Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali, Unahisi mbinguni unaenda kutokana na muonekano wako?Acha hasira
Kesha kuwa dogo jinga kumbe [emoji23]Tinajua unachomaanisha
What is this!!sasa huyu Hana hata kakampuni ni mwendo wa kudanga tu,anafanya sherehe ya 100M!faida yake nini?hizi kiki za kipuuzi sana.Staa mwenye cash bila dili za matangazo jana alimfanyia mtoto wake wa pekee sherehe ya kipaimara iliyomgharimu zaidi ya million 100! Kwa kweli ilikuwa ni sherehe ya kifalme.View attachment 2199981
Wakipata matatizo wanaomba wachangiweWhat is this!!sasa huyu Hana hata kakampuni ni mwendo wa kudanga tu,anafanya sherehe ya 100M!faida yake nini?hizi kiki za kipuuzi sana.
Shamsa wahuni wanajipigia tuWanasema wameanzisha kundi lao wanajiita drama queen yupo uwoya, wolper, sepetu, kajala, lulu, na aunty ezekiel, nimeona wamewabwaga wengine kama shilole naona kachukia huyo🤣🤣🤣😂😂 na shamsa naona amejibembeleza kwa kumsifia uwoya kwenye comment ila ajajibiwa🤣🤣🤣😂😂😂 , shilole ndio kanunaa huyo
Yule mi naona mambo ya uswazi yanamuangusha madera 😂😂😀😀 fanya utafiti utagundua wanawake wengi wanakuwaga na uswazi mwingi wanaliwaga na wa uswazi wenzao🤣🤣😂😂😂Shamsa wahuni wanajipigia tu
Hiipicha haitafutika mtandaoni na mwanae ataona , na rafki zake watapigia nyeto
Ila Kali Sana dah na uzr unachangiaHili gauni alilovaa tajiri unyoya linathamani ya 15 million!View attachment 2199989
Nisaidieni mkuu nijue aise mnk nilisoma umasaini huko hvyo tabu tupu mkuu ingawa et na mm Nina degree kbsa duh acha kbsaWe jamaa uandishi wako !!!!.Irabu na silabi kuzichanganya ndio mtihani kwako..lakini umeeleweka....
Alipendeza.View attachment 2200348
Make up yake iligarimu milioni 3 za kibongo!
Wasipofuatiliwa wanajisikia vibaya,maana Hilo ndio Lengo Lao kuu.Ila inaonekana bado kuna wabongo roho mbaya na ma bingwa WA kufatilia Mambo ya watu Tu .......umetamani kuwa mtoto WA uwoya??.......kwanini usikaushe mpaka ulete huu ugoro hapa
Yupi?Designer dress mkuu!
Wewe ni CHAWA wake?Hili gauni alilovaa tajiri unyoya linathamani ya 15 million!View attachment 2199989
Wewe Ni Loydmich?Wivu utakuua wewe ulitaka afanye sherehe ya laki 1
Nikupe NambaHilo goma nikiliweka kumi na nane zangu ni kulipelekea moto hamna kulala
HahaHuyu ndiyo aliolewa na dogo janja??