Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa awamu ya tano ni nani? 1. Marehemu dikiteta magufuli 2. Kikwete 3. Samia? jibu swali.Awamu ya sita ipi?
Raisi wa sita awamu ya tano
Anasoma bwana, kuna kifaa cha mabeberu hapo mbele kinaitwa teleprompterNaangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
Wanatamani sana mama awatoe Covid 19 ndani ya Bunge,Bavicha yani watasubiri sana hawa Nyumbu.Ha ha ha kapoteana kwenye fikra zako, maana kile unachotamani akiseme hasemi.
Naangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
Nyuso zinazungumza..
Mama kasema msamiati mpya huoKasemamje
KOSAAFU ndo Breeding
Vipi mbona mguno?Meli 8
Zanzibar 4 Tanganyika 4 mmmh
Na mm natazama kwa makin pengine kuna ka ipad kwa mbele lkn sion mewan ikimulikwa na mwanga. Lkn itakuwa anasoma kuna sehemu wamemuwekeaNaangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
Naangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri
Meli 8
Zanzibar 4 Tanganyika 4 mmmh
Mabeberu wanatufaa basi, tusiwapige vita wanatuletea maendeleoAnasoma bwana, kuna kifaa cha mabeberu hapo mbele kinaitwa teleprompter
Anatumia teleprompterNaangalia kwa makini sioni akiinamisha kichwa kusoma, kama kakariri basi mama yuko vizuri