Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Hhhhhh..... unamwoa anakuta mpk sufuria za plastic sijui, microwave, oven,Tatizo la mwanamke ukijua kupika kumzidi anaanza kisirani
Japo sijaoa lkn akifanya hvo ajiandae tu kuondoka namtafutia kosa dogo tu namwambia hata mbona ukideki haukaushi dekio vzrπ€£π€£au kwann unaminya dawa ya meno kwa Huku kichwan π€£Hahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.
Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.π
Mbn Kuna familia baba ni caterer mama ni hotelier, ishu ni kuelekezana km hujui tulia ufundshwe[emoji16]Sasa unanizidi kupika Jamani si ni aibu [emoji3][emoji3]
Ipo siku mtaambiwa "sijisikii kula chapati leo" kumbe li shape limemkinaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatareee mtuvumilie tu
[emoji16][emoji16][emoji119]Japo sijaoa lkn akifanya hvo ajiandae tu kuondoka namtafutia kosa dogo tu namwambia hata mbona ukideki haukaushi dekio vzr[emoji1787][emoji1787]au kwann unaminya dawa ya meno kwa Huku kichwan [emoji1787]
πππmbn umewaza kwenye ubingwa tuKwamba mwamba ubingwa umetwaliwa
πππsaivi nimeacha kupika kabisa baada ya kuachika kisa kupika. kuna siku nilifikia ugenini nililetewa ugali sura haiendani na nilichopikiwaSasa unanizidi kupika Jamani si ni aibu ππ
Sasa unanizidi kupika Jamani si ni aibu ππ
Na siku ukitaka kupika inabidi umtafte uanze ivi ulisema tunachangia ya vitunguu saumu vingapiπ shida ya wanafunzi hawasomi notesπππ ulijuaje wii? Pishi la ndizi sijamaliza kufanya, leo umeibuka na chapati za maji!!
Ila zinaonekana tamu ππ
πππHatari sana mm nashukuru Mungu wakija rafikizangu au wageni hata nijikaushe utasikia kwani Leo hupiki Cha ajabu hata Sina Cha maana nachopika vyakula vya kawaida tuπππππsaivi nimeacha kupika kabisa baada ya kuachika kisa kupika. kuna siku nilifikia ugenini nililetewa ugali sura haiendani na nilichopikiwa
Hio lazima aseeh.... Mtoto wa kike ujue kushika mwiko bhn.... Msosi usave kitu delicious[emoji3]Lakin siku za mwanzo aibu lazima labda ukizoea unaweza jiona umepika kumbe wenzako wanakuchora tu[emoji23][emoji23]
ππwanaume tunapenda chakula kizuri tulio pitia veta tunakazi kwakweliππHata mm sitaki
Nina nduguyangu nimemfunika chapat za kusukuma,maandaz na pilau labda llkn vingine ni balaa mwanaume yule anapika had wali Nazi kha ππ
Sikuhiz kaoa mkewe anapika Kwa waiwasi πππ
Kabla ya kuoa mwanamke lazima anioneshe cheti mafunzo ya mapishiπππHatari sana mm nashukuru Mungu wakija rafikizangu au wageni hata nijikaushe utasikia kwani Leo hupiki Cha ajabu hata Sina Cha maana nachopika vyakula vya kawaida tuππ
πππ atajua hajuiIpo siku mtaambiwa "sijisikii kula chapati leo" kumbe li shape limemkinaisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]