Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Kwa maslahi gani ya hao mabeberu?Kagame hayuko peke yake ana support kubwa kutoka Kwa mabeberu akiwemo USA.
Punguzeni kula ugolo vijana.SA ndiyo wanao fanya mazoez ya kivita na russia, china.. Kagame ana siri nying za kijasus kuhusu jesh la SA.. ISRAEL alimkalisha Iran
Eeeeeh 😳. Magovi tena?Watu wazima hawatishiwi nyau faida ya magovi nini haswa?
Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.
Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.
Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.
Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.
#KitengeUpdatesView attachment 3218375
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mavi hayo hana,na huo mlio katia itakua south wanaongeza silaha,huwa kinatoa mikwala kila kikiona hatari dhidi yakeAnaweza kuwapiga vizuri sana, wanajeshi wa South Africa hawewezi kupigana kwenye hiyo terrain kuwazidi Wanyaruwanda.
Means misunderstandingEeeeeh 😳. Magovi tena?
Huo woga, itakua kuna dawa anaandaliwaKiburi kikizidi sana,mwishowe ni aibu!
High time mr slim ajue his position, yy sio tishio kwa lolote zaidi ya ukibaka anaoufanya Drc kwa support ya some western countries, aache ulafi na ubinafsi unaotuhumiwa kuwa sehemu ya jamii ya kitutsi,anonesha wazi wao ni jamii ya namna gani na dunia iwaangaliaje na kudeal nao vp.
Hii video hapa:-Weka "audio" au "authentic source" vinginevyo umbeya
Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.Mavi hayo hana,na huo mlio katia itakua south wanaongeza silaha,huwa kinatoa mikwala kila kikiona hatari dhidi yake
Unahisi TZ haijapandikiza watu huko kwingine?Kila nchi kawapandikiza
Waulize Wamarekani walichokutana nacho Vietnam kwa Viet Cong, Labda Tz ndio wanaweza wakatoana jasho na Rwanda ila SA ni wepesi sana kwa Rwanda.Punguzeni kula ugolo vijana.
Wewe ukimjua mwakinyo anapigana orthodox na udhaifu wake ni upande wa kushoto ndiyo utafanya uanze kumchimba mikwara kisa unajua udhaifu wake wakati kiuhalisia hauna uwezo wowote wa kusimama na mwakinyo kwenye ring.au ubovu wa Manchester united ndiyo coastal union aanze mikwara na kumkazia kwamba wakikutana man u atakula nyingi?
Rwanda amazie South Africa ambae anatengeneza silaha zake za kivita na anaziuza hadi nchi zilizoendelea huko mambele. Nyie watu asee!!
Wabongo hivi mmekuwaje?