Nasema Uongo Ndugu Zangusio kwa ubaya lakini, ila huyu mtoto wa irene huyu, acha tu tusiseme mengi.
tumuachie Mungu, yeye ndio anajua hatma ya huyu mtoto atakapokuwa kijana mtu mzima.
Ngoja Wajumbe Watimize Akidi Tunyamvue Na KunyumbulishaKavaa nini huyu mtoto.??
Ngoja WajeMbn kila Mara anafanyiwa sherehe HV huyu dad anakitega uchumi au anatumia utelezi wake kwa muda huu
HV Kwan huy Ana elimu gani huyu mam chuo alisoma wapi au diploma yake kachuluwa wapi
Nani main sponsor wake Ni Nani na Ana uchumi gani
Kama umeona wowowo bas n wakike huyo mkuuWa kike au wa kiume? Mbn Kama ana wowowo?
Bwege sana wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja Wajumbe Watimize Akidi Tunyamvue Na Kunyumbulisha
OiWa kike au wa kiume? Mbn Kama ana wowowo?
Ana suruali ndani kumbuka au huoni ..nyeusiNaomba mavazi kama hayo ya sketi wanayovaa machifu.
sketi (sio msuli)
Dogo kaumaliza mwendo mapema sanaaa, inahudhunisha kwakweli.