Sio rahisi, ukiruhusu uhuru wa vyombo vya habari ni rahisi ku contaminate minds za watanzania and the impact may be worse. Wengi wetu sisi ni easy believe. Ni vema kuwa na circle ndogo ya watu ambao wako exposed na poison za dirty politicians.
Sijui bado anamuogopa Bashiru
Kwani mlivyokua mnaiba kura na kufanya uhaini kwenye uchaguzi lengo lenu lilikua nini?Kwaiyo wewe Bunge hili live la CCM tupu ndo unaona wazo lenu limetekelezwa,kwa hili Bunge la CCM watupu?
Basi kazi hipo!!.
Sounds like tindo...mimi nilisema atcl haina tija.
..na nilisema toka wakati wa jk.
..sasa hebu tueleze kama wewe unaamini atcl ina tija.
..Stieglers nimesema niko 50/50. Inaweza kuwa na tija kama tumejenga kwa mkopo wenye masharti nafuu.
..Je, wewe unafahamu kama mkopo wa kujenga stieglers ni wa masharti nafuu? Mbunge wako anafahamu?
..Sgr nimeonya kwamba tuwe waangalifu kwenye mkopo. Pia nimeonya Sgr kwamba faida iko kwenye mizigo, na siyo abiria.
..Je, tuna mkakati wa kuwa na viwanda vitakavyozalisha shehena / mizigo ya kutosha ili Sgr iendeshwe kibiashara?
..Kama Tazara inaendeshwa kwa hasara, je ni makosa wananchi kuwa na wasiwasi kuhusu hatima ya Sgr?
..Bandari ya Bagamoyo nimeonya kuhusu China kuwa na sauti kubwa ktk mradi huo kuliko Tz. Nimehoji kwanini tusiongeze hisa za serikali, au hata kujenga wenyewe? Pia nimehoji kuhusu hatima ya bandari ya Dsm.
..Sasa naomba uniambie kosa langu ni lipi hapo?
Cc Nguruvi3
Mbona kama unang'ang'aniza tutumie umoja..sema asante mwenyeweeee💃Mwacheni Rais Samia Suluhu Hassan achape kazi. Yeye ndio rais analiona taifa katika mtazamo wa juu zaidi ya mnavyofikiri na kuona
Na tuendelee kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli
Na tuseme asante kwa John Pombe Magufuli kwa kutuachia Ironlady Samia Suluhu Hassan
Ameondoka JPM wamezaliwa JPMs wa kutosha mama akiwa kiongozi wao
Kazi iendelee😍🇹🇿🙏
Ushuzi tupu.. so far sijasikia MATUSI.
..mtangulizi alikuwa hawezi kutoa hotuba bila kutumia lugha zisizo na staha.
Mbona kama unang'ang'aniza tutumie umoja..sema asante mwenyeweeee💃
Kuwapiga vita wazungu na kuwaita mabeberu ni usela wa zamani sana.Mabeberu wanatufaa basi, tusiwapige vita wanatuletea maendeleo
Shida ni yale majama ya pale ufipaMama akuna pahala alipotoa boko kapita kwenye mambo muhimu ya Taifa,matakataka mengine yote kapigachini.
Huyu maisha yake yote Mwendazake haji kumtoka kichwani. Anataka kila kitu kifanywe kama JPM.Mbona kama unang'ang'aniza tutumie umoja..sema asante mwenyeweeee[emoji126]
Jaji Mkuu kaambiwa watende haki kweli kweli.Oya mbona sielewi elewi, yani wale mamluki 19 wameachwa? au kuna hotuba part 2?
Hako kabibi kanasemaje nako?
Au sindio?Ungesema umetukamwa wewe kwa kuitwa mnyonge sio kusema tumetukwnwa kuitwa wanyonge, mmetukanwa wewe na nani?
Watu wenye akili tukiona kwenye sentensi mtu ametumia neno jumuishi(generalization) term tunajua kabisa huyu akili hana, ni taahira.
Duh!Kigogo anapata penati. mama utabutuliwa,hili dude lilimshinda jiwe na kiburi chake
Naamewaambia JPM ameondoka pekeake fikra na maonoyake bado yanafanya kazi kama kawaida.Mwacheni Rais Samia Suluhu Hassan achape kazi. Yeye ndio rais analiona taifa katika mtazamo wa juu zaidi ya mnavyofikiri na kuona
Na tuendelee kumshukuru Mungu kwaajili ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli
Na tuseme asante kwa John Pombe Magufuli kwa kutuachia Ironlady Samia Suluhu Hassan
Ameondoka JPM wamezaliwa JPMs wa kutosha mama akiwa kiongozi wao
Kazi iendelee😍🇹🇿🙏