kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 994
Duh hahaTangu sura halisi ya zumaridi ionekane live, nimejifunza simkubali mwanamke mpaka nimuone bila make up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hahaTangu sura halisi ya zumaridi ionekane live, nimejifunza simkubali mwanamke mpaka nimuone bila make up
Haha haha hahaUnaonekana utakuwa mwalimu tena wa msingi!
Bwabwa Jipya townIla huyu mtoto wake hata mimi nilikua na walakini kidogo, ila Mungu amsaidie tu....
Acha kutamani watoto wa watuWa kike au wa kiume? Mbn Kama ana wowowo?
ExactlyStaa gani hapo na wewe......Kwanza how old are u?? Inaonekana unapenda hizi Mambo za kitoto kitoto.......je ushampost ndugu yako hapa jukwaani hata Tu siku yake ya kununua kiwanja?? Ukiona bado basi ujue wewe bado ujapazoea mjini.....hakuna staa hapo.....wote tunakutana kwenye vibanda umiza na kwenye pantoni mwendo WA daladala......haafu utasikia jinga Lina kwambia nimevaa Gucci ya milioni kumi na mbili .........nyambafu
Best luck for her, bila shaka ana investment za kutosha tayari kuziba mapengo hapo baadaye, otherwise anaikatili future yakeWanawake uwa wanazaliwa na mitaji usijiulize sana.
Unaweza ukawa na demu nyote mmepigika mtaani ila maisha yake yakabadilika wiki inayofuata akawa sio level yako kabisa.
Mkuu unajicho Kali Sana,Naona ukimwi na unga vimeanza kummaliza ! Mamaee
Mjini sjui umekuja lini...Acheni kumzushia uwongo!
We mtaje umekazana ya designer,wako wengi,Sasa yupi?Una hela?