GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,092
- 2,210
Hana muda wa kujibu utoporo huuTusubirie jibu kutoka kwa lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana muda wa kujibu utoporo huuTusubirie jibu kutoka kwa lissu
Acha kupanic wewe!Malizia kwanza deiz zako ndiyo urudi tena hapa.
Poleni mtaa huo sana ....sisi huku kwetu Magufuli ni bonge la jemadari😁😁😁Magafuli tuliingia cha kike kumpa urais,ilipaswa awe Nyampara wa barabara na madaraja😁😁😁!
Humu JF kila siku CHADEMA mnasema Lissu atashinda atakuwa rais October. Kwani mmekuwa tume ya uchaguzi siku hizi?CCM wameshapanik, sasa wanazungumzia nani atashinda na hatashinda kwani wao wamekuwa Tume ya uchaguzi??? Na hiyo ndio tunaita hofu kuu! Leteni sera na hoja na sio kukimbilia kutangaza matokeo! Moto wa Lissu kwa mwaka huu sio mchezo watu wameshapoteana!
Magufuli hajielewi na anajua wapumbavu ni wengi hivyo anazidi kuwapumbaza!Majengo zahanati,vituo vya afya, maji.. Eti Sikuwahi kuombwa maji.... Mtaturu miezi michache kaniomba maji... wengine walikuwa hawaombi ( Lissu).. Hivi miradi afya,maji ,barabara ni hisani ya mtawala!?
You speak something unreal huh!😂😂Jamaa ameishiwa sera ameanza kutapa tapa
Ngoja aje apewe yeye kazi ya kufagia pale chamwino.
Ujemedari wake ni nini huyo kipara?Poleni mtaa huo sana ....sisi huku kwetu Magufuli ni bonge la jemadari😁😁😁
Wanashindwa hoja wanaishia kutukanaAcha kupanic wewe!
Bado september hii! Ikifika oktoba si utaokota makopo kabisa?
Hata wewe kimoyomoyo unajua jiwe hana jipya!Anajua kujenga nchi ni kujenga madaraja na barabara😁😁😁!Poleni mtaa huo sana ....sisi huku kwetu Magufuli ni bonge la jemadari😁😁😁
Kumbe kujenga nchi ni kwenda kulewa alafu ukinguka na kuteguka unasingizia wasiojulikana?Hata wewe kimoyomoyo unajua jiwe hana jipya!Anajua kujenga nchi ni kujenga madaraja na barabara[emoji16][emoji16][emoji16]!
Hali imekuwa tofauti na matarajioWalifungia mikutano wakajipa moyo CDM imekufa ile wameruhusu wazalendo wa kweli wako palepale wameanzia pale walipoishia 2015 baada ya Dictator kuamua asikike yeye tu.
Akili za nyumbu hovyo kabisa, Sasa hawana wapiga kura wanategemea Lissu awe rais? Labda akagombee Tena urais tls.Haya matusi ndio yatasaidia Lisu kushinda?..
Mlivyokuwa mnahamasishana humu kwamba msiende kuboresha taarifa zenu kwenye daftari la mpiga kura mlifikiri huyo Lisu wenu atapigiwa kura na mawe?
Hayo umesema wewe!Mimi hapa nazungumzia huyu Nyampara wa barabara tuliyempa urais!Ni kosa kubwa sana nchi hii ilifanya!Kumbe kujenga nchi ni kwenda kulewa alafu ukinguka na kuteguka unasingizia wasiojulikana?
Hakika! Hadi siku ya uchaguzi, tutaona na kusikia mengiHakika kama Taifa, tumepatwa!
Ndio hapo sasaKumbe kujenga nchi ni kwenda kulewa alafu ukinguka na kuteguka unasingizia wasiojulikana?