Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Swali la kwanza nalijibu kama ifuatavyoo hapo mungu alikuwa anaongea na yesu kwa sababu alikuwa ashaviumba viumbe vya kiroho tayari
 
Wewe bibilia haujui, nita weka ushahidi hapa uta kimbia mwenyewe first of all bibilia ni maneno ya utashi wa Paulo 3 :15 wagalatia, kwa hyo humo kuna full matango po

Wewe bibilia haujui, nita weka ushahidi hapa uta kimbia mwenyewe first of all bibilia ni maneno ya utashi wa Paulo 3 :15 wagalatia, kwa hyo humo kuna full matango pori
Ila quruan ndio imeshuka kutoka juu mbinguni? basi sawa
 
Ukweli unaujua halafu unashindwa kuuthibitisha,si ndio ujinga wenyewe,wewe sema umekaririshwa huko Sunday school
Ukweli naujua kuwa Biblia ni kitabu cha KIROHO. Sababu zake ni utimizo wa unabii ulioandikwa. Darasa hili ni kubwa. Lakini nimekutaka unipe mbadala wa Biblia.
 
 
2:97 Say (O Muhammad): "Whoever is an enemy to
Jibril (Gabriel) (let him die in his fury), for indeed
he has brought it (this Qur'an) down to your heart
by Allah's permission, confirming what came before
it (i.e. the Tawrah and the Injil) and guidance and
glad tidings for the believers.
The scholars of Tafsir agree that this Ayah (2:
97-98) was revealed in response to the Jews who
claimed that Jibril (Gabriel) is an enemy of the
Jews and that Mikhail (Michael) is their friend.
 

ndio hiyo iliyosema kuhusiana na mabikira 72 sio?
 
Kuna muda unaweza ukaona umetoa hoja nzito kumbe umeongea zaidi ya pumba za mabua ya mahindi, umeandika nini? hiyo aya aliyekwambia inatafsiriwa hivyo ni nani? kwenye kiarabu kuna vitu vinaitwa dhwamiri hizi zimetumika zaidi kwenye Qur'an, basi hiyo aya inasema hivi:-

"{ قُلۡ مَن كَانَ عَدُوࣰّا لِّجِبۡرِیلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلۡبِكَ بِإِذۡنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقࣰا لِّمَا بَیۡنَ یَدَیۡهِ وَهُدࣰى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِینَ }
[Surah Al-Baqarah: 97]

Aya hii iliyeteremka kwaajili ya mayahudi maana wao ndio husema kuwa jibriyl ni adui yao katika malaika tangu enzi ya musa swala na amani ziwe juu yake, na aya hizi mbili zimeshuka kuwatahariza kuwa kama wao ni maadui wa jibriyl basi yeye ndiye aliyeteremsha Qu'ran kwa mtume muhammad swala na amani ziwe juu yake kwa idhni ya allah, habari ya shetani inatoka wapi?! na aya inayofuatia baada ya hiyo inaonesha wazi makusudio ya aya ya juu, ama shetani hawezi kuteremsha Qu'ran wala haimpasii yeye kufanya hivyo.

"wala {hii Qur'an}hawakuteremka nayo mashetani, wala haiwapasii wao, na wala hawawezi, hakika hao wametengwa {mbali} na kusikia{ukumbusho....."

Qu'ran 26:210-212

Basi maadui wa jibriyl ni mayahudi.

"Basi yeyote ambaye ni adui wa Allah na malaika wake na mitume wake na jibril na miykaail, basi hakika Allah ni ni adui wa makafiri.."

Qu'ran 2:98

Usirudie tena kutafsiri Qu'ran kama unatafsiri lambert.
 
akili Ina ukomo wa kuyajua mambo ya Mungu ama Mungu mwenyewe. Kwa mfano: akili ya mwanadamu haiwezi kujua maisha baada ya maisha haya. Nini kitafuata baada ya mtu kukutwa na mauti, akili haiwezi kujua.
Kwenye Qur'an yote yameelezwa yaani historia yote ya kuanza mwanadamu mpaka mwisho wake umeelezwa, ila kuyaingiza kwenye fikra nzito kwa akili zetu ndio haiwezekani kwasababu mengi ni mambo ya ghayb, yaliyofichikana na yanayotokea kwenye ulimwengu mwingine baada ya kufa.
 
mtume Paulo ni Myahudi wa Tarso wa kabila la Benyamini aliyezaliwa Rumi. Haya mambo yako wazi kwa mtu kuwa na uraia wa nchi mbili ni kawaida kabisa!
 
yeah, mambo ya ulimwengu wa roho akili ya mwanadamu haiwezi kuyaelewa. kamwe!
 
Vitabu vyote vya Dini vimeandikwa na Binadamu... hakuna kitabu kimetoka mbinguni
 
Acha kuzungumzia mambo ya watu wakati huyajui sheria mama kwenye uislamu ni Qu'ran na hadithi sahihi za mtume muhammad swala na amani ziwe juu yake, mtume ndiye anayeeleza maana ya Qu'ran na kuitafsiri:-

"......na tumekuteremshia wewe ukumbusho ili uwabainishie watu yale yaliyoteremshwa kwao, na ili wapate kutafakari.."

Qur'an 16:44

Hivyo mambo ya waislamu tuachie wenyewe nyie pambaneni na mafundisho yenu ya Paulo na wenzie, sisi sheria yetu imebebwa na Qu'ran na hadithi sahihi za mtume swala na amani ziwe juu yake, na elimu ya sayansi ya hadithi ni elimu wanaisoma wanafunzi na wanazijua hadithi sahihi na zilizotungwa kwa malengo ya kuuharibu uislamu, kila kitu kimechungwa na kuhifadhiwa.
 
Vitabu vyote vya Dini vimeandikwa na Binadamu... hakuna kitabu kimetoka mbinguni
Unazungumzia dini gani, nani huyo mwenye kuweza kutunga kitabu kisicho na kosa hata 1 kama Qu'ran katika viumbe yuko wapi? haiwezekani kabisa.
 
Paulo kaenda shule,kafundisha sawasaw na Yesu Kristo alivyofundisha Sio kinyume kama mafundisho mengine yaliyofuata karne ya 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…