Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Dunia inakwenda kasi sanaa.
Yaani Lissu anawabembeleza waajiriwa wa Diamond wamhoji!
Kwa nini Chadema wasiwe na TV yao kama ilivyo kwa CCM na channel 10 yao?
Wanajua kupiga tu ruzuku lakini maendeleo ya chama ni bure kabisaa. Ovyo sana hawa manyumbu.
Hayo mabilioni wanashindwa kwa na TV kweli? Kweli?
Nimechukia sanaaa

Hao wenye vituo vya matangazo watakula wapi? Huu ushauri wape pia simba na yanga wawe na viwanja vyao.
 
Lissu bhana sasa hao ni viongozi wa wasafi au ni wafanyakazi tuu hao na watapewa barua ya onyo kuandaa kipindi bila kuwajuza wenye tv….
Sio juu ya Lisu kuwajua viongozi wa wasafi, yeye kaalikwa na alikuwa tayari. Kwahiyo Kila anayeenda kwenye kipindi hapo wasafi TV ni lazima wenye TV wajulishwe? Hao waendesha kipindi mkiwaandikia barua mnawaonea, na mkiwaacha mmewaogopa.
 
Tatizo Lisu Hana self control hazingatii kanuni za TCRA akiongea vyombo vya habari

Ni mtu risk Kwa vyombo vya habari vyaweza fungiwa na TCRA labda mahojiano yafanyike Private wahariri ndio warushe Lakini akiongea Live Kuna uwezekano mkubwa chombo Cha habari kufungiwa na TCRA Kwa kukiuka maadili

Ila ingekuwa ni wa kumsifia Rais hilo sio tatizo bila kujali atasema Nini! Huu ujinga wa kupenda kutukuzwa, ndio umewalemaza Hadi ikifikia mahali hamsifiwi mnaona kama ni kukosewa nidhamu. Cha ajabu mnaotaka kusifiwa na kusujudiwa mnaingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi kupita maelezo.
 
Sio juu ya Lisu kuwajua viongozi wa wasafi, yeye kaalikwa na alikuwa tayari. Kwahiyo Kila anayeenda kwenye kipindi hapo wasafi TV ni lazima wenye TV wajulishwe? Hao waendesha kipindi mkiwaandikia barua mnawaonea, na mkiwaacha mmewaogopa.
Basi Lissu awachukulie hatu ili siku nyingine wasimpotezee muda kama hawakujipanga….. au asitoke hapo mpaka ahojiwe …
 
Kwani wasafi ni ya CCM? Halafu kwanini Tundu wanamwogopaga sana? Watakubali mahojiano na watu wote lakini sio Tundu, why? Si wanasema demokrasia na utawala bora ikiwa pamoja na ukweli na uwazi vimetamalaki mbona wanaogopa watu kuexpresi feelings zao, si for the people by the people? Au nasema uwongo ndugu zangu?
Ubaya wa Tundu ni jina lake, ni mtundu kweli kweli. Anakupa elimu huku anakusimanga, yaani unajifunza huku unaumia
 
wamejifunza kwaTaifa STarz kule Abidjan 🐒
Taifa stars iliyohalibiwa na wapumbavu WA ccm kwa kufanya maigizo kwenye mpira eti milion mia mara milion miambili mama ametoa.
Huyu mtu anasemaga uongo na kueneza falsafa isiyofaa ya uliberali tanzania. Eti kila kitu ruksa na kushindana. Wanaruhusu ushoga umalaya eti ni uhuru wa mtu. Asante wasafi kufuta mahojiano na hii kibaraka wa sera za sisi kunyonywa na wageni.
Ushoga anaeneza mamako na mamayenu huko ccm.
 
Taifa stars iliyohalibiwa na wapumbavu WA ccm kwa kufanya maigizo kwenye mpira eti milion mia mara milion miambili mama ametoa.

Ushoga anaeneza mamako na mamayenu huko ccm.
shida ilikua ni uwepo wa puppet tu pale iwanjani, laiti asingekuepo tulikua tunapiga mtu vizuri sana na kusonga mbele..

uwepo wake ulikua na nuksi...
 
Lissu akiongelea hili nimecheka sana, ati kipindi kuchomolewa... ndio yaleyale. Lols

Nahisi walitangaza kuwepo na kipindi hicho kwa muda mfupi, hivyo wenye nchi yao hawakuwa 'wamewaandaa' watangazaji jinsi ya kuendesha hayo mahojiano.
Kwamba aulizwe maswali gani na ambayo asipewe nafasi ya kuyaongelea.
 
Wasafi, nao Wana mumunya mumunya tu.

Hatahivyo, tabia ya kukurupuka na kwenda kuvamia kituo cha redio, eti kwasababu hakuridhika na taarifa ya kufutwa au kubadilishiwa Mahojiano yake-Kina uashiria wa Udikteta. Ubabe Ubabe.

Sidhani kama Diamond ana wajibu. Labda kama makubaliano hayakuwekewa kipengele cha "Kusitisha mahojiano bila ya sababu yeyote ile"

....anywho
Unaelewa kuwa kile tayari ni chombo cha habari chenye maslahi ya umma? Lissu hakuomba mahojiano hayo bali amealikwa na wao wakatangaza kuwa kuta kuwa na mahojiano hayo na muda wake kwa umma.
Hapo tena sio suala la kuweka hiari ya nataka sitaki maana maelfu ya watanzania (nikiwepo mimi) tayari tulisha switch Wasafi hata kama huwa hatuisikilizi tayari kulisikia gwiji la siasa za Tanzania.
Tundu angekuwa mpuuzi kama asingeenda kupata ufafanuzi kwa nini ufute mahojiano yake (ambayo kwa vile ni mtu makini sio kama Bashite) alishafanya home work yake ya nini atakisema kwa watanzania na huku watu wakiacha baadhi ya kazi zao ili wasikie.
Pia alisisitiza kutaka kujua ni nani huyo "toka juu" aliyetoa amri hiyo ale naye sahani moja bila kujali nafasi aliyo nayo.
Ndani ya Serikali ya CCM kuna uduanzi kupindukia.
Bangladeshi!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom