Watu waaojua ugumu uliokuwepo,wanakushangaa,anyway, anaponyata malaika,mpumbavu hutembea kwa kishindo.Ugumu upo wapi maana hawatotumia silaha kama wameweza kumshambulia kwa risasi mchana kweupe bila woga ndio waogope kummaliza tu kiulaini hospitali tena akiwa hali mbaya?
Wewe unaongea kwa sababu huna ulemavu ila mwenzio Lissu kapata ulemavu wa kudumu na hata kisaikolojia bado hayupo sawaKama huogopi binadamu wenzio basi ogopa Mungu. Leo hii huyu Magu amebaki fuvu tu huku Lissu akinywa wisky Ubelgiji
Utaje huo ugumu ili nami nijifunze, hivi mashambulizi yale kwa Lissu mchana kweupe kwa tena huku inajulikana wazi kuwa Lissu na Magufuli haziivi wewe unaona hakukuwa na ugumu kama huo ndio waje kuogopa kummalizia huko hospitali?Watu waaojua ugumu uliokuwepo,wanakushangaa,anyway, anaponyata malaika,mpumbavu hutembea kwa kishindo.
Kwahiyo ilikosekana nafasi ya kummaliza pale alipokuwa hospitali hapa Tz?Unafikiri kwa nini alipelekwa Kenya na baadae Belgium? Ingekuwa Muhimbili angefanya finishing
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yeye kuondoka ilikuwa lazima hata kama angekuwa hana dhambi hata moja na lissu nae ataondoka.Matokeo yake yeye ndiye kaondoka nchi ipo na hao aliotaka awashughulike bado wapo.Tukanyage vizuri ardhi ya muumba.
Habari za Mungu anazijua Mungu, nikikuuliza ulinzi wa Mungu ulikuwa wapi hadi Lissu akashambuliwa vile hadi imepelekea masikini kutiwa ulemavu utaweza kujibu?Hakuwa na Uwezo huo tena!!!Ulinzi wa Mungu na Wanadamu ulikwisha Mzunguka Lissu ...
Mkuu samahani una elimu gani?Alishindwa vp sasa na wakati shambulizi ni moja tu lilofanywa bahati hakufa hivyo bado kulikuwa na nafasi ya kummaliza ila haikufanyika hivyo sasa wewe unasemaje wameshindwa.
Kwahiyo hakukuwa na nafasi ya kummaliza alipokuwa hospitalini hapa Tz kabla hajaenda Kenya?Kwa taarifa yako hakutegemea hatakufa maana yeye sio Mungu. Na ifahamike Lisu aliwahishwa Nairobi sehemu ambayo hakuwa na mamlaka nayo. Ingekuwa alipelekwa Muhimbili kama alivyotaka, leo hii Lisu na yeye wangekuwa na sifa ya marehemu.
Hoja yangu ni kwamba shambulizi la kutaka kumuuwa Lissu lilikuwa ni moja tu hivyo nachosema kama Magufuli angetaka kivyovyote vile Lissu afe basi angemmalizia huko huko hospitali ili kukamilisha kusudio lake.Mkuu samahani una elimu gani?
Mbona unakichwa kizito sana kuelewa?
Ulitaka attempt mara ngapi ili uite ni failure?
Victim bado yupo ana dunda na Attacker kasha rest in peace huoni kushindwa mbona haiitaji rocket science?
Sasa na wewe siku yako ikifika ukafa tutasema Mungu katusaidia au Mungu kafanya yake tu kama alivyopanga?Lilikuwa liuaji lishamba na lipenda sifa. Asante Mungu kwa kutusaidia
Chaguzi gani Tz ni utumbo mtupu toka kabla ya Magufuli, angekuta kuna uchaguzi wa maana ingekuwa ngumu kufanya vile ila alichofanya ni kuongeza chumvi kwenye chakula kibaya kisicholika.Kwa kile kilichokuwa kinatokea kwenye chaguzi zetu chini ya utawala wa Magufuli, ilitosha kudhibitisha kuwa magufuli hakuwa kiongozi muadilifu.
Kwani Urais unagombewa na wangapi na wanaoupata ni wangapi kwa muda gani?Alikufa katika umri ambao wataalam tunaita 'late age" so hatukupoteza kitu .
