua mchumba wako bado anawasiliana na x wake ujue hiyo hali itaendelea mpaka ndoani na wanaweza wakazaa na mtoto na ukamsomesha kabisa.
- Umeona mchumba wako ana jazba ujue ukioa/olewa nae atakuwa anajaziba Mara kumi.