Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Inawezekana ni Kiburi na Jeuri or Real Busy? Wasaidizi wake hawajamwambia ukweli wa ubatili wa Katiba na Sheria ya Uchaguzi?,Tufanye nini kupata Haki?

Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Idears。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote!。

Na ukijisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi,mode ukiona mtu yoyote kataja jina lolote,futilia mbali hiyo post,tuanze kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka tunaingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo fanya, nisipo wasikiliza, mtanifanya nini?。Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,na hawezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!。 Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote yenye makosa ya kisheria,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,uless kama makosa hayo ni ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba!。Swali ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda lakini hawafanywi lolote?。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea wasaidizi wake tuu!,hao wasaidizi wake nao wako busy,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani ni vifungu batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 197
katiba yetu ni katiba batilifu,kutokana na awamu za nyuma,kuchomekea ubatili fulani ndani ya katiba yetu,na ubatili huo,umechomekewa kiubatili。

Mahakama Kuu

Tufanye Nini Kupata Haki?
Ni vile tu naogopa kuonekana akili za kitoto kwa kuzingatia angalizo lako. Lakini kimsingi sijaelewa leo umeandika nini... Umejaribu kutumia lugha fikirishi lakini ndio umepotea kabisa bro... Sijajua ni nidhamu ya uoga?? Au umo miongoni mwao lakini hupendi uonevu?? Unaogopa kukosa nafasi kesho?? Au shida nini bro...??? Trust me hata wachangiaji hutawapata wa kiasi kile kutokana na kuweka mada 'fungwa'... Open it up, toa wigo mpana wa michango...

Subject to correction...
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Unawalisha maneno wananchi.Ccm ndio hamtaki katiba mpya.

Wananchi haohao wa Tanzania ndio waliotoa maoni yao kuhusu namna tume huru ya uchaguzi inavyotakiwa kuwa wakati wa mchakato wa katiba mpya ile ya Warioba.
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Hakuna mabadiliko hakuna uchafuzi,nyie kaeni tu madarakani msituharibie kodi zetu bure.
 
Mkulu yuko busy na kushinda uchaguzi arudi kwenye kiti chake, kwasasa hicho ndio kipaumbele chake.

Akibadili sheria zitakuwa hazipo upande wake, hivyo atajiweka hatarini kukosa kiti. Hilo HAWEZI THUBUTU.

Watanzania pia ni marehemu tunaotembea, hamna lolote tunaweza mfanya labda kama itatokea MUUJIZA siku moja isiyo na jina.

Jamii ilaumiwe.
...
 
Hakuna mabadiliko hakuna uchafuzi,nyie kaeni tu madarakani msituharibie kodi zetu bure.
ni kujidanganya tu kwamba eti kubadili sheria za uchaguzi na katiba ya nchi ndiyo haki,

na kupuuzia nahitaji msingi ya kilasiku ya mwananchi mathalani maji, elimu, afya, kilimo n.k

wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini na kuwapa dhamana za kuongoza taifa, wale ambao wanajali mahitaji yao ya msingi ya kila siku, na sio matapeli wa kupambania vyeo na madaraka kwa maslahi yao binafsi na familia zao 🐒
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Akili za kina wasira hizi. Unaandika ujinga ujinga kwa kuwa umepata cheo cha uchawa mpuuzi mmoja wewe!
 
Unawalisha maneno wananchi.Ccm ndio hamtaki katiba mpya.

Wananchi haohao wa Tanzania ndio waliotoa maoni yao kuhusu namna tume huru ya uchaguzi inavyotakiwa kuwa wakati wa mchakato wa katiba mpya ile ya Warioba.
huo mchakato walioupinga na kuukwamisha si ndio hawa hawa wanafiki wanaoudai tena au?

ilionyesha wazi ni utapeli kama ambavyo wananchi wanavyowaona watu wanaopiga makelele na mdomo kuhusu katiba mpya hivi sasa.

For sure ni wakupuuzwa tu, katiba sio hitaji wala kipaumbele cha waTanzania 🐒
 
Akili za kina wasira hizi. Unaandika ujinga ujinga kwa kuwa umepata cheo cha uchawa mpuuzi mmoja wewe!
Relax,
na sasa wewe si uandike ujanja mbadala wa ujinga gentleman? Mbona weo sasa?

na si umekatazwa kutaja majina ya watu ingawa hata hoja huna, dah ajabu sana hii 🤣
 
tatizo kubwa ni moja tu,
wanaojiona wajuaji na kuiona katiba hii ni batili, kwanza ni wachache sana na hawana hoja zenye mashiko kuwashawishi wananchi wengi kuona na kuamini katika ubatili huo,

na wananchi walio wengi wanaona mambo mengi ndani ya katiba yako sawa sawia, na vipaumbele vyao muhimu ni mahitaji yao ya kila siku yaliyo nnje ya katiba.

