JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

Yaani wameshindwa kabisa kukaa nao chini wakamalizana hadi wawafukuze? Kwahio tuna jeshi bado linalotumia nguvu zaidi kuliko akili zaidi. Kwa babahti mbaya sana hata wakiwahoji hawataweza kuandika chochote, hatuna waandishi wenye uthubutu huo
Jeshini kosa la kutokutii amri na uhaini au uasi adhabu inafahamika.

Nadhani hawa hawakukamilisha mafunzo ndo maana jeshi halijaona hatari kuwaacha mtaani.

Wangekamilisha mafunzo kwa 50% ya kijeshi wasingethubutu kugoma, wangefata taratibu maana wanaelewa tafsiri ya hilo tendo.
 
Idadi yao unatosha kuanzisha "underground movements"
 
Hao ndio kwa heri hawana la kufanya.
Sisi oparation yetu kuna ambao hawakuajiririwa wakaenda kupangana pale jangwani eti wanaandamana waende ikilu wakadai ajira wale viongozi wao walidakwa wakachezea kichapo na lupango wakawekwa wengine wakakimbia ndio zhughuli ikaishia hapo.
 
Ingekua habari ya udaku, kuanzia kesho ungewaona clouds, millardayo, IFM na viyoutube tv kama Lemutuz etc.
Ila ndo ivo.
 

Vijana wametapeliwa tu hakuna cha uhahini wala nini.
 
Wanadai kwà sababu kundi hilo mwendazake aliwahakikishia kuwa wataajiriwa
Op yetu kunaa walioenda kuchimba barabara na vyoo kwa kikombe cha babu loliondo waliishia kurudi nyumbani nao waliambiwa hivyo hivyo watapewa kipaumbele cha ajira lakini waliishia home
 
Hela zimerudi siku nyingi mbona .
Unajua kruta ni trekta dogodogo lisilotumia mafuta ila linafanya kazi sana
 
Magufuli alikuwa tapeli
Wewe ni mwehu sasa Magufuli anakuaje tapeli wakati mtu hayupo!

Hao wamefukuzwa kipindi cha Mama Samia tena kwa kudai haki yao ambayo Magufuli aliwahakikishia kuwa wakimaliza tu wakapige kozi ya ajira halafu unakuja mjinga mmoja unasema Magu alikuwa tapeli.

Nakuuliza kuna vijana wa JKT wowote waliowahi ahidiwa ajira na Magu wakanyimwa ajira?
 
Kama walishiriki kuratibu wizi wa kura basi ni karma inawatafuna. Amini nakwambia wote waliofanya au kushiriki udanganyifu na kutangaza kibabe ushindi ule!! Lazima walipe Kuanzia Juu mpaka chini. Mungu yuko kazini sababu Binadamu tulishindwa na Matokeo mnayaona.
 
Mtetezi wao kasha kwenda mavumbini

Pole sana kama ndugu zako isha kula kwao, jeshi halihitaji watu wasio fata order. Na hapo wamepata kisingizio cha kuwatimua.
 
Duuh...inasikitisha sana

Haki huinuaTaifa

Huruma itawale vijana waangaliwe kwa jicho la tatu
 
Uko sahihi sana mkuu sio huko tu, Ni katika utawala wa Magu ndio Mbuge anakuwa elected based on merits enzi za nyuma mbunge ilikuwa ni kwanza awe financially stable sana regardless ni Drug Dealers or Mafia kivyovyote awe na Power
And I'm doubting kuww wale Mamba 2025 watarudi mjengoni iwe la la saba au La Nne so long they have power in their surrounded societies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…