Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Ok ,kesho Wai chato kafagilie kaburi, hizo chuki zako kwa Rais zitamaliza afya yako tuJF, mimi huwa ni mkweli kabisa kabisa ...na maisha yangu yanasimamia kwenye ukweli...
Sitamsikiliza huyu maza kabisa sababu ntakwazika saana ...ntaumia sabababu najua mambo mengi yatakuwa fix fix.
Kuna watu Wana utindio wa ubongo mtu kwenye akili zake timamu hawezi kumfuatilia huyu dada hata dk 0
niko home. namsikia eti ana advocate multilateralism, haelewi hiyo kitu na democracy ni pacha?Unateseka ukiwa wapi?
Kwa Kuna shida gani?niko home. namsikia eti ana advocate multilateralism, haelewi hiyo kitu na democracy ni pacha?
yamesikiliza hotuba huku yana chuki moyoni wakati hata lugha hayajui, yanadokoa dokoa tu visentensi.Kwa Kuna shida gani?
Hujasikia Pia kaongelea nchi masikini kuruhusiwa kutengeneza chanjo zao? Hujasikia kaongelea kukuza uchumi na utalii na kuweka mazingira mazuri kwa uwekezaji?
Chuki zitakuua
Ya kufungulia watu makesi ya ugaidi na kupandisha tozo kwa wananchi ?Inatia moyo sana kuona mabinti zetu nao watafuata nyayo za Mama.
#Mama 2025
Hebu pita kule mbali wewe, suala lipo mahakamani tulia.Ya kufungulia watu makesi ya ugaidi na kupandisha tozo kwa wananchi ?
Kama mwenyekiti wao gaidi alipa zero na wako bize kumsapoti inategemea nnyamesikiliza hotuba huku yana chuki moyoni wakati hata lugha hayajui, yanadokoa dokoa tu visentensi.
Mwl wako wa civics alikuwa na kazi mno.mama anatumia muda mwingi kuzungumzia covid, si ndo aibu zenyewe hizi.
Gaidi alianza tangu amezaliwa wacha anyooshweYa kufungulia watu makesi ya ugaidi na kupandisha tozo kwa wananchi ?
Hujui lolote wewe, kwahiyo Covid haijaleta impacts kwenye uchumi wetu, very pathetic.Huyu boya wenu anahubiri Corona wakati anajua haipo Tanzania, mwambieni aache uhuni.