hata hivyo,
wapiga mdomo na makelele ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi na katiba ya nchi, wanalenga zaidi mabadiliko ya vyeo na madaraka kwa tamaa binafsi, chuki binafsi na wivu ambao hauna maana wala manufaa yoyote kwa wananchi ambao mahitaji yao muhimu ni kwenye kilimo, maji, afya, elimu n.k.

ndio maana hoja hii inafaa kupuuzwa tu. Na kwakweli hoja ya mabadiliko ya katiba itaishia JF na kwenye mitandao ya kijamii tu, Lakini field kwa wananchi hakuna habari na wala hawana haja na makelele ya katiba 🐒
Wewe hakika unazidi kuudhihirisha upumbavu wako na njaa uliyonayo. Hopeless kabisa.
 
hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!
Sawa, hakuna kutaja majina, lakini viwakilishi nadhani vinaruhusiwa!

Kama inasemwa katiba ni batili, unazungumziaje Tena habari za Sheria mpya ya Uchaguzi ambayo imetungwa kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo isemwayo ni batili? Kwa nini isifunguliwe kesi kwenye Mahakama ya kikatiba kupinga ubatili wa Katiba inayosemwa?

Ni kumuonea juu ya hili; kwa sababu, Yeye hajaona ubatili kwenye katiba ndiyo maana aliridhia itumike ili kukidhi takwa la utaratibu wakati wa mabadiliko.

Kwa hiyo, aonaye ubatili wa Katiba afungue kesi ya kikatiba kwenye Mahakama ya Kikatiba kwa ajili ya kupinga ubatili wa Katiba.
 
Japo kwa angalizo kwamba asitajwe jina(?), lakini kwa mistari miwili mitatu ya kwanza ameshajulikana na jina umeshamtaja(100%), nafikiri muda mwingine ni vizuri kuweka mambo wazi tu haina haja ya kumficha mtu wakati anajulikana. Ni vizuri kuheshimu hisia zetu kuliko hisia za mtu mwingine maana "Hisia zetu ni za kipekee, lakini zote zinahitaji usikivu." na lazima uelewe kwamba "Siku zote kuna mwanga baada ya giza'' yangu ni hayo tu, mengine na kuacha wewe na clock100 huku mkisaidiwa na watu wa JMT. Ahsante.​
 
ni kujidanganya tu kwamba eti kubadili sheria za uchaguzi na katiba ya nchi ndiyo haki,

na kupuuzia nahitaji msingi ya kilasiku ya mwananchi mathalani maji, elimu, afya, kilimo n.k

wananchi wa Tanzania wataendelea kuwaamini na kuwapa dhamana za kuongoza taifa, wale ambao wanajali mahitaji yao ya msingi ya kila siku, na sio matapeli wa kupambania vyeo na madaraka kwa maslahi yao binafsi na familia zao 🐒
"Eti wabongo wanataka maji sio katiba,haya hayo maji yako wapi akati wakazi wa ubungo na kwingineko huwa wanalalamika humu jamiiforums kuna shida ya maji!!! Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene"- Roma Mkatoliki.

Tlaatlaa umebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene. Ma-ccm huwa hata hamuelewi maana ya hili fumbo "Mmebugia kiazi cha moto mdomo unacheza sebene."
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo!
Simple Mind Discuss People
Ordinary Mind Discuss Events
Great Minds Discuss Ideas。

Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kiutu uzima,ya ku discuss ideas, hakuna kutaja majina,wala ku discuss watu!。

Naomba wachangiaji tujadili hoja tuu ya msingi bila kutaja jina la mtu yoyote,na ikitokea ukajisikia kuwashwa washwa kutaja majina,wewe ujijue bado ni mtoto,bandiko hili sii saizi yako,nakuomba jipitie zako kimya kimya,nenda kwenye mabandiko ya saizi yako!,na nimuombe mode,turudishe ile nidhamu ya jf ya zamani, ukiona mtu yoyote kataja jina lolote kwenye bandiko hili,futilia mbali hiyo post,tuanze kurudisha ile jf ya enzi zile,watu wanakata issues hivyo kutenganisha mambo kikubwa na mambo ya watoto。

Hili ni bandiko la swali,huu ni mwaka wa uchaguzi,kuna vitu tumekuwa tunaviomba vifanyike kabla ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2025, mpaka sasa tumeingia mwaka wa uchaguzi, vitu hivyo havijafanyika!,hii imepelekea mimi kujiuliza,hivi Inawezekana ni kiburi na jeuri ya sifanyi,kwani nisipo wasikiliza,na nisipo fanya,
mtanifanya nini?。

Na kiukweli katiba yetu imemruhusu,anaruhusiwa kushauriwa tuu na yeyote,lakini kwenye kufikia maamuzi,atafikia maamuzi yeye kama yeye,halazimiki kufuata ushauri wa yeyote,na maamuzi yake hayahojiwi na mamlaka yoyote!。

