BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hii Nchi ni ya Watanzania wote si ya maccm wala ya Samia ni LAZIMA Katiba IHESHIMIWE ili kuzuia huu wizi wa zaidi ya bilioni 3.6 roughly kwa mwaka
Hivi mlikuwa serious kusubiria hili jambo angejihusisha nalo??
Hawezi kuifanyia embarrassment ya aina hiyo CCM ambayo ni chama chake na hasa kama anataka kipindi cha pili.