Huyo ameishaua watu wawili,tena polisi,au walitaka abambelezwe ili afunue vichwa vya wananchi kwa risasi za rashasha kisa eti niliangalia kwenye sinema ya Rainbow.Vita ni vita mbona hufikilii askari wawili waliofariki
Tukio lenyewe limedumu muda mrefu sana. Hao watu wangekuwa kama 10 je?Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Everything about us is weak and incompetent.Our Intel community seems to be weak and somewhat incompetent
Hakuna asiyeogopa kifo. Kamulizeni SabayaWamkamataje wakati mhuni kawaua wawili
Wako bize na MboweOur Intel community seems to be weak and somewhat incompetent
Angepigwa za miguu angeacha kuwashambulia askari? Nadhani hujawahi kishika Bunduki na hujui madhala ya bunduki. Huyo mtu alikuwa na bullet proof ndiyo maana zimetumika risasi nyingi kumuua.Point. Au hata angepigwa za miguu tu. Na aliyemuua ametumia risasi kama 5-8 hivi kupatia shabaha! Wakati jamaa mwenyewe alikuwa amesimama kama mti tu.
Wangekuwa 10 wangemteka mpaka SiroTukio lenyewe limedumu muda mrefu sana. Hao watu wangekuwa kama 10 je?
Ila tumepoteza risasi nyingi sana.kuna haja ya kuongeza mafunzo ya kurenga shabaha.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Usifananishe marekani na hapa Bongo. Yule alikuwa na silaha angewadhuru watu. Tatizo kuna watu hawajapita JKTMarekani, Ufaransa, Sweden na Uingereza walishatokea watu kama hawa lkn walikamatwa na kuhojiwa.
Kofia zipi mkuu?Hawa watu wanaovaa hizi Kofia hizi sio wakuamini kabisa
Naona hawakuwa na taarifa za kiinterijensia.., na sijuwi huwa wanategemea zaidi taarifa waletewe na nani. Njemba zingekuwa hata 3 tu mbona mchezo ungekuwa pouwa sana.Tukio lenyewe limedumu muda mrefu sana. Hao watu wangekuwa kama 10 je?
Marekani, Ufaransa, Sweden na Uingereza walishatokea watu kama hawa lkn walikamatwa na kuhojiwa.
Wale wa dodoma walishindikana huyu wataweza?Mungu azilaze mahali pema peponi roho za Askari wetu..
Mengine haya mnayoongea hayana umuhimu kabisa,kifo ilikuwa ni haki yake na kama kuchimba taarifa itajulikana tu zipo njia nyingi.
ingekuwa mechi kali siku ya leo.Naona hawakuwa na taarifa za kiinterijensia.., na sijuwi huwa wanategemea zaidi taarifa waletewe na nani. Njemba zingekuwa hata 3 tu mbona mchezo ungekuwa pouwa sana.
Mtu kama yule ambaye anaonekana amerukwa na akili ukimpiga ya mguu ataona liwalo na liwe ataanza kufyatua na kuua kila mtu.
Wewe. Haya matukio yashatokea sehemu kibao huko duniani. Ufaransa kuna mwamba alitenda na mashine mahali penye mkusanyiko mkubwa kama mtaa wa Kongo pale Kariakoo. Akauwa wengi lkn polisi wanaojua upolisi hawakumuuaAngepigwa za miguu angeacha kuwashambulia askari? Nadhani hujawahi kishika Bunduki na hujui madhala ya bunduki. Huyo mtu alikuwa na bullet proof ndiyo maana zimetumika risasi nyingi kumuua.
Yaaani za magotini zingemfaa zaidi😡😡🤬🤬Point. Au hata angepigwa za miguu tu. Na aliyemuua ametumia risasi kama 5-8 hivi kupatia shabaha! Wakati jamaa mwenyewe alikuwa amesimama kama mti tu.
Amenyanyua mikono juu kujisalimisha. Polisi wamemuua ki-uoga!Inategemea na situation mkuu, that was the right choice ukiangalia alikua anashoot hovyo