Anatafuta tension na masifa nchi ambayo ni masikini duniani ikashindane na nchi ambayo ni G20 huyo Kagame anaakili kweli??
 
delusion!
 
The issue here is Who supporting/funding M23? no matter they are Ruwandese or Congolese, suala ni nani anawasaidia hao rebels.
Ruwanda is the first suspect accused to support/fund M23.
Kagame asifanye Maraisi wenzake hawaelewi kitu
 
CDF Maphwanya kupitia sabc ameeleza hayo.
Nachojiuliza zaidi zile shit alizotema Kagame kuhusu SADC na Samia yupo ndani ni dharau ya namna gani!?
 
CDF Maphwanya kupitia sabc ameeleza hayo.
Nachojiuliza zaidi zile shit alizotema Kagame kuhusu SADC na Samia yupo ndani ni dharau ya namna gani!?
Ety chawa wa mama mbona hamja mjibu kagame kuhuu uhalali wa sadc kupeleka majeshi congo
 
Hiyo picha ilishafanyiwa uchunguzi ni fake.Putin havai saa mkono wa kushoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…