Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Atawafungulia kesi ya madai ya usumbufu, labda nako hakimu atapewa maelekezo.
4, 4, 4 ,4.
 
Maafili gani ? Anaongeaga uwongo ? Nimekuelewa mzee lakini wameoversee risk , kutokana na ulivyosema basi wamedeal na ishue accordingly, basi kama ndio hivyo basi this country is not as free as it has been preached by people..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…