Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

Ni kweli kuna vitabu vimeandikwa na Paulo.

Miongoni mwa vitabu hivyo ni Warumi,Wakorinto, Waefeso, Wagalatia, Wafilipi,Wathesalonike n.k
Na vyote vipo kwenye Agano jipya.

Hakuna ubaya wowote wa uwepo wa hivi vitabu kwenye Biblia kwa sababu kwa sehemu kubwa vinamuelezea Yesu Kristo.

Wakati Yesu anaishi duniani hakuitwa Kristo, watu wengi walimwita Yesu mwana wa yusufu na wengine walipendelea kumwita Yesu wa Nazareth. Hili jina la Kristo limekuja kutumika sana baada ya kusulubishwa msalabani na kufufuka katika wafu.Tunamuita Kristo kwa sababu yeye ni wa kipekee (chosen). Alikuja ulimwenguni na kufa kwa ajili ya dhambi zetu ili sisi tuokolewe.

Ni kweli kuna baadhi ya vitabu kwenye Biblia ambavyo mwandishi wake hajulikani mfano haijulikani aliye andika kitabu cha Joshua.

Mimi naona ili mtu uwe Mkristo au Muislam unapaswa kuwa na Imani pia. Kwa sababu hata kwenye Quran mambo ni Yale Yale tu mfano wewe ukitaka kumshawishi mtu awe Muislam utamwaminishaje kwamba Quran ilishushwa na Mwenyezi Mungu ? Na pia mtu anaweza akakwambia kwamba ata amini vipi kuwa Mtume Mohammed aliishi duniani ?

Kuhusu sinagogi huo ni utamaduni wa watu. Yesu alikuwa akisali kwenye Sinagogi kwa sababu alizaliwa na kuishi kwenye Uyahudi. Wayahudi walikuwa wakienda kwenye Masinagogi kufanya ibada zao (hasa siku za Sabbath).

Watu watahukumiwa kwa Matendo yao na sio kuangalia walikuwa wakisali kwenye Jengo la Muundo upi. Mimi naamini kuna Wayahudi watakaotupwa motoni japokuwa wanasali kwenye Sinagogi.

Kwenye Wagalatia 3:15 hapo Paulo alikuwa akiongelea sana kuhusu vitabu alivyoandika (ikiwemo wagalatia yenyewe ) na sio Biblia yote kwa ujumla.
Mkuu at least nimeona umeongea point, kuwa suala mtu kuwa Muslim au christians ni Imani, hapa nakupa 100% lakini Imani zipo aina 2, inayo ingia akilini na isiyo ingia akilini, na ndio maana wale wahindi wanao abudu ngo'mbe, mbuzi, nyani, nk tunawashangaa, inawezekana vipi ng'ombe au mbuzi akupe baraka Eti una oga mkojo wa ng'ombe, hii haingii akilini hata kidogo,
Hivi
ukisoma bibilia kwa umakini mkubwa na ukisoma quraan utaona kipi ni sahihi, tena nakushauri soma Quran then fanya utafiti na sayansi ya leo utapata mwanga, kuwa muislamu hayo ni maamuzi yako hakuna anayekupangia
Ikiwa YESU aliishi ktk mila za kiyahudi na alisali na wayahudi na hakuubiri ukristo, sasa nyie ukristo mmeutoa wapi kama si kwa Paulo?,
Kuhusu Quran kushushwa (kuteremshwa) hyo mbona ipo wazi mkuu, okay nenda kwenye kamusi ya kiswahili kaangalia hayo maneno tafsiri yake, alafu rudi ktk Quran tukio la lenyewe, mtume Muhammad (s.w) alitokewa na malaika jibril (a.s) akaambiwa asome (iqra), na mtume akawa hajui asome nini, lakini kwa sababu ya shinikizo la jibril aka anza kusoma hiyo sura (iqra bismi rab bikal lazee khaaq........) , tuishie hapa kwanza, haya hebu tupate majibu
Jibril (a.s) Katumwa na ALLAH (s.w) ashuke duniani tena aje kwa mtu maalum na amshushie maneno maalum, in short dhana n maana ya kusema Quran kariim imeshushwa ipo hapo, na usisahu huyo jibril haishi duniani na ndio mwalimu wa mtume pia yale maneno mtume aliyatamka kwa uwezo wa ALLAH, nafikiri nimekujibu Kwa 100% ingawaje siyo topic yetu
 
Mkuu at least nimeona umeongea point, kuwa suala mtu kuwa Muslim au christians ni Imani, hapa nakupa 100% lakini Imani zipo aina 2, inayo ingia akilini na isiyo ingia akilini, na ndio maana wale wahindi wanao abudu ngo'mbe, mbuzi, nyani, nk tunawashangaa, inawezekana vipi ng'ombe au mbuzi akupe baraka Eti una oga mkojo wa ng'ombe, hii haingii akilini hata kidogo,
Hivi
ukisoma bibilia kwa umakini mkubwa na ukisoma quraan utaona kipi ni sahihi, tena nakushauri soma Quran then fanya utafiti na sayansi ya leo utapata mwanga, kuwa muislamu hayo ni maamuzi yako hakuna anayekupangia
Ikiwa YESU aliishi ktk mila za kiyahudi na alisali na wayahudi na hakuubiri ukristo, sasa nyie ukristo mmeutoa wapi kama si kwa Paulo?,
Kuhusu Quran kushushwa (kuteremshwa) hyo mbona ipo wazi mkuu, okay nenda kwenye kamusi ya kiswahili kaangalia hayo maneno tafsiri yake, alafu rudi ktk Quran tukio la lenyewe, mtume Muhammad (s.w) alitokewa na malaika jibril (a.s) akaambiwa asome (iqra), na mtume akawa hajui asome nini, lakini kwa sababu ya shinikizo la jibril aka anza kusoma hiyo sura (iqra bismi rab bikal lazee khaaq........) , tuishie hapa kwanza, haya hebu tupate majibu
Jibril (a.s) Katumwa na ALLAH (s.w) ashuke duniani tena aje kwa mtu maalum na amshushie maneno maalum, in short dhana n maana ya kusema Quran kariim imeshushwa ipo hapo, na usisahu huyo jibril haishi duniani na ndio mwalimu wa mtume pia yale maneno mtume aliyatamka kwa uwezo wa ALLAH, nafikiri nimekujibu Kwa 100% ingawaje siyo topic yet
Umesomeka mkuu.
 
Shida iko kwenye usomaji wa biblia weng wamefunzwa kusoma biblia kwa vifungu badala ya kusoma story nzima unasoma mwanzo 6-10 je 11-20 kuna maelezo gan nazan tujifunze kusoma bible story nzima ili kupata pic halisi ya nn kinazungumziwa
 
Lakin pia nazan tuishi tu km wale sokwe wa kwenye theory, ukiichunguza sana Biblia ni ngumu kuielewa na kujua inamaanisha nn ktk baadhi ya mambo.

Waswahili wanasema ukimchunguza sana bata au nguruwe huwezi kumla

Kwa mikate 5 na samaki 5 Yesu aliwalisha watu elf5 ukiwaza kwa akili ya kawaida ni ngumu kuelewa ila ukitoka nje ya box unaweza elewa
 
Shida iko kwenye usomaji wa biblia weng wamefunzwa kusoma biblia kwa vifungu badala ya kusoma story nzima unasoma mwanzo 6-10 je 11-20 kuna maelezo gan nazan tujifunze kusoma bible story nzima ili kupata pic halisi ya nn kinazungumziwa
Siyo hiyo tu, hata kabla ya kukariri Biblia na Quran inabidi Waafrika tusome historia ya hizi dini za michongo.....kwa kweli hazina maana yeyote kwetu, ni uzushi mtupu tu.
 
Siyo hiyo tu, hata kabla ya kukariri Biblia na Quran inabidi Waafrika tusome historia ya hizi dini za michongo.....kwa kweli hazina maana yeyote kwetu, ni uzushi mtupu tu.
Mkuu uislamu ni dini iliyokamilika, ktk nyanja zote ki uchumi, ki siasa, kijamii na ki itikadi, kama wewe una amini miti ni juu yako
 
Mkuu uislamu ni dini iliyokamilika, ktk nyanja zote ki uchumi, ki siasa, kijamii na ki itikadi, kama wewe una amini miti ni juu yako
Usijidanganye na ndiyo maana nimesema tusome historia ya hizi dini kabla ya kukariri vitabu vyao vya kizushi, hivi unazijuwa sifa za Mohammed kweli? Unafahamu kama jamaa alikuwa ni mbakaji na muongo? Unajuwa kuwa alishukiwa na shetani na kupewa Qur'an, unafahamu kuwa alikuwa kichaa na akawa anachekwa na watu kwa ukichaa wake?
 
