Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Hotuba ya Rais Samia Bungeni: Kuboresha Kilimo na Uvuvi, Kukutana na Wanasiasa, Awaonya wanaopotosha Mitandaoni, ATCL kulindwa, Wanawake kuzingatiwa

Naangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
Na mm natazama kwa makin pengine kuna ka ipad kwa mbele lkn sion mewan ikimulikwa na mwanga. Lkn itakuwa anasoma kuna sehemu wamemuwekea
 
Kuna kifaa maalum (kioo) mbele yake kinaitwa teleprompter, mtoa hotuba anaona maandishi yote ya kwenye hotuba yake pasipo kuinama kusoma hotuba yenyewe.

Anakuwa kama anaangalia hadhara tu iliyo mbele yake, kumbe na maandishi yanapita mbele yake
Naangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
 
Back
Top Bottom