secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hata ungekuwa ww hiyo hela ungepiga tu....Fisadi mkubwa alipiga hela kwenye manunuzi ya wapinzani uchwara. Hapo alipo ni bilionea ndiyo maana haogopi hata kufukuzwa CCM. Ni mnafiki mbinafsi wa kiwango cha juu,hizo kelele zote ni kwa vile ameondolewa kwenye mfumo wa utawala.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
kwani ni kazi ya kanisa ile