Iko siku hii clip ya Magufuli itapata viewers wengi sana. Naitunza hapa

Swali la kuuliza wanaoshangilia hii hotuba ni nani aliyeanzisha vyama vyingi na je hao wanaoitwa waropokaji wanakuwa wanaongea mawazo yasiyo na mantiki?

Nchi zinazojulikana kuwa na chama kimoja tu ni China na Cuba.

Russia hata wawepo wapinzani wote huishia kuswekwa jela na mtu yeyote anayemkosoa Putin kama hatapigwa risasi basi atanyweshwa sumu hata akikimbilia nje ya nchi.

Huyu mwanakwendazake mliona alivyofanya kwenye uchaguzi wa 2020 na tulishuhudia yaliyomkuta na kundi lake.
 

Hao Tiss wako kunasa tu mawasiliano ya Tundu Lisu, hawakuona mikataba ya kihuni ya madini? Hawaoni uhuni unaondelea bandarini? Kuna yule mtu alijiunganishia bomba la mafuta na hakuna hatua ya wazi iliyochukuliwa, je hao usalama wa taifa ni kwa ajili ya kuwakomoa wapinzani wa viongozi walioko madarakani?
 
Baada hata ya miaka 1000, hii clip itaonyesha kwamba msaliti wa taifa anapaswa kuuawa! Na Magufuli at aonekana ni kiongozi bora sana aliyetimiza hilo la kudeal na wasaliti wa taifa.
Yeye alisaliti nani mbona yuko mavumbini na lissu yuko majuu anakula bata
 
Kama Magufuli aliweza kumshambulia Lissu katika kipindi hicho bila kuhofia kujulikana kwamba atakuwa ni yeye sasa ni sababu ipi iliyofanya asimmalizie baada ya kujulikana Lissu hakufa ni kwamba aliogopa nini ambacho hakikiogopa mwanzo?
Ni hicho kitu cha ajabu, Dkt Magufuli asingeweza kumuua Lisu ila ni wahuni tu kama wale waliomteka Mo
 
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.

Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
Ngoja tuone tusubiri
 
Kwa chini weka Kauli ya Samia pia....

Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania....

Huenda ikawa lost in translation au kutokuelewa maana ila ndio hivyo tena kama tunaunganisha statements na matukio ya baadae...

Ofcourse don't get me wrong statement ya JPM haikuwa statement ya kutoa head of state sababu indirectly vichaa wanaweza wakatumia hio statement na kufanya mambo ya ajabu wakidhani wanafanya for the country....

 
Ni miaka 5 sasa Magufuli alipotoa kauli hii saa chache baadaye Tundu Lissu alishambuliwa Dodoma.

Nawawekea watu wa Forensic kuna siku tusiyoijua clip hii itakuwa ushahidi muhimu
FALA huyu mzee. FASHISTI mkubwa huyu.laana zimshukie yeye na kizazi chake.
 
Barikiwa
 
Ushachanganyikiwa wewe.
 
Yule marehemu alikuwa na roho ya koboko
 

Hakika!
 
Kwa ulivyoandika,inamaana angetuma watu wakamuue hospitali?Unaona ilikua rahisi hivyo?
Ugumu upo wapi maana wasingetumia silaha kama wameweza kumshambulia kwa risasi mchana kweupe bila woga ndio waogope kummaliza tu kiulaini hospitali tena akiwa hali mbaya?
 
Angetaka mara ngapi? Si alitaka na akashindwa. Kudra za Mungu huwezi kuzishinda.
Alishindwa vp sasa na wakati shambulizi ni moja tu lilofanywa bahati hakufa hivyo bado kulikuwa na nafasi ya kummaliza ila haikufanyika hivyo sasa wewe unasemaje wameshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…