Aliwakomoa makusudi watumishi kwa hisia eti walimpigia Lowasa kura 2015.Roho mbaya inauaHayati alikuwa ni bure kabisa!!! Hatimaye kuna kila dalili ya Taifa kupata ahueni baada ya mateso ya muda mrefu.
Hii tabia ya kutaman na kisifia wake za watu hii inabidi iiii pungueToka 2014 namfuatilia mate, kuna wanaume walibahatika kupata wake wazuri. Mmoja wapo ni Mume wa Ummy
Hata sera za 2015 nazo zilizalishwa na awamu ya TANO... hivyo hata 2021 na kuendelea, swami husika itatengeneza sera automaticallyWapinzani wanazidi tu kupotezwa, sijui mwaka 2025 watakuja na sera gani!!
Yes the guy was genious. I feel copy paste on Madam's speech.If you can't beat em,join em.
Magu ni legend
Dah Mkuu riz dah tangu Magu aingie ulipotea sana naona umerudiNipo pembeni nimejibanza namsikiliza bi mkubwa.
Dah uvccm jaman!!!! Kwa hiyo wakiwepo ndani ya bunge kula Kodi za waNanchi kinyume Cha katiba ninyi ndo inawafurahisha?!!! Hivi maccm Ni kwa Nini vitu vya kuvunja katiba na sheria za nchi mwavishadidia Sana?!!! Hamuwez kuishi kwa haki bila dhuluma?!!!!Wanatamani sana mama awatoe Covid 19 ndani ya Bunge,Bavicha yani watasubiri sana hawa Nyumbu.
Tusi liko wapi hapo?
Mavi ni tusi?