Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Je, hii kauli ya Lissu ni kukosa hekima, kutokujali au ndio changa la macho kwa wananchi baada ya tuhuma za kulamba asali?

Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
Mkuu Mzalendo Uchwara , kiukweli hapa una hoja ya msingi sana. Lissu is very bold and very good speaker ila ni msema hovyo na hana hata chembe ya busara!.

Mimi ni kaka yake toka sekondari Ilboru, hivyo Lissu ni mdogo wangu, kitu cha kwanza namkubali sana dogo huyu ni kichwa mbaya wakati mimi ni kama kilaza fulani, ila kwa upande wa busara, ninajaribu kumsaidia sana Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? hata kwenye kugombea na JPM, mimi pia nilichangia kumshauri, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! ila nilipomsikiliza akiongea na media za nje, nikaamini huyu hatarejea nyumbani Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! alipotaka kurejea alihofia usalama wake hadi ahakikishiwe na Sirro, nimemshauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home! na kweli akakubali kurejea.

Hata kwenye ule mchakato wa katiba, tulimsaidia Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele! na hata kwenye kuupinga udikiteta pia tulisaidia Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! hivyo Tundu Lissu anahitaji sana kusaidiwa.
P
 
Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
mabeberu ambayo mamayenu kila siku anaenda kuombaomba pesa za matundu ya choo.
 
Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
Basi kengeza atakuwa kaumia sana maana anajua hela waliyochukua ilipaswa lisu aka punga anyamaze kimya jamani jamani mhh
 
Mkuu Mzalendo Uchwara , kiukweli hapa una hoja ya msingi sana. Lissu is very bold and very good speaker ila ni msema hovyo na hana hata chembe ya busara!.

Mimi ni kaka yake toka sekondari Ilboru, hivyo Lissu ni mdogo wangu, kitu cha kwanza namkubali sana dogo huyu ni kichwa mbaya wakati mimi ni kama kilaza fulani, ila kwa upande wa busara, ninajaribu kumsaidia sana Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa? hata kwenye kugombea na JPM, mimi pia nilichangia kumshauri, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! ila nilipomsikiliza akiongea na media za nje, nikaamini huyu hatarejea nyumbani Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela! alipotaka kurejea alihofia usalama wake hadi ahakikishiwe na Sirro, nimemshauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home! na kweli akakubali kurejea.

Hata kwenye ule mchakato wa katiba, tulimsaidia Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele! na hata kwenye kuupinga udikiteta pia tulisaidia Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele! hivyo Tundu Lissu anahitaji sana kusaidiwa.
P
Mayala maana yake njaa.
Huna hoja wewe labda kuhadaa watu eti lissu anahitaji kusaidiwa wewe unachoweza ni kuleta notes za administrative law i.e.on public law remedies of certiorari,mandamus and prohibition wakati ukiwatetea wale malaya halima mdee na wenzake,apart from that nothing you can give substantive unless those who do not make scrutiny and curiosity.
NB, watu wa chadema hawahitaji ushauri wa ccm maana kama lissu asiposaidiwa kama unavyotaka si ndio faida kwa nguruwe wa uvccm na sukuma gang mliokuwa mnaaminisha watu kuwa chadema imekufa wakati huo huo mmeshindwa kufatilia mikutano ya chongolo iliyobuma badala yake mnafatilia mikutano ya lema, hahahaaa.
 
..I agree with you 100%.

..Watanzania inabidi tuwe na uchungu na nchi yetu.

..Ukisoma mijadala yetu unaona tunatilia mkazo mambo yasiyo na manufaa, na kuacha yale yenye manufaa.
Huu ndio ukweli Watz wengi wepesi Sana vichwani,

Mimi nilishasema toka siku ile ya BAVICHA kumwalika Mwenyekiti wa Ccm Taifa,

Kwanza hamna maridhiano bali ulaghai tu ccm Ni magwiji wa siasa chafu na itabaki hivyo.

Pili,inachofanya Ni kuwasalitisha au kuwatenganisha Mbowe na Lisu,na hii ni strategically mmoja anapewa Asali nyingi mwingine kidogo ,huku wakivuta muda wasuchaguzi..

Tatu,Ccm inachelewesha haya mambo ya Tume Huru na Katiba Mpya kwa kuwazubaisha viongozi wa Upinzani,ukiona imefika 2024 ccm haiwezi kufanya Katiba Mpya Kama hoja yake(yaani inajipanga na uchaguzi tu kwisha)..Lisu akipiga Sana kelele atamaliziwa buyu lake na hapo muda utakuwa ushaenda..


Narudia hayo mnayoita Maridhiano Ni usanii Mtupu..

Na Ni ulambaji wa Asali kwa tuliowaamini na atayepata Asali kidogo hatoyaunga mkono..

