Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Utapigwa kitu kinaitwa " cut out"Kuna mtu kanirushia link yao ananiambia unajiunga kwa Kiasi fulani cha pesa, mfano 540K halafu wao watakuwa wanakutumia video za matangazo ya biashara Kila siku video tano, unaview sekunde 5 Kila tangazo, halafu wao wanakulipa 18,000 Kila siku, nimekuja kwenu mnisaidie tafadhali kabla sijapigwa.
Yaani kuangalia tangazo ndio ulipwe?matapeli ,utalipwa siku moja au mbili ili ulete wengine baada ya hpo umepigwa .watakunga telegramKuna mtu kanirushia link yao ananiambia unajiunga kwa Kiasi fulani cha pesa, mfano 540K halafu wao watakuwa wanakutumia video za matangazo ya biashara Kila siku video tano, unaview sekunde 5 Kila tangazo, halafu wao wanakulipa 18,000 Kila siku, nimekuja kwenu mnisaidie tafadhali kabla sijapigwa.
Isije ikawa ndiyo yeye anataka kutupiga! Hapigwi mtu hapa!tuma
maana mnapenda maisha ya kitonga sana
Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa. waliotangulia wamekula na kula na kula tena. sasa hivi lbl ina miezi kama nane, so haijulikani kama itaendelea au lini itakufa. Ni kweli hata mimi nipo nishakula na kula na kula sana. Yani ela niliyoweka ishatoka zaidi ya mara sijui 10. Stake what you are ready to lose. Ni kama kubetKuna mtu kanirushia link yao ananiambia unajiunga kwa Kiasi fulani cha pesa, mfano 540K halafu wao watakuwa wanakutumia video za matangazo ya biashara Kila siku video tano, unaview sekunde 5 Kila tangazo, halafu wao wanakulipa 18,000 Kila siku, nimekuja kwenu mnisaidie tafadhali kabla sijapigwa.
Mizengo pinda akiipenda sawa akikunja ule uso ulo kunjika tayari ujue watu wanalizwa,lile jasusi limeua JATU, DECI na ,BBT na nyingine nyingi,lakini maisha yanapita hata mazao yanaanza vizuri mwisho bei inaporomoka,na watanzania pia tukome kila kitu lazima mlete huku Jamii forum,hivi wajua hata DECI ni midomo iliponza kichaa sasa hata blt italima watu sababu ya vibwengo kama nyie,hata bajaji zimepanda bei sababu ya wapenda sifa kama.wewe Tena mnaongelea bar,serikali yenyewe ni ya njaa njaa tuu wakiskia hapa tuu watu wanalizwa,imagine that.Kuna mtu kanirushia link yao ananiambia unajiunga kwa Kiasi fulani cha pesa, mfano 540K halafu wao watakuwa wanakutumia video za matangazo ya biashara Kila siku video tano, unaview sekunde 5 Kila tangazo, halafu wao wanakulipa 18,000 Kila siku, nimekuja kwenu mnisaidie tafadhali kabla sijapigwa.
Bila shaka familia ililala njaa.. sifa za kijinga😀kinachoenda kukukuta ni kama ile hadithi ya kale ya mzee Bushele alipiga msele na baiskeli kuleta manjonjo kwa mkewe akamwaga ubwabwa wa kula jioni.
Alikimbizwa na mke wake akarushiwa mwiko wa kisogo 😆😆
Sio poa 😆😆Bila shaka familia ililala njaa.. sifa za kijinga😀
Acha Yesu aabudiwe weweeAsilimia kubwa ya Mitanzania ni kama minyumbu vile mijingamijinga aise .
Wapelekee wakupige ulete mrejesho .Nirudie kusema hakuna hela ya bure jamani fanyeni kazi aise.
Mwandishi mathiasi mnyampala katika kitabu chake cha diwani ya mnyampala aliandika shairi akisema "bure ina sumu kali yafaa kuiepuka."
Sasa kwakuwa wengi wanapenda kitonga acha wapigwe.
Juzi mwamposa amepiga hela za manyumbu watu laki nne wamehudhuria mkesha mfano kila mtu alitoa sadaka ya bukubuku au buku mbili piga hesabu ni shingapi kaingiza.
Hata haomanabii yameshajua mitanzania inataka hela za miujiza sasa wanajipigia hela balla
Mwanza napo nasikia mchungaji mmoja nimemsahau jina nae anamkesha wa wiki nzima watu kamq laki wehudhuria sasa piga hesabu nishingapi kakusanya za sadaka.
