Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Hata ikitokea kweli akaenda mahakamani , waliowaagiza wasafi ndio wataiagiza mahakama aina ya hukumu waitakayo. Katika kosa kubwa lilifanyika nchi hii ni kuruhusu chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, hata wananchi walipokichoka. Haya ndio sehemu ya madhara yake. Sasa hivi utawala wa Sheria haupo, ila amri toka juu ndio zenye nguvu kuliko Sheria na katiba.
 
Kutokuwa na self control sio kosa kisheria.
 
Tatizo mahakama zenyewe zipo? Atapata haki yake kweli? Jaji gani ana uthubutu wa kutenda haki?
 
Huyu akianza kuleta huu upumbavu ni media ya nani ita
Huyu akianza kuleta huu upumbavu ni media ya nani itaenda kufanya coverage ya habari zao Sasa.
 
Usikute Wasafi wamejipima na kukuta hawatoshi kwa shughuli hiyo wakacancel.Hivi huko Wasafi kuna watangazaji wenye weledi na ukomavu kwenye tasnia ya habari wa kuweza kuendesha mahojiano na Lisu yenye uzito na upana wa hoja zinazostahili?Acheni masihara jamani,hivi ni mtangazai yupi angeendesha mahojiano hayo?Zembwela?au Hando?
 
Kumbe Kinana alikuwa anaongea kwa kutetemeka kiasi kile kila anapoitaja CHADDMA.

Tumegundua kwa hili lililotokea leo
 
Jipigepige kifua kwa kujidai huku ukisema MIMI NI MPUMBAVU
Mpumbavu ni wewe ni huyo Lisu wenu.Naukiza tena huyo akianza kutishia media za watu,nani ataenda kufanya coverage ya habari zenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…