Mungu wetu wote ni waki .Ipo siku isiyo na jina hapa duniani mtalipa mambo haya.Adhabu haipo Mbinguni Iko hapa duniani.Hata wewe @ kipara kipya ulivyo mpenzi mtukuka wa CCM hilo ungeweza kulifanya.Mahakama ndio itasema ni watu wa ccm au ni chadema wenzie!
Kama kakana hiyo ni juu yake na huenda Wakili wa Mshitakiwa akamuuliza wakati wa cross examination ili kupima kama ni mkweli.Vipi kuhusu kuukana uanachama wake hadharani kwa uongo ?
Uko sahihi kabisa!!Kwenye kesi ambaye haruhusiwi kuwa shahidi ni mke au mume pekee! Hata kama ni Mwenyekiti wa CCM, mahakama itazingatia ushahidi utakaotolewa pamoja na mahojiano ya kutoka kwa mawakili wa pande zote. Muhimu kwenye kesi ni Mahakama kuwa huru na wala si kuangalia huyu ni mwanachama wa chama gani na anatoa ushahidi dhidi ya mwanachama wa chama gani.
Unajua madhara ya kudanganya mahakama?Lengo la kudanganya lilikuwa ni nini?Kama kakana hiyo ni juu yake na huenda Wakili wa Mshitakiwa akamuuliza wakati wa cross examination ili kupima kama ni mkweli.
Acha porojo nenda kaisaidie mahakama kama unajua ukweli wa hiyo kesi na sio kujificha nyuma ya camera.Ndugu ,Mungu ni waajabu leo ndo nimeamini hii kesi ni yau uongo kabisa.Huyo ni ndugu yangu na hizo picha nimezirusha mimi mitandaoni.Ukweli usiofichika ninaujua mwanzo mpaka mwisho alitolewa Gerezani kwa makubaliano ya kusema uongo kama ushahidi nilimuonya sana kuhusu hili.Ni hivi kwa kuwa anaulinzi ushahidi huo utaonekana wa kweli na nyie mtafurahi sana kumuumiza mwenzenu kwa uongo,MUNGU KAMA AISHIVYO NA AWAADHIBU WOTE AKIWEMO JUSTINE NDUGU YANGU.
Kwanini amekimbilia kudeactivate account ya facebook?Akihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.
Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.
Asema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mji.
Wewe ndio unaona anajichanganya mwenzio kakuambia anazo figo zake, simu ni yake na account ni yakwake pia, kufuta lini na kwanini ni kiherehere chako tu Mmeru wa watu anazo sababu zake kama ilivyo kwa figo na mabandama yake,… we huna kwani?Kwanini amekimbilia kudeactivate account ya facebook?
Angetulia tu, anavyotapa tapa anazidi kujichanganya.
Kwa sababu ni fedhuli na wauajiMbona watu walishangilia kifo cha magufuli? Wakashangilia kifungo cha Sabaya. Au hawakujua kama walikua wanashabikia maumivu ya binadamu wenzao? Au Binadamu ni mbowe peke yake, wengine wote ni mbuzi.
Wapi hapa duniani ambapo uchaguzi haupo bias?Hakuna cha sanaa wala mkemia CCM ukiitoa tume ya uchaguzi na askari/jeshi hakuna uchaguzi watashinda mpaka dunia inafika mwisho,ni wizi tu wanafanya hawana jipya.
Mark my words!!!
Huyo dogo ni chakula akili yake haiko sawa.Akihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.
Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.
Amesema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mjini.
Yaani Magufuli uwezo wake ndio uliishia kumwamini Sabaya amtengenezee kesi Mbowe kwa kushirikiana na Kingai ! ni aibu sana kwa nchiMbowe anasukumwa ndani soon ..
Baada ya Kaaya atakuja shaidi mmoja mtaanguka presha
NB:Ndg zake Freeman wasiwachie hii kesi wahuni ndg yao atazama soon.
Mpaka sasa JMT 2 - Makamanda 0
Taarifa zinaonyesha kwamba huyu mtu alikuwa mfanyakazi binafsi wa Sabaya, baadaye wakatofautiana kutokana na malipo, Yaani Sabaya alimdhulumu Kaaya malipo ya miezi mingi na ndipo Kaaya akaamua kuacha kazi za Sabaya.
Jambo la kuacha kazi lilimuudhi mtukufu Sabaya ambaye alilichukulia kama kiburi na dharau kwa DC, Sabaya akaamua kumkamata Kaaya na kumtengenezea kesi ya madawa ya kulevya. hadi makubaliano ya kutoa ushahidi wa uongo dhidi ya Mbowe yalipo kamilika ndio akafutiwa mashtaka yake.
Kwa wasiomjua Eliya Kaaya aliyekuwa mtumishi binafsi wa Sabaya tumewawekea hapa Ushahidi mwanana , sasa mnatakiwa muelewe mashahidi wa kumfunga Mbowe walikotokea .
View attachment 1988464View attachment 1988465View attachment 1988466
Nawambieni Hii kesi msicheze nayo Anakwenda na maji ..Yaani Magufuli uwezo wake ndio uliishia kumwamini Sabaya amtengenezee kesi Mbowe kwa kushirikiana na Kingai ! ni aibu sana kwa nchi
Nawambieni Hii kesi msicheze nayo Anakwenda na maji ..
kama wewe ndugu wa Freeman chagueni kuifwatilia hii kesi kwa umakini dalili sio nzuri
Mkuu mbona unahaha kadi ya chama kaka yake kaileta .Yeye yuko na mawakili wa Jamhuri wana mkaririsha Kaka yake kaenda katuleta kadi.Wewe tulia hivyo hivyoAkihojiwa na online media, shahidi katika kesi ya Mbowe bwana Kaaya amesisitiza yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Amesema kupiga picha na viongozi au kuvaa nguo ya chama cha siasa sio kigezo za kuwa mwanachama wa chama hicho.
Ameongeza kwamba mbona Kikwete alipiga picha na Tundu Lissu hamkuongea kitu.
Amesema kwamba watu waache kumfuata fuata kwani hawamlishi wala hawamvishi na kila mtu anafigo yake hapa mjini.
Chifu, Leteni masihara ...Wanaweza kumfunga lakini hakuna ushahidi wa kumtia hatiani. Tuna taasisi za ajabu sana nchini badala ya kusimamia na kutetea haki sasa zimeamua kusimamia na kuutetea udhalimu nchini.