Dr Maja
Member
- Aug 23, 2020
- 67
- 72
Wamechoka[emoji23]Naona makofi yanapungua kadri muda unavyoenda huenda mama ameanza kuwapoteza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamechoka[emoji23]Naona makofi yanapungua kadri muda unavyoenda huenda mama ameanza kuwapoteza
Both...Anasoma
Both...
Anatembea mle mle juu ya reliHatimae mama amekaa kwenye reli sasa. Rais wangu twenzetu sasa nakupata vzr.
Marehemu dikiteta magufuli make bunge zima lilikuwa mfukoni mwake."tutaondoa vifungu vyote vinavyoleta vikwazo kwenye uchumi wetu"
Je ni nani aliweka vifungu hivi kwenye sera zetu???
Ameanza kutoka kwenye Sera za magufuli baada ya kusema walikua kitu kimoja!Naona makofi yanapungua kadri muda unavyoenda huenda mama ameanza kuwapoteza
Kwani awalipi kodi wewe ni mshamba na ignorant kumbuka kuna indirect tax kwa every consumerMama aanza kuonyesha uchanga wake kwenye uchumi, anasema Tanzania ina walipakodi 60m; hata watoto (minor) wapo kwenye uwigo wa kulipa kodi?
Kuna teleprompterHuyu anasoma au anatoa kichwani?
Kuna wanao dhani ata vunja bunge, humu vihiyo niwengi sana mkuuSawa.
Ngoja tusubiri.
Mama awazibe mdomo wale wanaompangia cha kusema. Naona kina Zitto kule Twitter wanatumia nguvu kubwa kutaka kuingiza ushawishi wa mama aseme nini leo.