Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

KwUKwanini bible iandikwe mafumbo wakati lengo ni kuielewakisoma Yohana 1: 1 - 18
Utaona inatoa majibu ya kwamba wakati wa uumbaji wa ulimwengu na vitu vyake, utaona ulimwengu ulifanywa na Mungu baba na mwana, huyu mwana katajwa kama Nuru au Neno aliyekuja kufanyika mwili (Yesu Kristo)...
 
Ukitaka kumuamini Mungu we muamini kwa njia zako, ila kutumia hivyo vitabu sijui kwenda kanisani ni kutafuta kuchanganyikiwa. Vitabu hivyo vimejaa alot of contradictions. Hivyo vitabu havitaki watu wanaojiuliza bali kuamini tu.

Ukiona unaanza kujiuliza ujue unakaribia kujiunga na sisi tusioenda kanisani, wala kusoma tena hiyo biblia. Yaani utaanza kuishi nje ya box.
 
ndio hiyo iliyosema kuhusiana na mabikira 72 sio?
Na hicho ndio kinacho waponza kila siku nyinyi kondoo, ujuaji mwingi, kejeli, dharau ikiwa unatakakujua uliza kama unataka kujua lakini unauliza kitu alafu unangiza ujuaji, huo ujuaji mngeufanya kanisani basi hakuna mchungaji angeweza kuwapuna, yaani kwa akili zako fupi unajua quraan imeeleza mabikra , kwanza hao mabikra ni wachache yaani wapo wengi sana, pili hao wanaopata mabikra ni final yao, yaani kama ni movie basi ulichoongea wewe ni the end , quraan imeeleza maisha yako ya kaburini , na utakavo fufuka nk
 
Wewe ni mtumwa wa fikra,unatumia nguvu kubwa sana kumtetea huyo Mungu why asijitetee mwenyewe?
Kila siku nasema Allah anajitetea mwenyewe kupitia vitabu vyake na mitume yake , swali kwako, Allah kampa daraja mama ila sayansi haijafanya hivo , na mwanamke ni chombo cha kuzaa, swali kwako unaonaje uki sex na mama yako , maana sayansi ime accept
 
Ukifutilia neno lake utagundua yule mtu haukustahili kuitwa mungu na hata Kama nimungu Basi Ni mungu wa Israel si mungu wa viumbe wote Hana sifa za upendo Bali Ni katili
 
😂😂😂😂😂
Tufanye wayahudi ni "maadui" wa Jibril
Swali la kwanza;
Je kwanini hao maadui wa Jibril ambao ni makafiri kwenu wawashushie nyie kuluwani?

Swali la pili;
Neno "aliyekuwa adui wa Jibril" linaangazia umoja na sio wingi kama mnavyotaka kutuaminisha kuwa wayahudi ndo maadui wa Jibril, Sasa je kuluwani haijitambui katika uwasilishaji wake wa maandiko hali ya umoja iwakilishe jamii ya watu?

Swali la tatu;
Muhammad ndiye aliyeiteremshiwa kuluwani na alikuwa peke ake mapangoni, je wayahudi (ambao ndo mnawaita ni adui Jibril)waliiteremsha vipi hiyo kuluwani kwa Muhammad?
 
acha kuruka ruka, mtoa mada katoa vifungu vya biblia tulia hapo, kama una swali kuhusu hiyo aya hapo fungua uzi utajibiwa, acha janja janja watu wanatakiwa kuuwa mpaka mbuzi sasa ana kosa gani?
 
Hili swali limejibiwa sana kama una maswali ya ziada fungua uzi tumalizane huko, kwa leo jikite na mtoa mada, iweje Mungu awe na bifu na wazaliwa wa kwanza mpaka wa wanyama? sasa wanyama wamemfanya nini huko katika biblia? Acha kuruka ruka kama kunde
 
Tulia huyo ameshindwa kutulia kwenye mada anatafuta pa kukimbilia
 
KUNA HII MPAKA PUNDA IMEKULA KWAKE

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
 
KUNA HII MPAKA PUNDA IMEKULA KWAKE

Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.

1 Samueli 15:3
Yalikuwa ni mambo ya kiwaki sana. Agano la kale lilikuwa na amsha amsha sio kitoto
 
Mungu ndie Shetan na shetan ndie Mungu, kwa wasio jua walitambue hili kuanzia leo.

MUNGU ktk maandiko anadai hafananishwi na lolote lkn akaja kuumba kiumbe ambaye ni mfano wake(mikanganyiko) tena si pekee bali walikuwa wengi(tumfanye).

Na kuhusu ukatili wa Mungu iyo iko wazi maandiko yanadai aliufanyq Moyo wa farao kuwa mgumu ili aendelee kuwashikilia waisrael na Mungu apate sababu ya kumpiga matukio na mateso kwa wamisri uku akijipatia misifa ya kijinga kwa wafuasi wake.

Yaan Mungu kiufupi ni shetani mwenyewe aliyeshiriki uchawi wa kulaghai na kuloga moyo wa mtu ili atende lile analotaka huyu Mungu, kiufupi Mungu dictecta anapingana na maandiko kuwa aliumba watu wawe na uhuru lkn anaingilie uhuru wao wa maamuzi ya akili na moyo tena kinguvu kwa kuloga akili ya mtu iwaze vile Mungu(shetan) atakavyo.

Kimaandiko na ushahidi Mungu ndie gaidi nambari moja aliyeshiriki mauaji ya viumbe wengi kuliko hata huyo shetan ambaye ndiye yeye mwenyewe kwa majina ya vificho, ndiomaana hutowai kuona Mungu akimuadhibu shetan why? Kwasababu ndiye yeye mwenyewe na hawezi kujiadhibu zaidi zaidi anawalaghai watu kuwa mwisho wa shetan(Mungu) ni hukumu ya milele hapo mwisho wa dunia😀😀 mwisho ambao anautumia kuwadanganya watu akiamini ni mbali.

Amkeni jmn dini hizi mmepigwa
 
Yalikuwa ni mambo ya kiwaki sana. Agano la kale lilikuwa na amsha amsha sio kitoto
Itakuwa kipindi hiko Mungu wa biblia alijizima data, maana watu wengi hawajui hivi vitu, kuwa Mungu alikuwa na hasira mpaka na Mbuzi
 
Sijui hata unaongea vitu gani, wacha nikuache.
 
Those hints in brackets who elaborated them? Qur'an? But why elaboration and Qur'an is so satisfactory to its name?
Don't defend it let it defend by itself

Quran is scam
 
acha kuruka ruka, mtoa mada katoa vifungu vya biblia tulia hapo, kama una swali kuhusu hiyo aya hapo fungua uzi utajibiwa, acha janja janja watu wanatakiwa kuuwa mpaka mbuzi sasa ana kosa gani?
Nadhani unapaswa na wewe kutoa ufafanuzi na sio kukwepa kwa kigezo cha "fungus Uzi utajibiwa"
 
Those hints in brackets who elaborated them? Qur'an? But why elaboration and Qur'an is so satisfactory to its name?
Don't defend it let it defend by itself

Quran is scam
He who learns but does not think, is lost! He who thinks but does not learn is in great danger.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…