Usijidanganye na ndiyo maana nimesema tusome historia ya hizi dini kabla ya kukariri vitabu vyao vya kizushi, hivi unazijuwa sifa za Mohammed kweli? Unafahamu kama jamaa alikuwa ni mbakaji na muongo? Unajuwa kuwa alishukiwa na shetani na kupewa Qur'an, unafahamu kuwa alikuwa kichaa na akawa anachekwa na watu kwa ukichaa wake?
Wewe ni mpumbavu tena toleo la mwisho, angalia unacho ongea, moyo wako umejaa chuki,husda na roho mbaya, kuna kitabu kitakacho izidi Quran?, ikiwa karne na karne wameshindwa tena kuleta japo aya moja ifanane na Quran uta weza wewe na matusi yako,
ikiwa wewe hujijui ulikuja vipi duniani na hakuna aliyesema hayo ispokua ALLAH (s.w),
Note: kama huamini Quran, basi nenda ka muingilie mama yako ili muendeleze kizazi chenu wewe si anthesis
 
Wewe ni mpumbavu tena toleo la mwisho, angalia unacho ongea, moyo wako umejaa chuki,husda na roho mbaya, kuna kitabu kitakacho izidi Quran?, ikiwa karne na karne wameshindwa tena kuleta japo aya moja ifanane na Quran uta weza wewe na matusi yako,
ikiwa wewe hujijui ulikuja vipi duniani na hakuna aliyesema hayo ispokua ALLAH (s.w),
Note: kama huamini Quran, basi nenda ka muingilie mama yako ili muendeleze kizazi chenu wewe si an

Siyo hiyo tu, hata kabla ya kukariri Biblia na Quran inabidi Waafrika tusome historia ya hizi dini za michongo.....kwa kweli hazina maana yeyote kwetu, ni uzushi mtupu tu.
Na kama uta shindwa ku muingilia mama yako na ku waambia umma basi usini quote, huna hoja
 
Wewe ni mpumbavu tena toleo la mwisho, angalia unacho ongea, moyo wako umejaa chuki,husda na roho mbaya, kuna kitabu kitakacho izidi Quran?, ikiwa karne na karne wameshindwa tena kuleta japo aya moja ifanane na Quran uta weza wewe na matusi yako,
ikiwa wewe hujijui ulikuja vipi duniani na hakuna aliyesema hayo ispokua ALLAH (s.w),
Note: kama huamini Quran, basi nenda ka muingilie mama yako ili muendeleze kizazi chenu wewe si anthesis
Sasa hapa mpumbavu ni nani, usipende kukariri vitu usivyovijuwa. Hebu nitajie katika maisha yako umesoma vitabu gani na vingapi?
 
Sasa hapa mpumbavu ni nani, usipende kukariri vitu usivyovijuwa. Hebu nitajie katika maisha yako umesoma vitabu gani na vingapi?
Mpumbavu ni yule anaye igiziwa hekealuni kuwa bibi yake ana fufuliwa na yeye anatoa pesa kisha baada ya tukio ana anza kulia kulia, kidume amesema ka misi laki tano zenu
 
Mpumbavu ni yule anaye igiziwa hekealuni kuwa bibi yake ana fufuliwa na yeye anatoa pesa kisha baada ya tukio ana anza kulia kulia, kidume amesema ka misi laki tano zenu
Ona sasa mtu akaririye vitabu na kulishwa ujinga bila kujijuwa, lazima atachemka tu akiulizwa ukweli. Pole sana gaidi mtarajiwa.
 
Ona sasa mtu akaririye vitabu na kulishwa ujinga bila kujijuwa, lazima atachemka tu akiulizwa ukweli. Pole sana gaidi mtarajiwa.
Wewe ni mpumbavu, kiboko ya wachawi hakuwaibia kanisani?, si mchungaji wenu, mimi sika riri, kibwetere aliwafanya nini?, mchungaji macnzie kenya aliwafanya nini?, lusekelo kawaambia YESU hakusali kanisani bali ktk SINAGOGI, nyie mnaenda kanisani kwa amri ya nani, unaijua maana ya SINAGOGI?, nyie wakristo ndio mpo empty
 
Wewe ni mpumbavu, kiboko ya wachawi hakuwaibia kanisani?, si mchungaji wenu, mimi sika riri, kibwetere aliwafanya nini?, mchungaji macnzie kenya aliwafanya nini?, lusekelo kawaambia YESU hakusali kanisani bali ktk SINAGOGI, nyie mnaenda kanisani kwa amri ya nani, unaijua maana ya SINAGOGI?, nyie wakristo ndio mpo empty
Haya unayoyasema mimi hayanihusu na hao uliowataja ni wasanii wa dini, kuna nini cha hajabu hapo au ulitaka kumaanisha nini? Usiandike vitu kwa kukurupuka tu kama ufanyavyo siku zote unapoguswa.
 
Bibilia sio kitabu cha kawaida ukikisoma kawaida huambulii kitu zaidi ya kuvurugwa.. inahitaji hekima kubwa kuielewa Bibilia
 
Makanisa hadi leo hawajaweza kuifundisha bibilia kwa usahihi tokea kitabu cha mwanzo hadi ufunuo, kwahiyo wakristo wanasoma tuu kitabu wasichokielewa kinawachanganya lakini hawana namna.

