Mimi sileti labda labda bali nahoji ila mnaoleta labda labda ni nyie mnaojifanya mnajua hadi walichokuwa wanakiwaza hao wahusika, mimi tu naona ule haukuwa muda sahihi kufanya shambulizi na tena inashangaza shambulizi lenyewe risasi mchana kweupe katika eneo kama lile, kulikuwa na ulazima gani hao wahusika kulazimika kufanya vile kwa mtu ambaye walikuwa wakimfuatilia kwa muda?
Inashangaza.
Hate ain’t gonna save your ego, utakufa tu kama mnyama.This dude deserved to die before 2015 tusinge ishi hivi hata haya yote yanayo tokea ni kutokana na mambo kuharibikia kwake...
Wamechoka wakachakaaWazee wa ligacy mpo?
KweliWangepitia wspi, yaani waprnye inteligensi ya Kenya kumfikia Lisu! Unafikili Chadema walikosea kumkimbiza nje. Tena walipojaribu kupenys ndipo akakimbizwa Germany huko Tiss wakanywea. Kuna macho yanatazama... Kwani hata baadhi ya ccm hawakupenda ile kitu.
Chato groupLissu ni msaliti wala hilo sio uongo.
Ndio maana alikuwa akifurahia hata mali za nchi hii zikizuiliwa nje ya nchi.
Lisuu yeye kauli yake kuu ni "IN MZUNGU WE TRUST"
Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?..hoja zako zina maana kwa watu wasio na mamlaka.
..kwa wenye mamlaka au dola wanaweza kufanya tukio lolote wakati wowote mahala popote.
..eneo la tukio liliandaliwa kwa maana ya walinzi kuondolewa na Cctv nazo zimefichwa.
Acha kuwa na haraka, iyo comment nilikuwa nanjibu huyo aliyesema Jpm adhabu yake ni moto.Wewe ndo unaona hakupoteza kitu...
Ila wapo ambao Bado walikuwa wanamhitaji
We mtu wa ajabu usiyefahamu kuwa ni nchi hii hii Raisi ya Zanzibar aliuawa kwa risasi nani unadhani hawezi fikika, ubalozi wa Ufaransa na USA zilishambuliwa kigaidi bongo hapa hapa, kuna watu dizaini ya kina Hamza na visasi vikali naomba uelewe kuanzia leo tambua kuwa yeyote duniani anaweza fikiwa wenyewe wakiamua, inakuwa beyond Government reach, watu ni corrupt mbele ya kitu wanauza hata nchi upenyo unasetiwa.
Lisu anaogopa mpaka watu wake anashindwa sema tu hadharani, mbona wenzake wapo salama huku mpaka Sugu kumualika Numero-uno ku-launch kitabu, imagine Mwenyekiti ndani, waandamizi pande zote CCM na Chadema…tusiwe na haraka arudi yaweza kuwa yeye mwenyewe ndiye mwenye majibu police wanajaribu crack.
Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?
😅😂 bwana ako magu yupo anapelekewa moto na funza, ubabe ulawiti mabavu vikowap... Wewe ndio una hate kwasabab unakufa njaa ulizoea kuwa chawa... Kafie mbele huko choko wewHate ain’t gonna save your ego, utakufa tu kama mnyama.
Kumbuka tukio halikupangwa lifanyikie nyumbani kwake. Ndjo maana hawakujiandaa kuondoa kamera mapema.Sasa jiulize kwa mambo kama hayo ya kuficha camera na kuondoa walinzi si ni rahisi kuwahisi kuwa ni serikali kama ulivyofanya? Sasa ndio tuseme wahusika hawakujali kwamba watajulikana kuwa wao ndio wanahusika?
Walikuwa wanapum Trigger under pressure. Kuua mtu asiye nahatia sio jambo dogo...tatizo ni kwamba Lissu na dereva hawakufa.
..vinginevyo huo mpango ulikuwa perfectly fine.
..target ilishindiliwa risasi za kutosha, uwezekano wa kupona ulikuwa less than 1%.
Doubts zote hizo zitafutwa kwa uchunguzi huru ambao haitakaa ufanyike.We mtu wa ajabu usiyefahamu kuwa ni nchi hii hii Raisi ya Zanzibar aliuawa kwa risasi nani unadhani hawezi fikika, ubalozi wa Ufaransa na USA zilishambuliwa kigaidi bongo hapa hapa, kuna watu dizaini ya kina Hamza na visasi vikali naomba uelewe kuanzia leo tambua kuwa yeyote duniani anaweza fikiwa wenyewe wakiamua, inakuwa beyond Government reach, watu ni corrupt mbele ya kitu wanauza hata nchi upenyo unasetiwa.
Lisu anaogopa mpaka watu wake anashindwa sema tu hadharani, mbona wenzake wapo salama huku mpaka Sugu kumualika Numero-uno ku-launch kitabu, imagine Mwenyekiti ndani, waandamizi pande zote CCM na Chadema…tusiwe na haraka arudi yaweza kuwa yeye mwenyewe ndiye mwenye majibu police wanajaribu crack.
Vita vya UkrainePeleka ujinga wako huko unaongea utafikiri dunia yakwako. Mfanye ujinga wenyewe mumsingizie Lissu. Yule mzee alishindwa kuongoza nchi ndo maana akaibuka na hizo kauli za tuko vitani huku akiwachukia wale werevu waliokua wanasema ukweli.
Ni vita gani hiyo ambayo haitajwi sasa hivi ambayo tulikuwa tukiaminishwa tunaipigana? Nyie ndo wale mlioshikiwa akili, kiko wapi sasa.
Angetakiwa kuuwawa kipi kingeshindikana?
Acheni story
Corona iko wapi saivi, ile kupima mapapai ilikuwa ni moja ya njia ya kujua usahihi wa vipimo katika kuleta taarifa inayoendana na uhalisiaWazee wa nyamongo wanampenda sasa Lissu. Lissu aliwapambania wakazi wa nyamongo kuhusu haki katika umiliki wa rasilimali chupuchupu auawe.
Wasiojua historia ya Lissu hawawezi kumwelewa fika nia yake, ila kiufupu lissu sidhan kama ni mwanasiasa bali mtetezi wa wanyonge, na ni kazi aliyoifanya kabla ya siasa.
Kikwete alikuwa anaukubali Sana uwezo wa lissu, na hata Samia ukimwangalia kabisa unaona anajua fika Lissu ni mtu wa aina gani , na alimthamini na anathamini mchango wake.
*Magufuli was very evil, na alipendwa kutukuzwa zaidi ya Mungu.
*Hakuna kiongozi mwenye akili timamu anayeweza kwenda kutukana/kukejeli kanisani/msikitini kama Magufuli.
*Alikuwa ana dharau, unafki, na ujuaji wa KIJIMA. Ni Rais pekee aliyekuta CORONA kwenye mapapai na fun base yake ikawa inaona ana akili sana kumbe ni upumbavu mtupu.
Mtu yeyote duniani unaweza ukamsemea kwa mazuri au kwa mabaya kutokana na upande uliouchagua weweMbona Iddi Amini anasemwa vibaya mpaka leo??