Kama umekereka Choma moto simuSukuma Gang mbona mnatumia nguvu nyingi sana?
Uliona wapi?. Uongo tupu.Wewe ndiyo utulie uje kuwahadithia vizazi vya mbele mambo ya magufuli kwakuwa watakuwa hawajaona ila sisi tulioona utawala wake from A to Z hauwezi kutulisha kasa au matango pori.
Wacha uwongo wewe picha za mama enzi za uhai wa huyo dhalim na za sasa hivi zinamaliza ubishi.Angewezaje kuishi nae miaka mingi yote hiyo?
Acha utoto. Mapenzi ni tofauti na kuzuia wezi wa mali ya umma.
Mama Janeth Mda wote amebaki kwenye majonzi mazito afu wewe una nyenyele hapa.
We kichwa maji kweli, wameenda kwa ridhaa au wamepelekwa?Huu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Mama mbona hata uso unaeleza wenyewe.Angewezaje kuishi nae miaka mingi yote hiyo?
Acha utoto. Mapenzi ni tofauti na kuzuia wezi wa mali ya umma.
Mama Janeth Mda wote amebaki kwenye majonzi mazito afu wewe una nyenyele hapa.
Raha sanaHuu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Hao watoto wadigo wako wapi??Huu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Sio kwamba wewe ndio unatumia nguvu nyingi zaidi?Sukuma Gang mbona mnatumia nguvu nyingi sana?
Safi sana marehemu HACHUKIWIHuu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Huo uovu ni ule ulioujenga kichwani mwako...tena kwa mtu mzima kama wewe hata unaodai ni watoto, watakushangaa. Isitoshe hao sio watoto kihivyo unavyotaka kuaminisha kadamnasi wako......wakikua na kuujua UOVU wa utawala wa Magufuli watalaumu kitendo cha kuwapeleka kutembelea kaburi lake.
..mtawadanganya sasa hivi wakati wadogo, lakini wakikua wataujua UKWELI.
Wapo wengine humu humu...yameondoa UTU na kujipachika wana haki.Thats touching, inatosha kufarijiwa na purest hearts who smile when they mean it kuliko watu wazima wanaokuonesha meno 32 kumbe kisogoni mwao wametunza chuki kubwa dhidi yako
Nani kakudanganya kuwa wamekwenda kwa hiari? Nani kakudanganya kuwa wanamuenzi Shetani?Huu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685
Una to. m. .....bwa.Kama umekereka Choma moto simu
Ulishuhudia?Aache watoto wa watu wasome..
Huwez kuuwa watu ukabaki hata siku moja.
Wako sahihi sana .Ila sisi tuliouliwa ndugu zetu n'a ile kenge tunashukuru bwana kutwaaHuu ni ukweli kwamba JPM ataenziwa vizazi na vizazi. Hawa watoto wadogo wanajua historia yake na wamepata hadi mwamko wa kwenda kumfariji Mama Janeth. Hakika Mungu si athumani.
View attachment 2561685