Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

..tunataka Makutupora -- Isaka nayo ijengwe.

..Mwanza--Isaka inalalamikiwa kwasababu hatujahakikishiwa " connection " na kipande kingine cha sgr.
Mtahamisha magoli sana.
 
Hotuba ya Rais inayosomwa leo Bungeni imepoa sana tayari lisaa limepita kila nacho sikiliza hakina strike , naona kazi iendelee tu , napata picha kuwa hayati Magufuli ataendelea kuishi sana kwa watanzania kutokana na aliyoyafanya.......mana asilimia 98 ya hotuba yote mpaka sasa ni yale aliyoyafanya Hayati JPM , neno kuu katika hotuba ya leo ni kuwa tutaendeleza mradi A,B,C........ kazi iendeleee tu....
Kwahio hayati arudi?
 
Kwa kuonesha kutoridhishwa na usimamizi na uendeshaji wa miradi ya Maji nchini.

Rais Mama Samia Suluhu ametangaza anakwenda kufanya mabadiliko makubwa kwa Mainjinia wa Maji nchi nzima.
 
Hao ni zero brain wa Mafia Boss Mbowe.

Wanataka avunje bunge, mara afukuze Majaliwa, mara afukuze Dotto James, mara afukuze nani sijui. Ukiwauliza makosa yao, hawana majibu eti maria sarungi kasema, sijui fatuma karume kasema ama kigogo kasema. Hawa ndio wanaomba Lissu awe rai awateue kwenye nafasi za uongozi nchi hii.
Kama alivyofanya mwendasake Naamini Mama ataondoa baadhi na kuingiza, kushusha na kupandisha baadhi Katika Utumishi wa umma Ila, tofauti na Mwendasake, yote Mama yetu atayafanya kwa mujibu wa sheria na kanuni za Utumishi wa umma na si kiuonevu na kwa kuvunja sheria Kama mwendasake
 
Back
Top Bottom