Hakuna mwanasiasa wa kuonja kura yangu Wala ya mwanafamilia Yangu..
 
Na kwa kuongezea tu ni kwamba kama aenda hospitali ya Tanzania basi huwaambia madaktari wa Ubelgiji ambao nao hutuma tu hizo "documents" au "medical history" kwa njia ya email tu kwenda systems za hospitali yoyote atayochagua nchini Tanzania.

Ila kuna tatizo la "logistics" kwa vifaa za matibabu kwani kwa kule Ulaya masuala hayo hayana shida kulinganisha na huku TZ ambako "authentication" ya vifaa huwa ni muhimu sana kuepusha kununuliwa vifaa vilivyo chini ya viwango vya kimataifa.

Pia kuna expenses ambapo kwa Ulaya ni "straight forward" mchanganuo wajulikana tofauti na hapa TZ ambapo watu wataanza kupiga hesabu za cha juu hivyo kukwaza shughuli nzima ya kumshughulikia mgonjwa kiufanisi.

Lakini nadhani mheshimiwa Tundu Lissu yupo "stable" sana financially hivyo sidhani kama kutakuwa na shida sana kwenye kumudu gharama za "check-ups".
Mifumo ya tehama tuliyonayo inawezesha mawasiliano ya kuonana live (video conference or zoom) na madaktari wake wa Ubeligiji) wakati wa hiyo check up yake. Inawezesha madaktari wake wa Ubeligiji kumfanyia hiyo check up akiwa hapa hapa Tanzania (telemedical consultation & treatment).

Kuhusu gharama ya matibabu yake hapa Tanzania, chama chake kingamlipia bila wasi wasi wo wote tena kwa viwango vya VIP patient. Gharamq ya matibabu yake huko Ubeligiji analipiwa na Akina Robertson ambao tutakapompa uraisi watakuja kubeba maliasili zetu zote free of charge na kutufanyia u LGBTQQIP2.
 
Huyu ni kirusi hatari zaidi kuliko kile cha covid 19 ndani ya hicho chama. Si mwana siasa hata kidogo bali ni mwanaharakati kama Fatuma Karume, Maria Sarungi na Kunambi. Akipewa nchi, Tanzania itakuwa jamii ya LGBTQQIP2+.
Huku mamayenu anaenda kukopa kwa hao LGBT na pia anaenda kupokea makamu wa rais anayeunga hao LGBT, ni mpumbavu pekee anaweza kuwaamin ccm na wafuas wao.
 
..kama Samia ameridhia bango hilo basi atakuwa amekosa busara.


..vilevile atakuwa ni laghai, na mpenda sifa na umaarufu.
Unasema kama,

Wakati unaona kabisa kimewekwa?
 
Akiwa 'nyumbani kwake' huko Ubelgiji, makamu wenyekiti wa mitandaoni wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Lissu ameandika hivi mtandaoni.
View attachment 2564267

Je huku sio kumkosea adabu partner wa CDM kwenye maridhiano ambaye technically ameshika upande wa mpini?

Si amesema hadharani kuwa mchakato unakuja na utakuwa shirikishi? tena ameyasema hayo baada ya maridhiano na chama cha Lissu!

Kwamba Lissu hana uvumilivu au hakubaliani na msimamo wa chama chake ama ni kukosa tu hekima na busara?

Alafu hili la kudai hela zake kila mara hili ni nini hasa? Kwamba ndio sera yake endelevu? Si alisema amelipwa huyu? 🤣🤣🤣

Na hiyo viza ya Ubelgiji inachukuwa miezi mingapi kuihuisha?? Au ndio yaleyale ya akina Liberatus Mwang'ombe ya kurudi wakati wa uchaguzi alafu wakiangukia pua haooo wanakimbilia zao 'makwao' kwa mabeberu?
Kwa post yake hii, shida nini ,ameongea fact
 
Kwani maridhiano kulikuwa na mgogoro upi? Hawa watu wanabembelezwa sana na hawana utu. Eti mikutano ya hadhara, utoto mtupu! Kama walikataa uchaguzi baada ya kugaragazwa vibaya 2020, wakumbuke kwamba hatujafanya uchaguzi mpya, rais huyu pia alitokana na uchaguzi ule. Walimkataa jpm lkn wsnamkubali huyu, halafu wote wanatokana na ccm ile ile ambayo wanadai iliiba kura.
Nakubaliana na wewe mkuu.

Wanasema uchaguzi haukuwa wa haki lakini wapo pamoja na aliyetokana na huo uchaguzi wanasema sio wa huru na haki.
 
..hilo bango ni mali ya nani?

..amepata ridhaa ya Lissu kumuweka kwenye bango?

..nadhani itafutwe namna kumshtaki.
Wanakula hela tu ila kwenye mabango hawataki?

Ukitaka kula sharti uliwe!
 
Back
Top Bottom