Na hata ikitokea akafanya maamuzi yoyote kwa makosa ya kisheria,kikanuni na kiutaratibu,tumempa kinga ya kutokushitakiwa popote,unless kama makosa hayo ni makosa ya ukiukwaji na uvunjaji wa katiba ya JMT,then anashitakiwa kwa mujibu wa Ibara ya 56A ya katiba, lakini ni mara ngapi viongozi wetu wamekiuka katiba,wamevuja katiba na mahakama imetamka wazi jambo fulani ni kinyume na katiba,lakini viongozi wetu wanalitenda na hawafanywi lolote?itakuwa haya ya kusema na kuandika?!。

Au ni kweli kabisa yuko real very busy sana,na hapati kabisa muda wa kutusoma?,kututazama na kutusikiliza,anawategemea zaidi wasaidizi wake tuu!,wamsomee,wamtazamie na kumsikilizishia,na hao wasaidizi wake nao ikotokea ni wako busy sana,hawajapata nafasi ya kumwambia ukweli wa ubatili wa katiba yetu na ubatili wa hii sheria yetu mpya ya uchaguzi aliyoisaini mwaka jana ambayo ndio tunakwenda kuifanyia uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni sheria batili inauokwenda kinyume cha katiba ya JMT?, hivyo kumlaumu ni tunamuonea bure tuu,kumbe masikini wa watu hajui?!。

Kwa vile huu ndio mwaka wa uchaguzi,hii sheria mpya ya uchaguzi,ni sheria batili kwasababu ina vifungu fulani batili,viko kinyume cha katiba ya JMT,ya mwaka 1977
Mahakama Kuu iliisha utangaza ubatili huo ni kinyume na katiba!。

Serikali ikauchukua ubatili huo,ukauchomekea kiubatili ndani ya katiba yetu,ili sasa ule ubatili wa sheria ya uchaguzi,uliotangazwa na Mahakama Kuu,kuwa ni batili,sasa umehalalishwa kwasababu umechomekewa ndani ya katiba yetu。

Mahakama Kuu ikakomaa kuwa sheria hiyo ni batili,na uchomekeaji wa vifungu hovyo ndani ya katiba ni batili!。

Mahakama ya Rufani,ikakiri ubatili huo,kwa vile sasa ubatili huo,umechomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu,na aliyechomekea ubatili huo ni Bunge letu,Mahakama ikaamua,Mahakama haiwezi kuliingilia Bunge,nivyo mpira wa ubatili huo ukarudishwa mezani kwa Bunge,liuondoe!。 Bunge limekula kobisi!

Mpaka leo hii ninapoandika hapa,ubatili huo bado uko ndani ya katiba yetu!,tumetunga sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule sasa tunajiandaa kufanya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa katiba batilifu na sheria batili!。

A Way Forward
Ikitokea this time akaliona bandiko hili na kuvisikia vilio hivi

Nashauri
  1. Muda uliopo unatosha,kufanya minimum reforms za katiba kwa hati ya dharura,kuucholopoa huo ubatili uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu na kuifanya iwe ni katiba safi na halali。
  2. Sheria mpya ya Uchaguzi,ifumuliwe,vile vifungu batili viondolewe,kila Mtanzania awe huru kupiga kura kumchagua kiongozi anayemtaka kwa mujibu wa ibara ya 5。Kwa sasa Mtanzania hayuko huru kumchagua kiongozi anayemtaka,analazimishwa lazima amchague kiongozi aliyeletewa na chama cha siasa
  3. Ibara ya 21 yakatiba irekebishwe kila mtu aruhusiwe kugombea uongozi,kwa sasa Mtanzania haruhuhusiwi kugombea uongozi,analazimishwa kwanza ajiunge na chama cha siasa,hiko chama ndio kimdhamini,ndipo aruhusiwe kugombea,matokeo yake tunawakosa watu wazuri kutuwakilisha huku tukijaza matutusa kule kwenye vyombo vya uwakilishi,matutusa mengine kazi yao ni kugonga tuu meza kupiga makofi na kusema ndioo,nawengine haswa wale warembo wa vitu maalum,wako pale kuuza tuu sura, na kufanya kazi malum,tungekuwa na watu makini mule,yale madudu yote yalipitishwa yasinge pita kwa mserereko kivile!。
  4. Watanzania walitaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi,na sio kuibadili tuu jina kutoka Tume ya Uchaguzi NEC,kuwa Tume,Huru ya Uchaguzi INEC,lakini tume ni ile ile,watu ni wake wale!,tume hii iliyopo ivunjwe,isukwe upya na iwe shirikishi。
  5. Creation of level playing field kwenye the game of politics。
Watanzania tunatakiwa tutafakari kwa pamoja,tufanye nini ili kupata haki zetu za msingi za kidemokrasia na uchaguzi wa 2025 ukawa uchaguzi huru na wa haki?

Paskali
Pasco, namba 3 ndiyo muarobaini wa ubabaishaji hapa Tanzania. Mgombea Binafsi!!!!!!
 
Back
Top Bottom