Misuse of public properties ndo inatakiwa kuwq addressed ili tusiingie gharama wananchi wa kawaida , imagine gari la milioni 100 plus , linachomwa moto ili ku fullfill political demandsHalafu inasemekana walipofika MOROGORO walilichoma moto gari walilotumia wakati wa kumshambulia Lissu
Kwa wendawazimu wenzie kama alivyokuwa yeye Magufuli na wajinga kweli ni hotuba bora. Lakini kwa watu wenye akili kwenye ubongo wanakudharau. Huwezi kupanga operesheni ovu halafu ukaweka na ushahidi wa maneno kwenye hotuba.Mojawapo ya hotuba bora kabisa kutolewa na Mkuu wa Nchi.
Ivi tundulisu hakufa bado lipo tuNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
😆😆 Na hiki ndicho kinamtesa SSH,amewaachia wanaropoka kila tumbili anaropoka..
Mtu anaenda kwenye tv Kujifanya eti anamsemea mnyonge wakati hana hata msaada Kwa huyo mnyonge..
Unaanza kupinga maendeleo anapinga tozo as if tozo zinaenda kufanya mambo binafsi ya familia..
Watu wa hivi ni ku deal nao Ili Kazi ifanyike vinginevyo utaishia kuyumbishwa kila siku..
Akasisitiza kabisa ikibidi wasaliti walale moja kwa moja, yaani wafe" alikuwa katili huyo mzeeHii kauli aliyoitoa Magufuli kumwambia Spika awatimue wasaliti bungeni ili wakiwa nje washughulikiwe nae, inaonesha hapa ndipo polisi wetu walipotakiwa kuanzia uchunguzi wao dhidi ya shambulio la Lissu, ajabu polisi bado wanamsubiri Lissu arudi ili wamfanyie mahojiano.
Maneno mengi aliyozungumza Magufuli kwenye hiyo video yana viashiria vingi vya mtu aliyetaka kulipa kisasi, mfano anapomwambia Spika; "watoe huku nje tuwashughulikie, kwa sababu wakiwa kule bungeni wana immunity, wanaweza kuzungumza chochote".
Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".
Mpaka hapo, inashangaza bado polisi wetu hawakuona mahala pa kuanzia uchunguzi wao kuhusu shambulio dhidi ya Lissu, maneno yao yamekuwa ya kisiasa sana.
Tozo lazima zilipwe na tozo ziko specific kwa maendeleo ya Vijijini anaepinga ni mhujumu uchumi na msaliti..
Mwendazake angekuwepo tozo mngelipa na hakuna ambae angenyanyua Domo kama vile wanafanya kina Assad,Kitwanga,Chadomo na wapuuzi wengine..
Mnadekezwa na kuchelewa Sana na SSH na sielewi kama anajua hasa aina ya watu anaowaongoza..
Mwenzenu kafa yeye, aliyyemuita msaliti ananawili tuwamgenijumuisha Mimi wakati wanaenda kumlambisha Shaba nisingekosea.
tuko vitani lisariti linajitia ujuaji wa kuijiona Lina akili sana piga Shaba ya pumbu au kichwa huko.
na ndo maana linaogopa kurudi linajua dhambi lililozifanya.
idiot
Kwani shida ni nini juu ya hii kauli. Alimaanisha alichokisema wala haihitaji forensic. Yeye ni mtawala na wewe unatumwa kudanganya wananchi tukikamata makinikia wawekezaji watakimbia, mara tutashitakiwa MIGA au taifa litafilisiwa. Dawa ya waropokaji alikuwa nayo huyo Mwamba.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Ukiangalia vizuri ndugu yangu hapo huo mfano ni mzuri tu hauna kasoro yoyote:Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".
Nahisi angeachwa angeua wengiMagufuli alipanga kuua na aliua pia Ben saa 8... Mungu akaona isiwe shida
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo yaliyopo, inasemekana TL alitakiwa azikwe bila heshima yoyote. Haraka haraka.Kwa taarifa yako hakutegemea hatakufa maana yeye sio Mungu. Na ifahamike Lisu aliwahishwa Nairobi sehemu ambayo hakuwa na mamlaka nayo. Ingekuwa alipelekwa Muhimbili kama alivyotaka, leo hii Lisu na yeye wangekuwa na sifa ya marehemu.
The Guy was Right as a leaderNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Ambako na ww unkwendaLiuaji makao yake ni jehanamu ya moto
Hapana huo ulikuwa ni ujumbe kwa wasaliti wengine pia. Wakati anaongea haya tayari mawasiliano ya tundulissu yalidukuliwa na TISS akiomba nyaraka kutoka Barrick ili awasaidie namna ya kupambana na serikali.Tatizo maagizo aliyatoa public na kunji define jinsi alivyo. Operator mkuu hakumfunda jinsi kagame anavyo dili na anaodili nao.
Kivyovyote vile mshahara wa dhambi ni mauti kama alitoa order bila shaka ameshapata adhabu yake. Na kama kweli lissu alikuwa kwenye njia ya kusaliti taifa naye amesha pata ijara yake
Kwa maelezo yaliyopo, inasemekana TL alitakiwa azikwe bila heshima yoyote. Haraka haraka.