myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Kwani ahadi zinatekelezwa kwa wiki wiki?? Muda ukifika tutaona lakini sio kulaumu hata muda bado..Nchi hii imeshakuwa ya kijinga sana yani tumekuwa Taifa la kupima uelekeo wetu kwa maneno tu yaani leo tukiambiwa kuwa mwaka ujao kila Mtanzania atakuwa na gari basi watu wote wanatoa meno nje na kusema ama kweli tumepata Rais...
Weredi mkubwa waliofanikiwa CCM ni kuwaweka wanachama na wapenzi wa chama pamoja pale panapotokea migongano ndani chama na serikali,kwa hili CCM wamebobea mno.Mbona Umepiga U-TURN mapema sana?
Umeachana na mahaba yako kwa Mwendazake?
Week 3 zilizopita wewe ulikuwa mpinzani wa sera za mama, ghafla leo unazishabikia sera zilezile ulizokuwa unaziponda.
Mataga bana....
Kwani ulitarajia maajabu gani ambayo angeyafanya kwa mwezi mmoja?Nchi hii imeshakuwa ya kijinga sana yani tumekuwa Taifa la kupima uelekeo wetu kwa maneno tu yaani leo tukiambiwa kuwa mwaka ujao kila Mtanzania atakuwa na gari basi watu wote wanatoa meno nje na kusema ama kweli tumepata Rais...
Unamjudge kwa hilo tu?Toka katoa tamko la vifurushi mpaka Sasa hajatekeleza kaliacha ila anataka atuahid kua anataka afanye mengine
Wewe mwenyewe umekiri kwamba mitandao mitatu imetii, sasa unataka tuwachape viboko labda!Ninawambia ninawambia mpk sasa zimetoka ahadi 27 toka tarehe 31-3-2021 hata moja hawajateleza kwa vitendo tukianza na ile ndogo tu ya vifurushi vya simu mpk sasa ni mitandao 3 tu ndo imetii mingine yote imegoma sasa kama CEO wanakuletea kiburi na kukaidi maagizo itakuwa wengine?...
Kumbe mainjinia wa Magufuli walikuwa hawafai!Nataka niseme,Nakwenda kufanya mabadiriko makubwa kwa maenjinia wa maji huko mikoani.
Hahahaaaa....... Kazi Iendelee bwashee!
Anajua kabisa Kuna watu wanaiba alafu wizi wao unakua sehem ya maongez badala ya maamuz yani fulan kaiba kuku wangu Kala supu Leo alafu unampotezea what next?
Hii Nchi ni ya Watanzania wote si ya maccm wala ya Samia ni LAZIMA Katiba IHESHIMIWE ili kuzuia huu wizi wa zaidi ya bilioni 3.6 roughly kwa mwaka
Kama sio tusi yaleTusi liko wapi hapo?
Mavi ni tusi?
Yote hayo mama kayasema hivi mnasikiliza hotuba mkiwa mnawaza nini mbona unakichwa kama panzi jike.Tuna mengi tunataka kuyasikia:
1. Kodi zinazozingatia hali halisi ya biashara....
Unataka afanye nn kwenye COVID 19? au unataka akuletee dawa za kukukinga na covid au unataka atuweke lock down, acha umaskini wa fikra.Mambo ya ajabu sana. Katiba imembeba kuingia Ikulu lakini yeye kashindwa kuiheshimu ili kuwaondoa hao COVID-19!!! Mambo ya ajabu sana ya kuchagua vipengele vya katiba ambavyo vinamfagilia yeye lakini kuvidharau vile ambavyo vinasimamia maslahi ya Watanzania (walipa kodi)
Unataka afanye nn kwenye COVID 19? au unataka akuletee dawa za kukukinga na covid au unataka atuweke lock down, acha umaskini wa fikra.
Tuombee uhai wa Magu? Kwani kafufuka?
Au na mimi nimekufa kama mkuu wa mkoa wa Mbeya?
No ...it is 94 percent against 6 percent
Kwani tanzania ilikuwa imekufa?Tanzania inafufuka Thanks God!
NdioKwani tanzania ilikuwa imekufa?