Alieumba dunia na wanadamu yupo ila jina lake sio Mungu, ninaamini katika uwepo wa muumbaji ni kweli yupo ila jina lake sio Mungu japo ameshajua mnamuita Mungu, alie kinyume na Muumba na wanadamu yupo ila haitwi shetani ana jina lake ila hamlitumii na hapo ndipo anapofurahia..
Kwakifupi tuu ujue Mungu ni mwanadamu pia shetani ni mwanadamu ila alieumba yupo na aliekinyume na Muumba yupo
 
Bibilia sio kitabu cha kawaida ukikisoma kawaida huambulii kitu zaidi ya kuvurugwa.. inahitaji hekima kubwa kuielewa Bibilia
Na hicho ndio kichaka chenu, lakini hiyo hoja yenu haina ukweli kila siku humu huwa tuna sema,
 
H
Makanisa hadi leo hawajaweza kuifundisha bibilia kwa usahihi tokea kitabu cha mwanzo hadi ufunuo, kwahiyo wakristo wanasoma tuu kitabu wasichokielewa kinawachanganya lakini hawana namna.

Alieumba dunia na wanadamu yupo ila jina lake sio Mungu, ninaamini katika uwepo wa muumbaji ni kweli yupo ila jina lake sio Mungu japo ameshajua mnamuita Mungu, alie kinyume na Muumba na wanadamu yupo ila haitwi shetani ana jina lake ila hamlitumii na hapo ndipo anapofurahia..
Kwakifupi tuu ujue Mungu ni mwanadamu pia shetani ni mwanadamu ila alieumba yupo na aliekinyume na Muumba yupo
Hayo maneno umeyatoa know ktk kitabu gani?
 
Mimi ni mkristo na ninaamini Mungu yupo na anatenda. Ila kuna mambo ukisoma kwenye biblia lazima ujiulize maswali mengi sana yanayokosa majibu. Leo nitashea nanyi mambo ambayo naona kama yana ukakasi;

1. Kwenye Mwanzo 1:26 imeandikwa kuwa Mungu alisema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Nimejiuliza ina maana uumbaji ulifanywa nae kwa kushirikiana na wengine? Hakuwa peke yake? Hao wengine kina nani?

2. Mwanzo 6 - 10 kuna stori maarufu ya Nuhu. Hii ni stori ina ukakasi zaidi. Nikiandika maswali yote niliyojiuliza uzi utakuwa mrefu. Ninashauri mkaisome ili tuifungulie uzi wake.

3. Kutoka 11:5-6 kuna maandiko yanayosema kuwa wazaliwa wa kwanza wote wa wamisri kwa upande wa binadamu hadi wanyama watauwawa na Mungu mwenyewe ili waisraeli wapewe ruhusa ya kwenda nchi ya ahadi. Kiukweli haya yalikuwa ni mauaji ya halaiki kwa wasio na hatia. Unaambiwa hadi mzaliwa wa kwanza wa mbuzi, kuku, ng'ombe, mbwa na farasi waliuwawa. Kwanini isingetumika njia nyingine hao waisraeli wakaondoka?

4. Kitabu kizima cha Joshua kimejaa stori za mauaji matupu. Ikumbukwe Joshua alichukua nafasi ya Musa kwenye kuwaingiza waisraeli nchi ya ahadi baada ya kifo cha Musa. Nchi waliyoahidiwa ilikuwa tayari ina wakazi wake ambao ilibidi wauwawe wote ili kuwapisha waisraeli. Hivi ilishindikana vipi kufanya kama alivyofanya Mama Samia kuwatoa wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Msomera kwa amani kabisa bila kumwaga damu? Kama leo 2024 bado kuna maeneo duniani hayajakaliwa na binadamu ilikuwaje enzi za Joshua? Ukisoma kitabu cha Joshua utaona kila sehemu waliyopita walikuwa wakiua wenyeji watakaowakuta. Kulikuwa na sababu zipi za msingi za mauaji haya yote?

5. Ayubu 1:6-12 utaona stori ya shetani alipojiunga na wana wa Mungu kupita mbele ya Mungu kumwabudu hadi Mungu akashangaa imekuwaje shetani akawa eneo lile? Baada ya hapo Mungu na Shetani wakakubaliana kwenda kumjaribu Ayubu kwa sharti la kutogusa mwili wa ajabu (kumuua). Katika yale majaribu watoto wa Ayubu waliuwawa na shetani. Naweza kusema ni mauaji yaliyokuwa na approval toka juu. Ilikuwa kazi maalum. Je, sio kwamba wawili hawa hukutana na kukubaliana baadhi ya mambo? Sio kwamba kuna kazi za shetani zina kibali maalum?
kaanze kusoma upya
utaelewa tu
 
Back
Top Bottom