Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

The Guy was Right as a leader
As a leader he was wrong maybe as a ruthless dictator, of which he was!! But the right verdict was delivered by God on March 17, 2921. Magufuli now is nothing but stinking manure
 
Nia ya kuleta huu Uzi ni😂😂😂
Shie...sana.
Nia ya kumleta Uzi hii ni kuonyesha kuwa kuanzia Novemba 2015 hadi March 2021 Tanzania ilikuwa inaongizwa na KICHAA. Asante Mungu kw maamuzi
 
Utaje huo ugumu ili nami nijifunze, hivi mashambulizi yale kwa Lissu mchana kweupe kwa tena huku inajulikana wazi kuwa Lissu na Magufuli haziivi wewe unaona hakukuwa na ugumu kama huo ndio waje kuogopa kummalizia huko hospitali?
Usibishane na mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye... (Mithali 26:4). Achaneni na Tz mbongo ni mpumbavu
 
WE BWABWA UNA FANTASIES ZA AJABU SANA.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

JEHANUM NDIO WAPI SASA?

KWAHIYO UNAJISKIA RAHA MWENYEWE MAGU AKIWA JEHANUM? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Magufuli yuko jehanum hata Mimi nafurahi kwa kweli
 
As a leader he was wrong maybe as a ruthless dictator, of which he was!! But the right verdict was delivered by God on March 17, 2921. Magufuli now is nothing but stinking manure
Rubbish
 
Bado tu mna hangover ya Magufuli??

The guy is still breathing under your noses.
The guy is stinking in the Chato soil after decompoSing like manure
 
Zile myth ukipambana na mafisadi ccm unaonekana unapamba na taifa🤣🤣
 
Kwani mpaka leo makinikia yako wapi?
 
Never underestimate the power of foolish people in large groups.


Wajinga walio weñgi Tanzania wameamua mjinga mwenzao Magufuli awe shujaa wao
 
Wewe kwa akili yako unahisi Magufuli alikufa a natural death😁😁😁? Few bastards made to believe that pathetic lie...

Well imekuwa ndio mfumo wa fisi for years eating another mans flesh while its still breathing.
 
Mada ni kuhusu msaliti wa taifa kuuawa! Na hilo lilipata angalizo linalostahili - kama ilivyo popote duniani.
 
Lissu used to be smart sijui ni nini kilichomkuta akajiunga na genge la kifisadi la nchi hii. Alikutwa na nini huyu kijana?

Siqsa mziachie wenyewe tangu nilipojuwa ipuuzi huu ndipo nilipoanza kimuelewa jpm

Haiwezekani mtu unapiga kelele wewe ni mzalengo unatetea wanyonge kumbe nyuma ya pazia unakula sahani moja na genge la mafisadi.

Kweli jpm alipitia kipindi kigumu hicho kiti hakikaliki kirahisi.

Sio wote mtaelewa hii movie ila huo ndo ukweli. Kudeal na wenye nchi yao yataka moyo.

Hii nchi bana lazima utafutiwe watakao kuumiza kichwa kumbe wana ulinzi binafsi
 
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.

Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu.

View attachment 2353218

Mwacheni Mungu aitwe Mungu.

Ahukumiwe kutokana na matendo yake aliyoyafanya hapa Duniani!
 
Never underestimate the power of foolish people in large groups.


Wajinga walio weñgi Tanzania wameamua mjinga mwenzao Magufuli awe shujaa wao
Ukiita watu wajinga unakosea, binafsi nilikuwa naelewa falsafa za huyo mwamba. Pamoja na mapungufu yake lakini alikuwa determined na mission zake ilikuwa ni kutoboa tu.

Ambaye alitaka kuleta usiku kwa namna yeyote alichezea kibano. Its practical and natural ukiwa Alpha. Otherwise huta accomplish chochote katika hii dunia ila nashangaa inavyokuwa amplified kama vile Magufuli sio binadamu. Au sababu wewe huonekani unavyopambana na wapinzani wako katika kupigania maslahi yako kwenye media ndio unajiona msafi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…