Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kanisa limeanza kudeal na namna ya kunyoa, namna ya kusuka n.kKanisa naona liko flexible maana hakuna namna sadaka wanazitaka sio kwa kijogoo hapo kichwani kwa dogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kama mtoto kavaa sketi!au macho yangu hayajaona vizuri?Naona ameshindwa kumlea kiume, anajitngezea bomu kubwa la baadae.
Kipindi chetu hupokei na staili ya dogo kichwan kwanza we mwenyewe kunyoa hivyo unaona kabisa mungu hapendi unaweza kwenda moton 😃😃😃😃Sidhani kama kanisa limeanza kudeal na namna ya kunyoa, namna ya kusuka n.k
Kainunulia kkoo?Hili gauni alilovaa tajiri unyoya linathamani ya 15 million!View attachment 2199989
Acheni masihara udangaji unalipa wadau na ndo mana vijana wa kiume usije jilinganisha na mwanamke hasa yule mwenye mvuto ,na kwa sasa binti akishajijua ni mzuri anawavutia wanaume na akapata marafiki wadangaji watamwambia ww shoga yangu mbona ww mzuri nakwambia tukienda viwanja utapiga hela wanamwambia wanaume wanapenda wanawake wenye mvuto sanaHili gauni alilovaa tajiri unyoya linathamani ya 15 million!View attachment 2199989
Tatizo hawadangi kwa malengo ,wakishachuja hamna kazi tenaAcheni masihara udangaji unalipa wadau na ndo mana vijana wa kiume usije jilinganisha na mwanamke hasa yule mwenye mvuto ,na kwa sasa binti akishajijua ni mzuri anawavutia wanaume na akapata marafiki wadangaji watamwambia ww shoga yangu mbona ww mzuri nakwambia tukienda viwanja utapiga hela wanamwambia wanaume wanapenda wanawake wenye mvuto sana
Mbona mnakuwa kama watu mnaoishi mapolini sana!!! hujui kwamba hiyo manzi inasukuma K yake kwa masponsauwa najiuliza hii pisi inapiga mishe gani mjini hapa
Wanajitahidi kuigizabongo movies bana
Hiyo pisi aizeeki aisee!Hii pisi balaaa
We jamaa uandishi wako !!!!.Irabu na silabi kuzichanganya ndio mtihani kwako..lakini umeeleweka....Maraa paah mbuge wa kinondoni baadae huko acha kbsa uwez jua hatma ya mtu aise tumuombee mingubtu
Mnachanganya habari hapa!! Zuri ni mke wa yule DCLILIKUWA ZURI MKUU!!
M7Mbn kila Mara anafanyiwa sherehe HV huyu dad anakitega uchumi au anatumia utelezi wake kwa muda huu
HV Kwan huy Ana elimu gani huyu mam chuo alisoma wapi au diploma yake kachuluwa wapi
Nani main sponsor wake Ni Nani na Ana uchumi gani
Vazi la akina IgweeeMbona kama mtoto kavaa sketi!au macho yangu hayajaona vizuri?
Teh tehHuyo ana tinduliwa tako tu.hamna lolote
Unahisi mbinguni unaenda kwa muonekano wako?Kipindi chetu hupokei na staili ya dogo kichwan kwanza we mwenyewe kunyoa hivyo unaona kabisa mungu hapendi unaweza kwenda moton 😃😃😃😃
Namaanisha alikuwa mzuri enzi hizo!!!Mnachanganya habari hapa!! Zuri ni mke wa yule DC