Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Wewe jamaa!

Yaani hapo ni namba 5 na 9 tu ndo sijazisikia/ona, na kilichonishangaza zaidi ni namna alivyotambaa na mtiririko wako. Hongera
 
Mama anatia moyo sana.


NAOMBA Mungu umlinde na kumtetea Mh Rais mama Samia. Rais ni no 1 comforter katika nchi. Hatutaki mioyo ya kikatili, tunataka mioyo laini iliyojaa upendo kama wa mama yetu.


JESUS IS LORD!
 
Nchi hii imeshakuwa ya kijinga sana yani tumekuwa Taifa la kupima uelekeo wetu kwa maneno tu yaani leo tukiambiwa kuwa mwaka ujao kila Mtanzania atakuwa na gari basi watu wote wanatoa meno nje na kusema ama kweli tumepata Rais

Mama yetu ningependa kukushauri acha maneno mengi fanya kazi wanaokupongeza kwa hotuba hao ni wanafiki. Tena katika Hotuba yako ya leo kuna moja walilokuwa Wanasubiri nalo ni wewe kusema utakutana na Viongozi wa vyama vya kisiasa ilo ndilo hitaji lao maana Twitter leo ni kama hamna watu vile ipo kimya wapo Bize wanaanda suti za kuja Ikulu.
Kabisa! Leo kaanza kulalamika eti kuna taasisi zimeanza kuiba pesa. Cha ajabu hakuna hatua zozote alizochukua.
 
Asante Mh Rais Samia, hotuba ni nzuri.(kwa andiko hilo). Sasa Ngoja nipate wasaa ili niisikilize na kutafakari kwa uzuri zaidi
 
Ana maneno mengi kama ya JK—yanapoza huku nyuma tembo wetu wanamalizwa.
Halafu suala la Katiba mpya wanaliogopa kama ukoma enzi za agano la kale na jipya katika biblia. Hakuna jipya, tutabembelezwa kwa maneno mengi na lugha tamu.
Mmeng'ang'ana na katiba kwamba ni suluhisho kuna sheria muhimu dunia kama vitabu vitakatifu pmj na uwepo wa sheria toka kwenye biblia na quruhani lakini watu hawaachi kuzivunja,kwa kifupi katiba sio suluhisho la mwisho wa matatizo ipo misingi ya kiutu inayotakiwa kufuatwa.
 
..wananchi hawawezi kuamini Jpm amekufa kwa matatizo ya moyo wakati walimshuhudia akipiga push-up utafikiri ni mkufunzi wa karate na judo.

..wangeambiwa tangu mwanzo raisi wao ana matatizo ya moyo ingekuwa rahisi kuelewa kilichomtokea.

..kwa sasa hivi ni rahisi zaidi kuamini habari za uzushi kuliko taarifa za serikali kuhusu kilichomuondoa Jpm.
Kweli mzee... tena akajikabidhi kabisa na miongoni mwa majina ya MwenyeziMungu likiwemo lile la 55 lenye maana ya "asiyetetereka"
 
Nchi hii imeshakuwa ya kijinga sana yani tumekuwa Taifa la kupima uelekeo wetu kwa maneno tu yaani leo tukiambiwa kuwa mwaka ujao kila Mtanzania atakuwa na gari basi watu wote wanatoa meno nje na kusema ama kweli tumepata Rais

Mama yetu ningependa kukushauri acha maneno mengi fanya kazi wanaokupongeza kwa hotuba hao ni wanafiki. Tena katika Hotuba yako ya leo kuna moja walilokuwa Wanasubiri nalo ni wewe kusema utakutana na Viongozi wa vyama vya kisiasa ilo ndilo hitaji lao maana Twitter leo ni kama hamna watu vile ipo kimya wapo Bize wanaanda suti za kuja Ikulu.

Mkuu nilijua ni mimi peke yangu niliyesikia yale yale ya kale! Utapopomwa hapa but ukweli ni kwamba talkers are not good doers at all! Time will tell Let us wait and see!
 
Kwani mlivyokua mnaiba kura na kufanya uhaini kwenye uchaguzi lengo lenu lilikua nini?

Hii nchi inaendeshwa kwa katiba hakuna sheria inayo ruhusu mbunge aliyetimuliwa na chama kuendeleza mitikasi ya bunge. Hili swala litakuja kuwa solved tu
Kuwa solved kwa hawa Covid 19 lini sasa,mtu wa mwisho ambae ni Rais kapiga kimya?
Alafu akuna mtu aliiba kura chif kila kituo kilikua na wakala,kama wakala alifika price tag basi hiyo ni udhaifu wa wakala,kila mgombea ama chama kinataka ushindi,pahala utakapo legea ndo hapo mpinzani wako atapitia.
 
Back
Top Bottom