Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
The Guy was Right as a leader
Ule ulikuwa ni ulevi wa madaraka sio zaidi ya hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Guy was Right as a leader
Hapana huo ulikuwa ni ujumbe kwa wasaliti wengine pia. Wakati anaongea haya tayari mawasiliano ya tundulissu yalidukuliwa na TISS akiomba nyaraka kutoka Barrick ili awasaidie namna ya kupambana na serikali.
Kwa lugha nyingine tundulissu aliamini anapambana n Magufuli badala ya kupambania taifa. Hiyo mentality ya kuamini anapambana na mtu ndio iliyomletea ulemavu wa kudumu. Vinginevyo hadi sasa angeendelea kusimama kwenye vizimba vya mahakama akiwapambania watanzania.
Lilikuwa liuaji lishamba na lipenda sifa. Asante Mungu kwa kutusaidiaNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Yeye alisaliti nani mbona yuko mavumbini na lissu yuko majuu anakula bataBaada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli at aonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Ni hicho kitu cha ajabu, Dkt Magufuli asingeweza kumuua Lisu ila ni wahuni tu kama wale waliomteka MoKama Magufuli aliweza kumshambulia Lissu katika kipindi hicho bila kuhofia kujulikana kwamba atakuwa ni yeye sasa ni sababu ipi iliyofanya asimmalizie baada ya kujulikana Lissu hakufa ni kwamba aliogopa nini ambacho hakikiogopa mwanzo?
Ngoja tuone tusubiriNi miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
FALA huyu mzee. FASHISTI mkubwa huyu.laana zimshukie yeye na kizazi chake.Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.
Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Nenda popote duniani dawa ya msaliti ni risasi, sumu au kunyongwa
Ni hicho kitu cha ajabu, Dkt Magufuli asingeweza kumuua Lisu ila ni wahuni tu kama wale waliomteka Mo
BarikiwaHapana huo ulikuwa ni ujumbe kwa wasaliti wengine pia. Wakati anaongea haya tayari mawasiliano ya tundulissu yalidukuliwa na TISS akiomba nyaraka kutoka Barrick ili awasaidie namna ya kupambana na serikali.
Kwa lugha nyingine tundulissu aliamini anapambana n Magufuli badala ya kupambania taifa. Hiyo mentality ya kuamini anapambana na mtu ndio iliyomletea ulemavu wa kudumu. Vinginevyo hadi sasa angeendelea kusimama kwenye vizimba vya mahakama akiwapambania watanzania.
Ushachanganyikiwa wewe.Kwa wendawazimu wenzie kama alivyokuwa yeye Magufuli na wajinga kweli ni hotuba bora. Lakini kwa watu wenye akili kwenye ubongo wanakudharau. Huwezi kupanga operesheni ovu halafu ukaweka na ushahidi wa maneno kwenye hotuba.
Ila wazungu wanasema "Karma never misses a location"
Yule marehemu alikuwa na roho ya kobokoHii kauli aliyoitoa Magufuli kumwambia Spika awatimue wasaliti bungeni ili wakiwa nje washughulikiwe nae, inaonesha hapa ndipo polisi wetu walipotakiwa kuanzia uchunguzi wao dhidi ya shambulio la Lissu, ajabu polisi bado wanamsubiri Lissu arudi ili wamfanyie mahojiano.
Maneno mengi aliyozungumza Magufuli kwenye hiyo video yana viashiria vingi vya mtu aliyetaka kulipa kisasi, mfano anapomwambia Spika; "watoe huku nje tuwashughulikie, kwa sababu wakiwa kule bungeni wana immunity, wanaweza kuzungumza chochote".
Anaendelea kusema; "hatuwezi kuwa vitani, halafu tukiwa mstari wa mbele, anajitokeza mmoja wetu na kuanza kuwashambulia askari wetu, huyu tuta deal nae; bora unyamaze kimya, au ukalale".
Mpaka hapo, inashangaza bado polisi wetu hawakuona mahala pa kuanzia uchunguzi wao kuhusu shambulio dhidi ya Lissu, maneno yao yamekuwa ya kisiasa sana.
Tatizo maagizo aliyatoa public na kunji define jinsi alivyo. Operator mkuu hakumfunda jinsi kagame anavyo dili na anaodili nao.
Kivyovyote vile mshahara wa dhambi ni mauti kama alitoa order bila shaka ameshapata adhabu yake. Na kama kweli lissu alikuwa kwenye njia ya kusaliti taifa naye amesha pata ijara yake
Kwani angetaka kumuuwa si angemmaliza tu au unadhani kipi kilushindikana kummalizia Lissu baada ya kutoka hai kwenye lile shambulizi?
Ugumu upo wapi maana wasingetumia silaha kama wameweza kumshambulia kwa risasi mchana kweupe bila woga ndio waogope kummaliza tu kiulaini hospitali tena akiwa hali mbaya?Kwa ulivyoandika,inamaana angetuma watu wakamuue hospitali?Unaona ilikua rahisi hivyo?
Alishindwa vp sasa na wakati shambulizi ni moja tu lilofanywa bahati hakufa hivyo bado kulikuwa na nafasi ya kummaliza ila haikufanyika hivyo sasa wewe unasemaje wameshindwa.Angetaka mara ngapi? Si alitaka na akashindwa. Kudra za Mungu huwezi kuzishinda.