Kwa hiyo Lisu na dreva wake ni waharifu ambao wanatafutwa na polisi ?.
Wanajua walichokifanya..baada ya kusikia dereva amesalimika walitaka wamkamate wambambikie kesi.
..sasa dereva hakupatikana. Na wao walishajitokeza hadharani wakiashiria kuwa dereva ni mtuhumiwa.
..kwa sasa hivi hawana namna ya kuja hadharani na kutengua kauli na hisia walizozijenga awali.
..Lissu alikuwepo Tz lakini hawakumpa wito akatoe ushahidi. Alikwenda mpaka ofisini kwa RPC Dodoma hakuhojiwa. Alikamatwa na Polisi akapelekwa Central hakuhojiwa.
Kwa kweli Tundu Lissu akisikia dereva wake naye anasubiriwa ili aje ahojiwe KAMWE Lissu hatarudi nchini isipokuwa tu kuja kwenye mradi wa kugombea urais na kurudi uhamishoni. Anajua dereva anafahamu kila kitu na atakapoeleza yaliyokuwa nyuma ya kushambuliwa kwake kutakuwepo kuadhirika kwa wengi. Kumbuka pale Dodoma baada ya shambulizi dereva alisema kuwa wakati anaona watu wanamfuata alimweleza boss wake lakini Lissu alimwambia hakuna wasiwasi waendelee tu. Cha ajabu kule Ubeljiji dereva huyohuyo alihojiwa na waandishi wa DW TV akabadili kauli na kusema wakati gari inamfuata hakumtaarifu boss wake kwa sababu alijua usalama upo alikokuwa akielekea. Dereva bado yuko mafunzoni kuelimishwa aeleze nini akihojiwa na polisi wa TZ. Inaelekea hatokaa afaulu hilo soma na kamwe hatarudi na Lissu.Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake ili wawakamate na kuwahoji namna tukio lilivyotokea.
Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.
Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.
“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu.”
Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi.”
Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.
“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.
Kwani ye lissu nani we pumbavuEwe mwanadamu kumbuka kuwa ni mavumbi wewe na mavumbini utarudi tu,kiburi cha kumkamata Lissu kimetoka wapi?
Apeleke maekezo gani, wakayi kila kitu wanajua na cctv wameficha!Na kwa nini na yeye hakupeleka maelezo kwa maandishi Polisi hiyo 2020?
..baada ya kusikia dereva amesalimika walitaka wamkamate wambambikie kesi.
..sasa dereva hakupatikana. Na wao walishajitokeza hadharani wakiashiria kuwa dereva ni mtuhumiwa.
..kwa sasa hivi hawana namna ya kuja hadharani na kutengua kauli na hisia walizozijenga awali.
..Lissu alikuwepo Tz lakini hawakumpa wito akatoe ushahidi. Alikwenda mpaka ofisini kwa RPC Dodoma hakuhojiwa. Alikamatwa na Polisi akapelekwa Central hakuhojiwa.
Gari wakilolitumia kushambulia wameliteketeza kupoteza ushahidi, pia huyo dereva watammaliza kupoteza ushahidi vile vile, kulindwa ni lazima mpaka muda muafakaKupigwa upigwe wewe alafu kuhojiwa unataka wakahojiwe wengine ??
Yani aliyekuwa anakuendesha unamficha mazima kabisaaa alafu nyumbu wanaona hili ni sawa?
.
Kwa hiyo kesi ya Lisu ya kijinai haina mlalamikaji. HayaPunguza ujinga.Hizi kesi zote za polisi wanazochunguza nikwasababu kuna mlalamikaji?.
Ndugu, huyu Kulwa Jilala kwa uandishi wake tu na namna anavyojenga hoja zake unaweza kuelewa moja kwa moja kuwa hili ni toto tu la form One lililoshindwa shule...!Apeleke nini?
Kwa kweli Tundu Lissu akisikia dereva wake naye anasubiriwa ili aje ahojiwe KAMWE Lissu hatarudi nchini isipokuwa tu kuja kwenye mradi wa kugombea urais na kurudi uhamishoni. Anajua dereva anafahamu kila kitu na atakapoeleza yaliyokuwa nyuma ya kushambuliwa kwake kutakuwepo kuadhirika kwa wengi. Kumbuka pale Dodoma baada ya shambulizi dereva alisema kuwa wakati anaona watu wanamfuata alimweleza boss wake lakini Lissu alimwambia hakuna wasiwasi waendelee tu. Cha ajabu kule Ubeljiji dereva huyohuyo alihojiwa na waandishi wa DW TV akabadili kauli na kusema wakati gari inamfuata hakumtaarifu boss wake kwa sababu alijua usalama upo alikokuwa akielekea. Dereva bado yuko mafunzoni kuelimishwa aeleze nini akihojiwa na polisi wa TZ. Inaelekea hatokaa afaulu hilo soma na kamwe hatarudi na Lissu.
Lissu anatoa maelezo gani? Hakuondoa walinzi wala Camera. TL alisikia tu risasi zikiingia mwilini, aeleze niniKati ya Lisu na dereva wake kutoa maelezo yao polisi na wewe kuandika bandiko refu namna hii ipi ni kazi ngumu zaidi?
TL si alikuwa anavuja damu, atasema nini.Yani apigwe Lisu alafu maelezo atoe Sirro ? Una akili kweli wewe
Huna hoja, risasa zinarindima dereva aliwaona wapi.Na dereva wa Lisu aliyeowaona kwa nini asitoe maelezo?
Au Sirro ndiyo alikuwa dereva wa Lisu?
Alikuwepo nchini 2020 na akafanya mikutano Lukuki na hao hao askari wakieeka ulinzi dhidhi yake! Ilikuwaje wasimkamate wakamhoji.Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake ili wawakamate na kuwahoji namna tukio lilivyotokea.
Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.
Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.
“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu.”
Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi.”
Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.
“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.
Kwa majibu haya ni wazi kwamba polisi ya nchi iko hovyo sana.Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
“......Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,” amesema LissuJeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake ili wawakamate na kuwahoji namna tukio lilivyotokea.
Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.
Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.
“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu.”
Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi.”
Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.
“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.