Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Mama sasa hivi anakemea vikali Wabunge kudemka ngoma za mitandaoni!😄😄😄
161882460.jpg
1618824712.jpg
2750046_1619007202.jpg
1619098691073.jpg
 
Wanatamani sana mama awatoe Covid 19 ndani ya Bunge,Bavicha yani watasubiri sana hawa Nyumbu.
Dah uvccm jaman!!!! Kwa hiyo wakiwepo ndani ya bunge kula Kodi za waNanchi kinyume Cha katiba ninyi ndo inawafurahisha?!!! Hivi maccm Ni kwa Nini vitu vya kuvunja katiba na sheria za nchi mwavishadidia Sana?!!! Hamuwez kuishi kwa haki bila dhuluma?!!!!
 
Kuna watu wanajitokeza huko mitandaoni kuwa fulani na fulani ndiyo walimpa sumu jeipiemu, waje watoe ushahidi waache kuleta uchonganishi kwa koo, kabila etc au warudi kwa Mungu
 
Hizi mbinu zinatumiwa na akili kubwa na sio mainjinia
 
Mama ameligusia na hili ameasa kama wana vithibiti wapeleke watasikilizwa vinginevyo waache uchochezi si vizuri na pia ameshauri warejee kwa Mungu
 
Magufuli wakati naye anaingia alihutubia bunge kwa hotuba inayofanana na hii!!
Sasa Tusubiri matendo tu!SIASA ZIMEKUWA SIHASA🤓🤓.

Tuna Imani na mama SSH.
 
Back
Top Bottom