Status
Not open for further replies.
Bora umeandika ukweli
 
Haya maisha ni betting kwa kila kitu, ndo maana huwa namshangaa mtu anayemcheka mtu anayebet mechi za mpira huku yeye mwenyewe amelima shamba au anakodisha chumba ili afanye biashara, anakodi shamba, ananunua mbegu, mbolea na anaweka vibarua kana kwamba anajua mvua itanyesha inayohitajika, nzige hawatakuwepo, soko litakuwa shwari, nk. ukishawaza hivyo unaweza usilime wala kufanya chochote, usitishe watu wasifanye biashara au kilimo kisa wewe ulipofanya mara mbili hukufanikiwa.
 
Narudia tena, mtu aingie akijua kuwa huu ni utapeli muda wowote utaisha. Mimi nimeingia nikijua kuwa ni utapeli muda wowote unaweza kupoteza ela yote na hiyo ni lazima. Ipo siku tutarudi kwenye thread hii wakishasepa na kijiji.
So, mimi sialiki watu kwa sababu najua muda wowote inaweza kuisha na mtu akanilaumu. mtu kama anaingia aingie mwenyewe kwa mapenzi yake.
Niliona kipindi cha kalynda watu hadi wakakimbia jiji kwa kudaiwa na waliowaingiza.
 
Naomba nielekeze hapa kwenye kuwa na akaunti zaidi ya moja. Nikitumia line nyingine yenye jina langu ilani mtandao mwingine itakubalika au inabidi nitafute line yenye jina tofauti?
 
Naomba nielekeze hapa kwenye kuwa na akaunti zaidi ya moja. Nikitumia line nyingine yenye jina langu ilani mtandao mwingine itakubalika au inabidi nitafute line yenye jina tofauti?
Itakubali ila wakikugundua watakufungia
 
ni suala la muda tu sasahivi mtaanza kulia watanzania hua hawajifunzi
 
Naona mnaitana tu ili bomu likilipuka mfe wengi🀣🀣
 
kuna kulia na kucheka, mimi hadi saiz nachekelea tu
Wanawapa nyinyi wa kwanza kwanza ili mshawishike na kuvutia wengine si unaona hizo link mnasambaza za kupata commission mkishajaa jaa wanasepa mazima. Hata kutega ndege lazima uweke mtama au pumba na wazilezile ili wajae kabla hujavuta kamba.

Kila la kheri
 
Whatever
 
Kila siku watu wanatapeliwa nyie bado hamjifunzi tu.
Ukitaka kupata utajiri wa haraka, uwe tayari pia kupata umasikini wa haraka.
 
Nikampuni ambayo ukiweka pesa kidogo kuna pesa unalipwa mwaka mzima kilasiku. Kuna video ukazaa unatakiwa uzi view. Ila sijaielewa vizuri. Naomba maelezo kwa mwenye kuijua
Halafu mnarudi kuja kufungua uzi mkisha tapeliwa...ukitaka hela izae ukiwa umelala nunua Bond za serikali na Wekeza kwenye fixed account haya mambo ya vikampuni uchwara utapigwa tuu MATAPELI.
 
wewe umo tena kwa akaunti 3 afu unawatisha wenzio wasije ili ule pesa pekeyako!!, Mimi ninazo 2 zote P3 na nahamasisha watu watu waje tupige pesa kwa pamoja.
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
 
Sasa kuna nyingine hiyo ina faida kinoma kama kawaida wa kwanza kula wa mwisho kuliwa nisharuka nayo. hiyo 200k inakupa 28500 kila siku na hufanyi chochote. imeanza tarehe nne nimeiwahi mapema msemo ni ule ule wa kwanza kula wa mwisho kuliwa.
ipi hiyo? naitaka
 
Nikampuni ambayo ukiweka pesa kidogo kuna pesa unalipwa mwaka mzima kilasiku. Kuna video ukazaa unatakiwa uzi view. Ila sijaielewa vizuri. Naomba maelezo kwa mwenye kuijua
We unaijua, sema unataka nasi tuijue!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…