Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa status hiyo, watakataliwa sehemu nyingi tu na ndio maana kuna umuhimu wa kusikia kutoka kwao ili tupime/tuwaweke kwenye mizani sahihi wao na serikali.[emoji848]hivi wakisharudi Nani atawaajiri wakati tayari ni waasi?