Status
Not open for further replies.
Utapigwa kitu kinaitwa " cut out"
 
Yaani kuangalia tangazo ndio ulipwe?matapeli ,utalipwa siku moja au mbili ili ulete wengine baada ya hpo umepigwa .watakunga telegram
 
Wa kwanza kula wa mwisho kuliwa. waliotangulia wamekula na kula na kula tena. sasa hivi lbl ina miezi kama nane, so haijulikani kama itaendelea au lini itakufa. Ni kweli hata mimi nipo nishakula na kula na kula sana. Yani ela niliyoweka ishatoka zaidi ya mara sijui 10. Stake what you are ready to lose. Ni kama kubet
 
Mizengo pinda akiipenda sawa akikunja ule uso ulo kunjika tayari ujue watu wanalizwa,lile jasusi limeua JATU, DECI na ,BBT na nyingine nyingi,lakini maisha yanapita hata mazao yanaanza vizuri mwisho bei inaporomoka,na watanzania pia tukome kila kitu lazima mlete huku Jamii forum,hivi wajua hata DECI ni midomo iliponza kichaa sasa hata blt italima watu sababu ya vibwengo kama nyie,hata bajaji zimepanda bei sababu ya wapenda sifa kama.wewe Tena mnaongelea bar,serikali yenyewe ni ya njaa njaa tuu wakiskia hapa tuu watu wanalizwa,imagine that.
 
kinachoenda kukukuta ni kama ile hadithi ya kale ya mzee Bushele alipiga msele na baiskeli kuleta manjonjo kwa mkewe akamwaga ubwabwa wa kula jioni.

Alikimbizwa na mke wake akarushiwa mwiko wa kisogo 😆😆
Bila shaka familia ililala njaa.. sifa za kijinga😀
 
Acha Yesu aabudiwe wewee
 
Watumie haraka sana izo hela, bila shaka unazo nyingi
 
Upo sahihi mkuu Kuna raia wamepiga Sana pesa hizi ishu za pyramid scheme ukiwahi unapiga pesa,wajinga ndio waliwao
 
Umeongea maneno ya uchungu me nimekopa pesa nimejiunga level 3 nataka pesa irudi chap Ila nipo tayari kuipoteza hiyo pesa naombea Hawa jamaa wadumu hata miezi sita ijayo,Ila Kuna harufu ya kupigwa hasa kwenye uwekezaji wa muda mrefu

Ishu ya malipo kutoka namba binafsi ni Jambo lakufikirisha Sana na video kujirudia ni Jambo lingine la kufikirisha

All in all waliowahi wanapiga pesa sana
 
Kuna jamaa yangu anapata pesa ila mimi siingii kamwe.. niaaacheee kuna mahalii watu wata jamaaa .. hakuna marefu yasikuwa na nchaa
 
Nikampuni ambayo ukiweka pesa kidogo kuna pesa unalipwa mwaka mzima kilasiku. Kuna video ukazaa unatakiwa uzi view. Ila sijaielewa vizuri. Naomba maelezo kwa mwenye kuijua
Wewe.niambie biashara ngapi zinafunguliwa na kufa,jaribu kinachowezekana,ikibuma poa tuu,infact hata maisha ya binadamu yana mwisho.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…