Jiwe liliishi umri mzuri na lilionesha tofauti ya uswahili na u-mkoani🤣🤣
Nafasi aliyoishika kuna watu kizazi chake na kizazi kamwe hawatoishika wataishia tu kuwa na vijikadi vya chama na kutumika kama karatasi.
Rest in peace , John Pombe Magufuli
Et kisa tu anakosoa Serikali ndio Magufuli aagize shambulizi kama lile mchana kweupe na huku anajua kuwa yeye na Lissu picha haziendi, labda kuwe na sababu nyengine.Ni hicho kitu cha ajabu, Dkt Magufuli asingeweza kumuua Lisu ila ni wahuni tu kama wale waliomteka Mo
Ukweli ni kuwa Dkt Magufuli hakuamrisha lisu auawe. Ila ni kama vile mtaani ukimtishia mtu then wachawi wanapita naye. Yeye aliongelea uzalendo. Na waliofanya hilo tukio ni Mbowe na mabeberu.Et kisa tu anakosoa Serikali ndio Magufuli aagize shambulizi kama lile mchana kweupe na huku anajua kuwa yeye na Lissu picha haziendi, labda kuwe na sababu nyengine.
Aaah unanichosha mkuu.Hoja yangu ni kwamba shambulizi la kutaka kumuuwa Lissu lilikuwa ni moja tu hivyo nachosema kama Magufuli angetaka kivyovyote vile Lissu afe basi angemmalizia huko huko hospitali ili kukamilisha kusudio lake.
Kwani hili la Magufuli kuwa ndio ameagiza kushambuliwa kwa Lissu nayo si ni dhana au hujui hilo? Hapa tunayojadili yote ni dhana tu.Aaah unanichosha mkuu.
Any way ukweli ni kwamba alijaribu na ikashindikana hyo dhana ya angetaka kivyovyote ni haijatokea ndio maana umetumia 'angetaka' hakuna haja ya kuongelea dhana ambayo haipo. Nadhani umenipata
Ndio maana nikakwambia kuna binadamu kisha kuna Mungu.
Ubabe unatakiwa kwenye siasa na kwenye kulipa Kodi na tozo za serikali bila kuathiri uchumi kama ilivyo Rwanda,Uganda nk..Ni kipi Magufuli alifanya na watu hawakumpinga? Watu kulipa tozo hata sasa wanalipa, na ingekuwa wakati wa Magufuli bado wangelipa, sio kwa kukubali au kumuogopa yoyote, bali ni kwakuwa hawana jinsi.
Wakati wa Magufuli alifanya ubabe wa kishamba, si biashara nyingi zilifungwa na akawa anashutumiwa hadharani kuwa ameharibu uchumi? Kwani sababu ya yeye kunajisi uchaguzi ni nini, si kwakuwa alijua fika matokeo halisi yangetangazwa hadharani ingekuwa fedheha kwake na chama chake?
Ukiona unaamua kutumia nguvu dhidi ya wakosoaji, ujue umefika mwisho wa uwezo wako kiuongozi, na hiyo ni dalili kuwa uko madarakani bila ridhaa ya umma, hivyo unahofia wenye ushawishi kwa umma wakiongea utapuuzwa.
Taja kituo hata kimoja kilichokuwepo kabla ya tozo kuanza mwaka 2021..Kuna siku nilikuambia wekeni jedwali kuonyesha ujenzi wa hivyo vituo vya afya 234 vilivyojengwa kwa tozo. Baada ya jedwali lile kuwekwa mbali ya kutokuonyesha muda wa ujenzi kuanza wa hivyo vituo, bado vituo vingi kwenye lile jedwali vilikuwepo kabla ya tozo, ile ni kiashiria hata serikali hii ya Samia inaendelea na tabia ya Magufuli ya kupika data ili kupata sifa za kijinga za kisiasa. Yaani ni bonge la aibu. Hilo moja.
La pili, Haya unayosema ya watu kuzuiwa kuongea kwenye TV huyasemi kwa bahati mbaya, bali unajua fika kwakuwa taarifa nyingi ni za kupika, unajua fika ukweli utajulikana, na sifa zo uongo unazotaka mama Samia azipate hatazipata, jambo ambalo litakuumiza nafsi yako. Ni hivi, ni ngumu kuendelea kutawala watu kwa kutegemea kulinda uongo kwa vitisho, fahamu kuwa mtaji wa wajinga huwa unaisha.