Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Uko poa lakini?ikizidi miezi 6 jamaa bado anapagawa na wewe inamaana gani?
Bikira sio sababu mtu kuwa mke mzuri au mbaya, na mara nyingi vinavyoua ndoa sio umalaya, tunajua cheating nyingi zinaanza kama kuna matatizo tayari, umalaya ukianza especially mwanamke ni kama tayari anajua ndoa imeishaKifupi kama sio bikira ni red flag tosha kwamba umeoa malaya
Muda wowote bomu linakuripukia
Fukuza umbwa hiyoMimi mke wangu kila kukicha tu yupo busy na simu mpaka kitandani...nimeacha kabisa kumsemesha nimejipatia mtoto wa kiislamu full adabu. Soon namfukuza huyu hana adabu hata ndoa bado ananijazia ndugu zake na adabu hana.
niko poaUko poa lakini?
Vipi ishu yako ilikaa sawa ?
Pole sana aisee, So Bi mkubwa alikataa kabisa ?niko poa
haikukaa sawa
yahPole sana aisee, So Bi mkubwa alikataa kabisa ?
Kama ni hivyo Wacha Maisha yaendelee tu. Keep moving forward.yah
na yalishapita
Mkuu inaonekana una ujuzi wa mambo mengi aiseeSema pm yangu inasumbua kufunguka ningekuelekeza ufanye mwenyewe ni simple tu na haina gharama kwamba kuna kitu utanunua au mitishamba utafute. Gharama yake ni kinywaji apendacho sana.
Na atashindwa kuchati na X wake maana hataweza kutype sababu vidole vimekatwa, mtoa mada azingatie huu ushauri.[emoji1]Fyeka vidole ili tuone kama huyo x wake atampenda bila vidole[emoji23]
Eti!!!!, mi si namrukia vichwa vya uso kama kondoo, yaani namng'oa meno, na ukiongea na mwanamke akawa anajibu kwa nyodo ujue anakuona uko weak sana.Anakujibu hivyo ukiwa umesafiri haupo karibu nae au mkiwa ana kwa ana?
😁😁😁😁😁😁 sijui anafeli wapi yaniNa atashindwa kuchati na X wake maana hataweza kutype sababu vidole vimekatwa, mtoa mada azingatie huu ushauri.[emoji1]
Mpe talaka haraka huyo, utakuja kuishia gerezani. Huna mke hapo.Yani ni balaa kwakweli, wife unamwambia achana kuwasiliana na x wako, anakwambia na ww hujakatazwa kuongea na ma-x wako😭😭 unaangalia panga unalizoooom unaishia kusema Ee! Mungu niongoze🤣