luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Hata akiizungumza haitakua direct boss, tuendelee kusubiri.Mama hajapunguza makato ya marejesho ya heslb.
SAME BULLSHIT DIFFERENT DAY
"Mavi yako yaache nyumbani"Matusi sijawahi kuyasikia kutoka kwa rais.
Dharau na kejeli ni relative terms.
Kuna wabunge ukiwauliza baada ya hotuba ni nini akichozungumza raisi hawaelew lolote wao ni makofi tuHawa wabunge ni kero, wanashangilia sana.
Kwa nini swali hili Mkuu?Kwa hiyo hili bunge linamwakilisha nani
Wanajua kweli kucheza na akili za watu, kuhusu demokrasia anasema lazima wafuate sheria, hakuna demokrasia isiyo na mipaka, sasa badala aruhusu mikutano ya kisiasa iendelee kwasababu ipo kisheria, anadai atakutana na viongozi wa vyama vya siasa.
Ndo ipi hyo wakuuu, haya ndo mambo ya msingi ya kuyajadili sisi vijana. Tuachane na mambo ya siasa uko.Mikopo ya asilimia kumi kupitia halmashauri zetu