Watumie haraka sana izo hela, bila shaka unazo nyingiKuna mtu kanirushia link yao ananiambia unajiunga kwa Kiasi fulani cha pesa, mfano 540K halafu wao watakuwa wanakutumia video za matangazo ya biashara Kila siku video tano, unaview sekunde 5 Kila tangazo, halafu wao wanakulipa 18,000 Kila siku, nimekuja kwenu mnisaidie tafadhali kabla sijapigwa.
🤣🤣🤣Isije ikawa ndiyo yeye anataka kutupiga! Hapigwi mtu hapa!
Check pm yako at yóur own risk 😂
Nami naitaka hiyo kituCheck pm yako at yóur own risk 😂
Upo sahihi mkuu Kuna raia wamepiga Sana pesa hizi ishu za pyramid scheme ukiwahi unapiga pesa,wajinga ndio waliwaoWa kwanza kula wa mwisho kuliwa. waliotangulia wamekula na kula na kula tena. sasa hivi lbl ina miezi kama nane, so haijulikani kama itaendelea au lini itakufa. Ni kweli hata mimi nipo nishakula na kula na kula sana. Yani ela niliyoweka ishatoka zaidi ya mara sijui 10. Stake what you are ready to lose. Ni kama kubet
Umeongea maneno ya uchungu me nimekopa pesa nimejiunga level 3 nataka pesa irudi chap Ila nipo tayari kuipoteza hiyo pesa naombea Hawa jamaa wadumu hata miezi sita ijayo,Ila Kuna harufu ya kupigwa hasa kwenye uwekezaji wa muda mrefuNajua itakavyoisha kwa sababu mimi nimeingia vikampuni uchwara vingi vya hivi na mwisho wake naujua. Sasa hivi kwanza siwezi mwalika mtu ajiunge kwasababu ishatimiza miezi kadhaa na muda wowote inaweza kubuma ikasepa na ela ya mtu akakulaumu. ndo maana sialiki mtu. hizo akaunti zangu nimejialika mwenyewe kutokea kwenye akaunti moja.
Yani unajikiona lbl ni kile kile cha kalynda tofauti huko ulikuwa unaambiwa na process orders, lbl unatazama video ambazo unakuta ni zile zile week nzima.
LBL unaambiwa kampuni imesajiliwa sijui london. Hivi kama uwekezaji ungekuwa rahisi hivi, unadhani balkshire wangeenda kuwekaza dollar milioni 260 kwenye kampuni ambayo faida yake itaanza kutengenezwa baada ya miaka 10 na huenda ikafa kwa sababu ni startup?
Nachosema, kama umewekeza huko kula ila kwa kuita watu wakaweka pesa kuna ambao wataweka na itabuma kabla ya hata kurudisha fedha yao na watakulaumu. Mimi ni mtu ambaye sipendi lawama. Na nimeweka fedha nikijua risk zake.
Pia ingelikuwa ni kampuni genuine ela ingekwua inawekwa kwa lipa namba, sio kuituma kama unamtumia mtu na kila wakati jina tofauti ili sever isome msg zilizopokelewa ilinganishe na namba iliyotuma hiyo fedha ndo iupdate.
Hivi hujajua mleta maada ameuliza kimafia zaidi!?hapo wewe ndio target,yeye anajua Kila kituMi siijui lakini nakushauri uachane nayo.
Kwenye wealth fund?Kuna jamaa yangu anapata pesa ila mimi siingii kamwe.. niaaacheee kuna mahalii watu wata jamaaa .. hakuna marefu yasikuwa na nchaa
Kuweka pesa ni bure? Huko ni kuwekeza ikifeli ni maisha tuu.hii ya kupenda vya bure imepelekea maumivu makubwa sana kwa watu wengi.
Wewe.niambie biashara ngapi zinafunguliwa na kufa,jaribu kinachowezekana,ikibuma poa tuu,infact hata maisha ya binadamu yana mwisho.Nikampuni ambayo ukiweka pesa kidogo kuna pesa unalipwa mwaka mzima kilasiku. Kuna video ukazaa unatakiwa uzi view. Ila sijaielewa vizuri. Naomba maelezo kwa mwenye kuijua
Kwahiyo hata hewa ya Bure ndo maana tunakufa kwa ajari right?hii ya kupenda vya bure imepelekea maumivu makubwa sana kwa watu wengi.