Oh my bad Nasrallah aliuwawa akiwa bunker, Sinwar akitupa fimbo na Haniyeh akiwa nyumba ya wageni.
Nimekumisi Nifah.Mbona mambo mengi sana jamani? Huku hatujamalizana na Baltasar wa Guinea umekuja uchaguzi wa US, hapa tunasubiri UEFA sisi wapenzi wa mpira mara mambo ya Netanyahu na Gallant tena!
Israeli walidhan watapigana miezi 2 washinde vita ikiwa ndefu na huna jeshi humilivu lazima uchoke ndo kinachowatesa ..kila mmoja akienda ghaza hatamani kurudi tena huko japo naona Netanyahu anawasukumia huko tu waendaKatika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
⚡️ Israel Hayom: For the first time in several months, Israeli soldiers are facing Palestinian resistance fighters in face-to-face combat at close range in Jabalia, which led to the killing of 19 soldiers, a relatively high number that indicates the difficulty of the fighting.Israeli walidhan watapigana miezi 2 washinde vita ikiwa ndefu na huna jeshi humilivu lazima uchoke ndo kinachowatesa ..kila mmoja akienda ghaza hatamani kurudi tena huko japo naona Netanyahu anawasukumia huko tu waenda
Netanyahu ni kiongozi wa hovyo huwezi kumfuta kazi waziri katika kipindi hiki kigumu hivi .ukisikia serikali iliyofitinika ndo hii sasaOperation true promise 3 inakuja na itakua kali zaidi ya zilizopita sisi ni waumini hatutoi ahadi ya uongo
Operation inaendelea.
Kamanda mkuu wa Hezbollah aliyekuwa na ugangwe kafa akipiga drone kwa fimbo🥹
Mkuu wa Hamas kafia nyumba za wageni Iran akizungukwa na ulinzi mkali ila haukumsaidia.
Sio rahisi hivi kumbuka hapigani yeye huwezi kupush to wanajesh wakapigsne katika kipind hiki kigumu ...Itimar Ben Gvir ndiyo anapigiwa chapuo na amemwomba NETANYAU amteue yeye kwasababu ya uchizi wake
Kama atachaguliwa huyu Mzee kuwa waziri wa ulinzi tutegemee vita ya tatu ya dunia View attachment 3144631
Unadikiri ni kikundi cha kihuni na sio nchiSiasa za Israel ni za ajabu sana nchi ilitakiwa kuwa pamoja wakati huu wa vita ilacha ajabu Kuna wapinzani kama wote kuanzia wanasiasa ngazi zajuu mpaka wananchi wa kawaida hii sio sawa ni hatar sana kwa Usalama wa nchi.
Nasikia anashinda mapokezi ya ofisi ya Netanyahu akijibu kushawishwi kuwa asikilizwe na ateuliwa alitumikie taifa lakeItimar Ben Gvir ndiyo anapigiwa chapuo na amemwomba NETANYAU amteue yeye kwasababu ya uchizi wake
Kama atachaguliwa huyu Mzee kuwa waziri wa ulinzi tutegemee vita ya tatu ya dunia View attachment 3144631
Kumbe hamas ndo wameshinda vita?afu tukiwaambia wafuasi wa allah ni mbumbumbu mnalia liaKatika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
Neta Mungu anamuonaYoav Gallant umebanduliwa Gachagua style?
Huna mpango kufika supreme court?
MK254, imekuwa je tena na hizi banduanaji?
Hapo bado hujaambiwa Samia kapotea Barbados tangu Ijumaa.Mbona mambo mengi sana jamani? Huku hatujamalizana na Baltasar wa Guinea umekuja uchaguzi wa US, hapa tunasubiri UEFA sisi wapenzi wa mpira mara mambo ya Netanyahu na Gallant tena!
Kuwa serious Mkuu, Dah! Hana ushamba wa visiwani, ni mwenyeji.Hapo bado hujaambiwa Samia kapotea Barbados tangu Ijumaa.
Akijisemea chambuzi la medani za habari za kimataifa kutoka kizimkazi Bwana UtamKatika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
Bahati mbaya sana wajinga wenzako wamekupa likesKatika suala ambalo halitakuja kutokea ni israhell kuishinda hamas paka mwanasiasa na awe makini mgambo wake wasije kimbia uwanja wa vita tuuu israhell ukihadithiwa na biibisii au baadhi ya wachafuzi hapa jf unaweza ukakufa
Weka ushahidi wa ulichokiandika, bahati mbaya sana wajinga wenzako wamekupa likesMungu ni mkubwa sana , kwanza gantz kamwambia ukweli akaamua kuachana na upumbavu akajiuzulu
Sasshivi gallant ambaye alishampinga mara nyingi hadharani na kumuita netanyahu muongo, wote tulijua kama anavizia kumfukuza ,ila haitobadilisha kitu kama netanyahu ni muongo na kafeli tayari ,anatapatapa tu